#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Huwezi kupredict effect za muda mrefu kwa chanjo mpya bali muda ukifika zitajionyesa ,hapa ndio tupo stage one ya majaribio,bado stage tatu .
So kwahiyo hizi chanjo tunachanjwa ni za majaribio!? Right!?
 
So kwahiyo hizi chanjo tunachanjwa ni za majaribio!? Right!?
Ndio maana yake zipo kwenye majaribio na ndio maana hata wazungu wengine wanazikwepa,ufaransa na kwingineko ni maandamano,
 
Huyu jamaa nae ni tapeli. Tangu ashindwe kutimiza ahadi yake ya kutupeleka kule Birmingham (sisi wakazi wa Kawe) baada ya uchaguzi, sina hamu nae.

Halafu, hili suala la Corona, ni suala la Public Health, sio kila mwenye kipaza sauti na ushawishi ndio awe anaongoza hii debate. Suala hili waachiewe waliopewa dhamana na wananchi. Covid 19 ipo na inaua watu.

Suala la kuchanjwa au kutokuchanjwa ni uamuzi binafsi, lakini kuudanganya umma katika jambo zito kama hili na ambalo hauna utaalamu nalo ni makosa.

Kama yeye anamsimamo tofauti na Chama chake kilichompeleka bungeni, ajiuzulu siasa akaendelee kueneza neno la bwana.
 
Mzee nimekuuliza swali dogo tu. Kazi ya mRNA kwenye cell ni ipi!? Wewe unaniletea aina za RNA. Mzee sticky to the point. Hapa tunaongelea genes.
Maana yake hiyo mRNA inayotengenezwa na chanjo haitengenezwi na DNA it means is a false information inside the cell. Right!?
mRNA ni messenger RNA, haitengenezwi na DNA ila ina pokei command kutoka kwa DNA kwa transcription kwenye DNA template na baadhi ya hizi chanjo walicho fanya ni ku manipulate information kutoka DNA kwenda kwa RNA. Hata chanjo zingine za virus live au attenuate hufanya kazi hivo, kuihadaa DNA
 
Hawa madaktari uchwara wa bongo unawaonea. Hawajui lolote kuhusu clinical trials za chanjo.

Hakuna chanjo yoyote waliyowahi kuitengeneza, kwahiyo hawana ufahamu wowote kuhusiana na majaribio ya chanjo au dawa yoyote.

Wao huwa wanasubiri waone wazungu wamesemaje au wamefanya nini kisha na wao wanakuja mbio mbio kutudunga michanjo.

Yaani hawa ni bureee kabisa.... serikali inatakiwa kuwafutia mishahara. THEY ARE USELESS PARASITES.
Unawaita uchwara wakati ukiugua unawaendea ukilalama. Acha dharau, " unatukana wakunga wakati uzazi ungalipo"
 
Inawezekana chanjo za awali zilitolewa ki mazoea lakini kwa sasa hivi consent form ni lazima.

Kusema ukweli hata mimi ninashindwa kuelewa ni kwanini wafanyakazi wa Afya wanashindwa kueleza effects za chanjo hizi. Wao walitakiwa kufahamu hili kwani ndiyo watekelezaji wa zoezi.
Hakuna daktari aliye na uhakika wa usalama na ubora wa hizo chanjo za majaribio! Na duniani kote hayupo! Muda tu na Mungu ndio wanaojua!
Sasa unategemea madaktari wajitokeze kuhadaa umma!? Akihojiwa hatakuwa na majibu!
 
mRNA ni messenger RNA, haitengenezwi na DNA ila ina pokei command kutoka kwa DNA kwa transcription kwenye DNA template na baadhi ya hizi chanjo walicho fanya ni ku manipulate information kutoka DNA kwenda kwa RNA. Hata chanjo zingine za virus live au attenuate hufanya kazi hivo, kuihadaa DNA
Mzee unajua hata RNA ni nini!?
 
Consent form....

GWAJIMA anaulizia consent form....

Inaonekana hana mtu wa karibu aliyewahi kupelekwa CHUMBA CHA UPASIAJI....pia iko hiyo "consent form"....anajaza mgonjwa Mwenyewe na ikishindikana wanajaza watu wake wa karibu.....

Na hili pia ALIHOJI.....

Chanjo hizi ni mpya.....hazina muda mrefu toka ZIZINDULIWE....

Gwajima hebu afunge macho na kufikiri ,TB na magonjwa mengine ya mlipuko yalipokuwa yanatokea na chanjo kuanza kutolewa je "KIPINDI HICHO" nako kulikuwa na "consent forms" pale ilipotolewa kwa JAMII(massive vaccination)?!!!

Kipindi hicho kulikuwepo na haya MAENDELEO MAKUBWA ya HAKI ZA BINADAMU na kuheshimu mawazo ya WAGONJWA (informed consent) ?!!

Anyway ,Gwajima anataka TUUACHE UGONJWA KWA MIAKA 10 bila ya chanjo yoyote na wataokufa wafe na watakaobaki WAENDELEE kuishi(natural selection) ?!!!😲😲

Aakofu Gwajima amekuwa "CHARLES DARWIN"?!!

#TujitokezeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#SiempreJMT
#KaziInaendelea
acha kudanganya watu
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Mimi nasimama na Yesu
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
We mwenyewe hujui lolote ni makelele ya kijinga tu umepiga hapa
 
Sijui boss, nipe shule kidogo
Kifupi

RNA carries out a broad range of functions, from translating genetic information into the molecular machines and structures of the cell to regulating the activity of genes during development, cellular differentiation, and changing environments. RNA is a unique polymer.
 
1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?
Hii sio hoja ya kisayansi!!! Isitoshe, hata wakati hizo chanjo zingine ni za lazima, chanjo ya covid sio lazima!! Kwavile chanjo zingine ni lazima, serikali wata-bear responsibility in case if anything bad happens! Wala usidhani kwamba hizo chanjo zingine hazina effect, hell no!!!

Sasa kwavile chanjo ya covid-19 sio lazima, basi idhini ya mchanjwaji ni muhimu ili akipata side affect, asimlaumu mtu kwavile hakulazimishwa kuchanja!!

In a medical world world, hata operesheni na yenyewe sio lazima na ndio maana kufanyiwa operesheni ni lazima utoe go-ahead mwenyewe au walio na wajibu kwako!!
2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?
Hapo kwako umeletewa watu wa kululazimisha kuchanja?!

Sio lazima, lakini it's a matter of time kabla haijawa lazima manake hata huko duniani ndicho wanachofikiria hivi sasa!! Dunia haiwezi kuhatarishiwa usalama wake kwa watu wasio na uwezo wa kufafanua even what's pathology!
3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?
Kama anauliza hilo swali basi inaonesha wazi anatumia muda mwingi kusoma biblia au kupiga porojo badala ya kutafuta taarifa za kitalaamu!! Au inawezekana anafanya makusudi ili kuwajaza watu ujinga!!!

Ukiingia website ya WHO utakuta wameeleza hilo analotaka yeye aelezwe badala ya kutafuta taarifa:-
Like any vaccine, COVID-19 vaccines can cause mild, short term side effects, such as a low-grade fever or pain or redness at the injection site. Most reactions to vaccines are mild and go away within a few days on their own. More serious or long-lasting side effects to vaccines are possible but extremely rare. Vaccines are continually monitored for as long as they are in use, to detect rare adverse events and implement approaches to limit their occurrence. Reported side effects to COVID-19 vaccines have mostly been mild to moderate and short-lasting. They include: fever, fatigue, headache, muscle pain, chills, diarrhoea, and pain at the injection site. The chances of any of these side effects following vaccination differ according to the specific COVID-19 vaccine.
4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.
SIO KWELI!

Kuna vaccines zinazohitaji single dose na zingine zinahitaji 2-doses!!!

Hata hivyo, as reported earlier last month, liibuka Delta Variant ambayo inaonekana haisikii hii chanjo! Kwa mfano, baada ya watu kutoka Cape Cod kujisahau na kuanza kula bata kama hawana akili mzuri (mambo ya summer time), wengi wa wale waliokuwa kwenye mikusanyiko ya summer wakagundulika wameathirika ingawaje walikuwa wamechanjwa but 90% kati yao ni delta variant!

Lakini pamoja na yote hayo, utafiti wa karibuni bado unaonyesha chanjo ina uwezo mkubwa sana wa kuzuia homa kali na vifo! Kwa mfano, kabla ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliopata maambukizi, 28 walikufa lakini kwa sasa baada ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliochanjwa na kupata maambukizi, wanaoweza kufa ni less than 2.

Ni hadi uwe Kondoo Mtiifu wa Gwajima ndipo unaweza kupuuza hayo mafanikio!
.MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
HONGERA KWA "KUJITAMBUA"
 
Hii sio hoja ya kisayansi!!! Isitoshe, hata wakati hizo chanjo zingine ni za lazima, chanjo ya covid sio lazima!! Kwavile chanjo zingine ni lazima, serikali wata-bear responsibility in case if anything bad happens! Wala usidhani kwamba hizo chanjo zingine hazina effect, hell no!!!

Sasa kwavile chanjo ya covid-19 sio lazima, basi idhini ya mchanjwaji ni muhimu ili akipata side affect, asimlaumu mtu kwavile hakulazimishwa kuchanja!!

In a medical world world, hata operesheni na yenyewe sio lazima na ndio maana kufanyiwa operesheni ni lazima utoe go-ahead mwenyewe au walio na wajibu kwako!!

Hapo kwako umeletewa watu wa kululazimisha kuchanja?!

Sio lazima, lakini it's a matter of time kabla haijawa lazima manake hata huko duniani ndicho wanachofikiria hivi sasa!! Dunia haiwezi kuhatarishiwa usalama wake kwa watu wasio na uwezo wa kufafanua even what's pathology!

Kama anauliza hilo swali basi inaonesha wazi anatumia muda mwingi kusoma biblia au kupiga porojo badala ya kutafuta taarifa za kitalaamu!! Au inawezekana anafanya makusudi ili kuwajaza watu ujinga!!!

Ukiingia website ya WHO utakuta wameeleza hilo analotaka yeye aelezwe badala ya kutafuta taarifa:-


SIO KWELI!

Kuna vaccines zinazohitaji single dose na zingine zinahitaji 2-doses!!!

Hata hivyo, as reported earlier last month, liibuka Delta Variant ambayo inaonekana haisikii hii chanjo! Kwa mfano, baada ya watu kutoka Cape Cod kujisahau na kuanza kula bata kama hawana akili mzuri (mambo ya summer time), wengi wa wale waliokuwa kwenye mikusanyiko ya summer wakagundulika wameathirika ingawaje walikuwa wamechanjwa but 90% kati yao ni delta variant!

Lakini pamoja na yote hayo, utafiti wa karibuni bado unaonyesha chanjo ina uwezo mkubwa sana wa kuzuia homa kali na vifo! Kwa mfano, kabla ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliopata maambukizi, 28 walikufa lakini kwa sasa baada ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliochanjwa na kupata maambukizi, wanaoweza kufa ni less than 2.

Ni hadi uwe Kondoo Mtiifu wa Gwajima ndipo unaweza kupuuza hayo mafanikio!

HONGERA KWA "KUJITAMBUA"
Mkuu,binafsi nimekuelewa vizuri sana,Big up kwa maelezo.
 
Huwezi kupredict effect za muda mrefu kwa chanjo mpya bali muda ukifika zitajionyesa ,hapa ndio tupo stage one ya majaribio,bado stage tatu .
Kwa hiyo kama hizo effect za muda mrefu hazifahamiki bado huoni kama kuwadunga watu chanjo ambayo madhara yake ya muda mrefu hayajajulikana ni sawa na kunywa dawa za mganga wa kienyeji tu. Ni ikitokea hizo chanjo zikawa na madhara mkubwa kwa binadamu na huku mabilioni ya watu wameshachanjwa mnategemea nini kitatokea? Au itatafutwa chanjo nyingine ya ku-undo hayo madhara. I STAND WITH GWAJIMA ON THIS MATTER.
 
Back
Top Bottom