Kweli kabisa,unakumbuka hata kwa mfumo wa zamani,bila four ya 28 kushuka,ilikuwa kama zero tu...mi kwa upeo wangu naona kama mtaani watajaa wazururaji wenye vyeti ambavyo haviwasaidii kwenda chuo wala sekondari...mana unaweza ukakuta mtu ana D 2 na E zote na mwingine ana C moja na E zote,wote hawa watapewa vyeti lakin hawatakua na sifa za kuapply vyuo wala kuendelea form 5 .matokeo yake wataishia mitaani na vyeti vyao...
hyo alam E sijaipenda mana imewanyima watu fursa ya kupata D ambayo labda ingemwezesha kwenda hata chuo cha ualim
Kweli kabisa,unakumbuka hata kwa mfumo wa zamani,bila four ya 28 kushuka,ilikuwa kama zero tu...
Na ndipo hapa D imekuwa na thamani kubwa sasa!
Zamani mtu akipata D flat za 21% anakuwa na four pts 28,anaenda ualimu au unesi.
Lakn kimsing 20 ni fail aisee!
Hili lingekuwa kweli,tungeshuhudia ongezeko kubwa la div one,kitu ambacho hakijatokea!Necta ilichofanaya ni kuweka wepesi wa kupata alam A,B
lakin imeweka ugumu wa kupata alama D...yan mwenye nacho ameongezewa na asiyenacho ndo amezidi kunyonywa...haya madaraja yana upendeleo
Mkuu kateleya,ulikuwa unaona sawa mtu kupata 29%,halafu huyu ndio anakwenda kuwa mwalimu ati?
kama mnaamn mtu mwenye 75 hashindw kupata 80 ,bas na mwenye E ya 25 apewe D mana naye hashindw kupata 30...msiwafikirie upande 1 tHili lingekuwa kweli,tungeshuhudia ongezeko kubwa la div one,kitu ambacho hakijatokea!
Kimsingi B ya zamani imegeuzwa jina na kuitwa B+[60-74%],na A imepunguzwa kwa 5%,mtu mwenye uwezo wa kupata 75% hashndwi kupata 80%,na ndio maana hakuna any significant increase ya div one pts 7-9.
Mh,D ilikuwa ndogo mno,kwa mtazamo wangu.
myakubanga
vzur umetoa mchango mkubwa sana cz nahc nw wataelewa ingawa hapo kwe three nikwamba sasa inaanzia 25 bigup
mum wa mwaa huu umesaidia wat weni na ni mzur ila waatkaatwa wengi advace na chuo,
.....
5.ubovu wa kutumia continuous assessment ambazo zinatolewa mashuleni ndio utaharibu kabisa elimu,nani asiyejua kuwa kila shule itapika marks ili zionekane nzuri hata kama hawakufundisha na kutoa mitihani,
labda kama wangetumia mtihani wa necta form two kama continous assessment hapo sawa kwa kuwa wanafunzi wote nchi nzima watapimwa kwa mtihani uleule na kutakuwa na kigezo sawa cha kuwapima wanafunzi wote kisichokuwa na double standard
,alafu utampimaje wanafunzi kwa vigezo tofauti,mtihani wa mzumbe hauwezi kulingana ugumu na mtihani wa marian,alafu unataka watoto wale watumie marks za mashuleni,
pia mtihani wa mzumbe unaweza kuwa ni wa topiki mbili lakini wa kibaha ukawa ni wa topiki 6,hapa akili za mtu anaye support hili haziko sawa,mimi niliwahi kufanya mitihani migumu ya kiingereza form one marks kubwa niliyopata ni 33 na wakati mwingine wa kwanza darasa zima anapata 10 lakini hawa wanafunzi ukiwaambia wafanye necta wanafumua A za kutosha,sasa hapa wakipewa hizi assessment si umewaua,na form two waliingia wanafunzi watatu top ten kikanda na mimi nikiwemo ambapo hata form two sikuwahi kupata A tofauti na mtihani wa NECTA
aise pc yangu inamatizo.samahan wanajamviduu yan nimejitahd kuielewa hii comment yako lakin jitihada zangu zimegonga mwamba...