Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Heshima mbele wakuu!
Matokeo ya O level 2013 yametangazwa na kumezuka taharuki juu ya ongezeko la ufaulu kwa over 15% na madaraja mapya ya div 1V ya 46 na div 0 ya 41!!
Karibu tufuatane kwenye hoja hii:
KWANINI NINADHANI MFUMO WA MWAKA HUU NI BORA ZAIDI
Kabla ya mwaka jana,NECTA walikuwa wakifanya yafuatayo:
1: Mwanafunzi alipimwa baada ya miaka minne,by a single paper,at one sitting,kuamua amemudu vipi masomo yake.
Jambo hili lilipelekea baadhi ya wanafunzi,walio fanya vizuri toka form 1 hadi form 4 kutofanya vema sana katika mtihani wa mwisho.
Mathalani,mtu anaweza kupata A somo toka form one hadi form four,lakini akateleza na kupata C NECTA,na inafahamika kwamba mtahiniwa ana uwezo wa C kwenye somo husika,kinyume cha uhalisia!
Hali ipoje sasa?
Kwa kuanzia mwaka jana,ni lazima marks 40% kwenye NECTA zitokane na Continuous Assessment kwa utaratibu ufuatao:
Utaratibu huu ni bora kuliko wa marks 100% kwa mtihani 1 kwa sababu zifuatazo:
i: Una akisi uwezo halisi wa mwanafunzi toka anaanza hadi kumaliza shule.
ii: Unapunguza udanganyifu,kwani mwanafunzi hapimwi kwa paper moja tu.
iii: Unahimiza juhudi endelevu kwa mwanafunzi,kwani kila kidato kinakuwa na uzito sawa.
2: MGAWANYO WA MADARAJA
Kabla,marks za ufaulu HASA ilikuwa ni C ambayo ilikuwa 41% yenye thamani ya 3 katika division,hivyo mtu akipata C 7 ni 7*3,na hvo ni Two ya 21 pts.
Sasa,Credit imebaki almost ile ile,40%[C],ila thamani yake imepunguzwa hadi 4,hvyo,mtu akipata C 7 ni 7*4,na ni div Three ya 28!!
Hivyo,hoja kuwa div za sasa ni rahisi kupata haina nguvu!!
Twende kwenye madaraja
Hapo awali,kulikuwa na madaraja matano: A,B,C,D na F yenye thamani 1,2,3,4 na 5 kwa mfuatano huo huo.
Interval toka daraja moja hadi jingine ilikuwa 20%,
yaani:
81-100 A,
61-80 B,
41-60 C,
21-40 D,
na
0-20 F.
Hapa kulikuwa na shida,gap ilikuwa kubwa mno,
kwa mfano,mtu akipata 21% na mwingne 40% ilihesabika wote wana D,lakini kimsingi,watu walio tofautiana 20% wamezidiana uwezo sana!!!
Kilichofanyika sasa ni KUPUNGUZA GAP KATI YA MADARAJA KUWA 10%,
Hvyo,sasa madaraja ni kama ifuatavyo:
0-20 F,
20-29 E,
30-39 D,
40-49 C[credit],
50-59 B,
60-74 B+,
75-100 A.
Thamani za madaraja ni 1,2,3,4,5,6 na 7 kwa A,B+,B,C,D,E na F respectively.
[B]Hii ni bora kuliko mwanzo,kwani,sasa utofauti wa madaraja una reflect uwezo wa mtu[/B].
[B]MGAWANYO WA DIVISION[/B]
1: Div 1 haijabadilika [pts 7-17],ambayo ni minimum B+ 4 na B 3.
2: Div Two ni pts 18-22[kama sijakosea] ambayo ni min B 6 na C moja.
3: Div 3 ni pts 23-31,ambayo ni min C 4 na D 3.
4: [B]DIVISION 1V[/B] ni min pts 47,ambapo [B]Lazima uwe na angalau D mbili au C moja[/B],Kinyume na hapo ni FAIL[DIV 0]
5: [B]DIVISION 0 ni pts zozote kati ya 41 hadi 47 ambapo mtu hana ANGALAU D MBILI AU C moja[/B], na pts 48-49[ambapo hapa mtu hawez kuwa na D2 au C1]
[B]CONCLUSION[/B]:
Kama umefuatana nami vema,hakuna mteremko ulio wekwa,bali thamani ya elimu yetu imeongezwa!
Haikuwa fair hata kidogo kuamua uwezo wa mwanafunzi at one sitting!
Nimeupenda mfumo mpya.
Haya ni mawazo yangu,
KARIBUNI KWA MJADALA.
Matokeo ya O level 2013 yametangazwa na kumezuka taharuki juu ya ongezeko la ufaulu kwa over 15% na madaraja mapya ya div 1V ya 46 na div 0 ya 41!!
Karibu tufuatane kwenye hoja hii:
KWANINI NINADHANI MFUMO WA MWAKA HUU NI BORA ZAIDI
Kabla ya mwaka jana,NECTA walikuwa wakifanya yafuatayo:
1: Mwanafunzi alipimwa baada ya miaka minne,by a single paper,at one sitting,kuamua amemudu vipi masomo yake.
Jambo hili lilipelekea baadhi ya wanafunzi,walio fanya vizuri toka form 1 hadi form 4 kutofanya vema sana katika mtihani wa mwisho.
Mathalani,mtu anaweza kupata A somo toka form one hadi form four,lakini akateleza na kupata C NECTA,na inafahamika kwamba mtahiniwa ana uwezo wa C kwenye somo husika,kinyume cha uhalisia!
Hali ipoje sasa?
Kwa kuanzia mwaka jana,ni lazima marks 40% kwenye NECTA zitokane na Continuous Assessment kwa utaratibu ufuatao:
- Mtihani wa National Form Two unachangia 15%.Mtihani wa MOCK form four unachangia 15%.Mtihani wa shule form Three marks 10%
Utaratibu huu ni bora kuliko wa marks 100% kwa mtihani 1 kwa sababu zifuatazo:
i: Una akisi uwezo halisi wa mwanafunzi toka anaanza hadi kumaliza shule.
ii: Unapunguza udanganyifu,kwani mwanafunzi hapimwi kwa paper moja tu.
iii: Unahimiza juhudi endelevu kwa mwanafunzi,kwani kila kidato kinakuwa na uzito sawa.
2: MGAWANYO WA MADARAJA
Kabla,marks za ufaulu HASA ilikuwa ni C ambayo ilikuwa 41% yenye thamani ya 3 katika division,hivyo mtu akipata C 7 ni 7*3,na hvo ni Two ya 21 pts.
Sasa,Credit imebaki almost ile ile,40%[C],ila thamani yake imepunguzwa hadi 4,hvyo,mtu akipata C 7 ni 7*4,na ni div Three ya 28!!
Hivyo,hoja kuwa div za sasa ni rahisi kupata haina nguvu!!
Twende kwenye madaraja
Hapo awali,kulikuwa na madaraja matano: A,B,C,D na F yenye thamani 1,2,3,4 na 5 kwa mfuatano huo huo.
Interval toka daraja moja hadi jingine ilikuwa 20%,
yaani:
81-100 A,
61-80 B,
41-60 C,
21-40 D,
na
0-20 F.
Hapa kulikuwa na shida,gap ilikuwa kubwa mno,
kwa mfano,mtu akipata 21% na mwingne 40% ilihesabika wote wana D,lakini kimsingi,watu walio tofautiana 20% wamezidiana uwezo sana!!!
Kilichofanyika sasa ni KUPUNGUZA GAP KATI YA MADARAJA KUWA 10%,
Hvyo,sasa madaraja ni kama ifuatavyo:
0-20 F,
20-29 E,
30-39 D,
40-49 C[credit],
50-59 B,
60-74 B+,
75-100 A.
Thamani za madaraja ni 1,2,3,4,5,6 na 7 kwa A,B+,B,C,D,E na F respectively.
[B]Hii ni bora kuliko mwanzo,kwani,sasa utofauti wa madaraja una reflect uwezo wa mtu[/B].
[B]MGAWANYO WA DIVISION[/B]
1: Div 1 haijabadilika [pts 7-17],ambayo ni minimum B+ 4 na B 3.
2: Div Two ni pts 18-22[kama sijakosea] ambayo ni min B 6 na C moja.
3: Div 3 ni pts 23-31,ambayo ni min C 4 na D 3.
4: [B]DIVISION 1V[/B] ni min pts 47,ambapo [B]Lazima uwe na angalau D mbili au C moja[/B],Kinyume na hapo ni FAIL[DIV 0]
5: [B]DIVISION 0 ni pts zozote kati ya 41 hadi 47 ambapo mtu hana ANGALAU D MBILI AU C moja[/B], na pts 48-49[ambapo hapa mtu hawez kuwa na D2 au C1]
[B]CONCLUSION[/B]:
Kama umefuatana nami vema,hakuna mteremko ulio wekwa,bali thamani ya elimu yetu imeongezwa!
Haikuwa fair hata kidogo kuamua uwezo wa mwanafunzi at one sitting!
Nimeupenda mfumo mpya.
Haya ni mawazo yangu,
KARIBUNI KWA MJADALA.