Hoja ya Mpina kuhusu upasuaji wa kuongeza makalio yazua mjadala Bungeni

Jifunze kutofautisha kati ya cosmetic surgery na constructive surgery
 
Vitu vingapi vinafanyika bila kibali cha bunge amewahi kuhoji?? Wanaacha kuhoji sensitive issues anahoji ujinga wa mtu mmoja mmoja.
 
Sidhani kama kuna nchi inayojielewa duniani inaweza ruhusu taasisi zake za kutoa huduma ya afya zifanye implants surgeries.

We ukiona waziri kama Molel ndio ana promote hiyo biashara inakueleza jinsi huyo mtu alivyo wa hovyo. Serikali aitakiwi ku promote mambo ya urembo hasa kwa kuwaasa watu wapasue miili yao ili kufikia hiyo azma.

Mara pekee nchi zinazojitambua wanafanya cosmetic surgery ni uso wa mtu umeharibika sana kwa sababu za kiafya au ajali, deformation ya matiti kwa sababu za biology au afya ndio wanaruhusu, huko kwenye wowowo ndio kabisa uwezi sikia.

Isitoshe huko kwao hao private surgeons wana experience ya miaka mingi sana kama surgeons, baadae wana specialise ndio wanapewa hivyo vibali, kuna elimu kubwa ya jamii inatolewa on associated risks zilizopo wakati wa kufanya na baada ya hizo surgery.

Ndio maana watu wanakimbilia nchi kama za India, Turkey na kwengineko kwa hovyo wanazofanya hizo operation. Bado kuna muda wa ku asses hizo operation kila baada ya miezi kadhaa si chini 3 au 4 kwa mwaka.

In short ni maamuzi ya hovyo sana ethically serikali ku promote huo upuuzi kwenye jamii. Uwezi wapangia watu miili yao waongeze au wapunguze nini, lakini si busara ku-promote hayo mambo.

Tells you nchi ilipo.
 
Hivi huyo mpina huko mbungeni ndo nani? Au yule aliyekuwa waziri wa uvuvi akipokea rushwa ya 5M kwa kila mvuvi kanda ya ziwa ili asimchomee nyavu zake wala kumpa kesi ya uhujumu uchumi?
 
Jimboni kwake kuna mambo mengi ya kufanyia kazi, kama hilo halimuhusu, apite kule. Nchi lazima isonge mbele katika masuala ya sayansi
Asifanye masihara kwenye suala lenu la kuongeza makalio yenu kabisa, ama vipi?
 
Ila Betina angeenda na yeye aongeze tunyama nyama kidogo ili joho limkae vizuri.

Ikimpendeza zaidi hata ile sura angeifanyia touch up kidogo itoke ubabani hasa lile tabasamu lake pana.
 
Hivi huyo mpina huko mbungeni ndo nani? Au yule aliyekuwa waziri wa uvuvi akipokea rushwa ya 5M kwa kila mvuvi kanda ya ziwa ili asimchomee nyavu zake wala kumpa kesi ya uhujumu uchumi?
Alienda na ruler canteen ya bunge kupima urefu wa samaki.
 
Kuna kitu kinaitwa cross subsidisation. Mapesa yanayolipwa na wale wa kutaka kuongeza makalio ndio itatumika kuwapunguzia wengine gharama za tiba.

Amandla...
 
Sera ya afya ya 2007 ndio iamue maamuzi ya 2024? Yaani gap ya miaka 17? We can't be serious. Hiyo sera tukiweka yote ambayo haijaongelea sidhani hata MRI scan zingenunuliwa au bima kwa wote ingepitishwa!!
 
Watu wanapenda mkndn mikbw ukiona hivyo

Ova
 
Kwahiyo shabiby alisimama na hiyo ndio taarifa iliyomsimamisha?
Kuna watu wapo bungeni najiulizaga hawa ndio watunga Sheria hawa.
 
Mpina akili kubwa
 
Ndo wanachoweza kujadili kwa ufasaha hao waheshimiwa
 
Huyo mpina ni takataka, kuna watu wanapata ajali za moto, wanahitaji juduma hizo kuweka sura zao sawa, yeye akili yake imekaa kuwaza makalio tu
Shida yako,ni uelewa mdogo,akili ndogo na chuki kwa mpina.ni vigumu kujua mpina ameongea nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…