#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
 
Consent form....

GWAJIMA anaulizia consent form....

Inaonekana hana mtu wa karibu aliyewahi kupelekwa CHUMBA CHA UPASIAJI....pia iko hiyo "consent form"....anajaza mgonjwa Mwenyewe na ikishindikana wanajaza watu wake wa karibu.....

Na hili pia ALIHOJI.....

Chanjo hizi ni mpya.....hazina muda mrefu toka ZIZINDULIWE....

Gwajima hebu afunge macho na kufikiri ,TB na magonjwa mengine ya mlipuko yalipokuwa yanatokea na chanjo kuanza kutolewa je "KIPINDI HICHO" nako kulikuwa na "consent forms" pale ilipotolewa kwa JAMII(massive vaccination)?!!!

Kipindi hicho kulikuwepo na haya MAENDELEO MAKUBWA ya HAKI ZA BINADAMU na kuheshimu mawazo ya WAGONJWA (informed consent) ?!!

Anyway ,Gwajima anataka TUUACHE UGONJWA KWA MIAKA 10 bila ya chanjo yoyote na wataokufa wafe na watakaobaki WAENDELEE kuishi(natural selection) ?!!!😲😲

Aakofu Gwajima amekuwa "CHARLES DARWIN"?!!

#TujitokezeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#SiempreJMT
#KaziInaendelea
 
Hoja zinajibiwa kwa hoja. Hapa tunataka kujua Effects za muda mrefu kuhusu hizo chanjo. Vilevile hiyo mRNA inatengeneza genes zipi mwilini!?
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.

Mimi ninasimama na Gwajima now, Sio Nita....
 
Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology

Haya tueleze wewe basi mtaalamu wa hiyo sijui molecular biology!!

Shida ya madaktari uchwara wa bongo ni kujitia ujuaji mwiiiingii.... kukariri kariri tu hovyooo... oohhh molecular biology, ascomycetes thrombosis....

TENGENEZA CHANJO, acha uhuni.

Hayo mamisamiati hata mimi naweza kukariri. THROMBOCYTES SALMONELLA sijui nini.... blah blah...

We need results, sio hayo matakataka ya misamiati ya kigiriki.
 
Hoja zinajibiwa kwa hoja.
Hapa tunataka kujua Effects za muda mrefu kuhusu hizo chanjo. Vilevile hiyo mRNA inatengeneza genes zipi mwilini!?
Hawa madaktari uchwara wa bongo unawaonea. Hawajui lolote kuhusu clinical trials za chanjo.

Hakuna chanjo yoyote waliyowahi kuitengeneza, kwahiyo hawana ufahamu wowote kuhusiana na majaribio ya chanjo au dawa yoyote.

Wao huwa wanasubiri waone wazungu wamesemaje au wamefanya nini kisha na wao wanakuja mbio mbio kutudunga michanjo.

Yaani hawa ni bureee kabisa.... serikali inatakiwa kuwafutia mishahara. THEY ARE USELESS PARASITES.
 
Haya tueleze wewe basi mtaalamu wa hiyo sijui molecular biology!!

Shida ya madaktari uchwara wa bongo ni kujitia ujuaji mwiiiingii.... kukariri kariri tu hovyooo... oohhh molecular biology, ascomycetes thrombosis....

TENGENEZA CHANJO, acha uhuni.

Hayo mamisamiati hata mimi naweza kukariri. THROMBOCYTES SALMONELLA sijui nini.... blah blah...

We need results, sio hayo matakataka ya misamiati ya kigiriki.
Wewe na hako ka classification chako cha form one utaendelea kudanganywa na akina gwajima ambao hawafahamiki wanesomea nini na wapi na hata uo uaskofu anaojitangazia haujulikani kapewa na nani na kwa process gani. Heshimu taaluma za watu
 
Hawa madaktari uchwara wa bongo unawaonea. Hawajui lolote kuhusu clinical trials za chanjo.

Hakuna chanjo yoyote waliyowahi kuitengeneza, kwahiyo hawana ufahamu wowote kuhusiana na majaribio ya chanjo au dawa yoyote.

Wao huwa wanasubiri waone wazungu wamesemaje au wamefanya nini kisha na wao wanakuja mbio mbio kutudunga michanjo.

Yaani hawa ni bureee kabisa.... serikali inatakiwa kuwafutia mishahara. THEY ARE USELESS PARASITES.
Nasikia kuna watu wamekula pesa ndefu. Mkuu wa usalama, alikuwa anajenga Nyumba Mbweni kaiangusha(Kaibomoa) Kaambiwa hiyo nyuma siyo hadhi yake.

Kapiga pesa ndefu sasa hivi anajenga nyingine.
 
Wewe na hako ka classification chako cha form one utaendelea kudanganywa na akina gwajima ambao hawafahamiki wanesomea nini na wapi na hata uo uaskofu anaojitangazia haujulikani kapewa na nani na kwa process gani. Heshimu taaluma za watu
Sawa, mimi sijui kitu. Kwanza nimeishia la saba.

Haya, utueleze weye basi mjuvi wa molecular biology.

Huna lolote wewe mjinga tu na hiyo molecular biology yako.

Wenye akili timamu wameshatengeneza machanjo yenye electromagnetic field wanataka kuitawala na kuiteka dunia, WEWE UKO BIZE UNAKARIRI MISAMIATI YA MOLECULAR BIOLOGY!

STUPID PARASITE!!
 
Wewe na hako ka classification chako cha form one utaendelea kudanganywa na akina gwajima ambao hawafahamiki wanesomea nini na wapi na hata uo uaskofu anaojitangazia haujulikani kapewa na nani na kwa process gani. Heshimu taaluma za watu
Taaluma ipi mmeshindwa kutueleza effects za hiyo J&J. Mnatupigia kelele tu.
 
Kuhusu concent form ni utaratibu wa kimataifa wa matibabu. Kabla hujamgusa mgonjwa intakiwa umfahamishe ni kwanini unamgusa.

Unampo mpa dawa mgonjwa ni lazima umfahamishe ni dawa gani unampa na ni kwasababu gani.

Katika tiba inayohusu sindano na upasuaji consent inabeba uzito mkubwa zaidi. Mgonjwa ana paswa kuelezwa faida na hasara na kama ana akili timamu na ameelewa maelezo lakini ameamua kukataa tiba ni haki yake hatakiwi kulazimishwa.

Kuhusu watu kulazimishwa chanjo, hii chanjo ni sehemu ya jitihada ya dunia kupambana na ugonjwa ambao ni mpya na unaua. Tukiwa kama sehemu ya dunia ni lazima tu hamasishe watu wapate kinga na tiba ili kukomesha ugonjwa usienee au kupunguza makali. Hakuna aliyelazimshwa kwani Askofu Rashid ana data za watu wakiowekwa ndani kwa kukataa chanjo?
 
Nasikia kuna watu wamekula pesa ndefu. Mkuu wa usalama, alikuwa anajenga Nyumba Mbweni kaiangusha(Kaibomoa) Kaambiwa hiyo nyuma siyo hadhi yake.

Kapiga pesa ndefu sasa hivi anajenga nyingine.
Wanafaidika sana hawa wahuni na huu uharamia unaoendelea.

Minyumbu ya sadaka ndiyo itakayoangamia.

Wao hawana habari wanakula BATA
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Wanaopinga siyo Gwajima tu, kuna wanasayansi kibao wanapinga na wanatoa hoja zao za kisayansi.
Hata hapa Tanzania kina Prof. Yunus Mgaya na wengine wengi tu walipinga na kutoa sababu zao. Sema sasa hivi ndiyo wamepiga tiktak.
mjizuie Kum-attack Gwajima, mjikite kwenye kujibu hoja zinazotolewa.
 
Kuhusu concent form ni utaratibu wa kimataifa wa matibabu. Kabla hujamgusa mgonjwa intakiwa umfahamishe ni kwanini unamgusa.

Unampo mpa dawa mgonjwa ni lazima umfahamishe ni dawa gani unampa na ni kwasababu gani.

Katika tiba inayohusu sindano na upasuaji consent inabeba uzito mkubwa zaidi. Mgonjwa ana paswa kuelezwa faida na hasara na kama ana akili timamu na ameelewa maelezo lakini ameamua kukataa tiba ni haki yake hatakiwi kulazimishwa.

Kuhusu watu kulazimishwa chanjo, hii chanjo ni sehemu ya jitihada ya dunia kupambana na ugonjwa ambao ni mpya na unaua. Tukiwa kama sehemu ya dunia ni lazima tu hamasishe watu wapate kinga na tiba ili kukomesha ugonjwa usienee au kupunguza makali. Hakuna aliyelazimshwa kwani Askofu Rashid ana data za watu wakiowekwa ndani kwa kukataa chanjo?
1. Nitajie chanjo gani tumewahi kuchajwa tunajazishwa fomu!?

2. Kwanini wataalam wa afya hawataki kutaja side effects za hiyo chanjo. Short term and Long Term

3. Corona siyo ugonjwa wa kutisha. Ulikuwepo miaka nenda rudi.

4. Vilevile hii chanjo haikingi korona. Hata ukichanjwa bado utaweza kuambukizwa. Je, kazi ya chanjo hii ni nini!?
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Weye mwenye mashule ya molecular biology hebu list possible fates za mRNA vaccines inapodungwa kumwili!
 
Back
Top Bottom