#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Lia galagala baba sindano za covid zina kuhusu ukitaka shika bunduki km boko haram
Umeanza kuleta umbea sasa. 😂 😂😂😂. Unadhani dunia inaendeshwa kwa mihemko. Acha mihaho Mzee.
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Huyo abakie na m@vi yake
 
Nitakubali kuchanjwa,Ikiwa Ntahakikishiwa majawabu yafuatayo kama ni Sahihi au Laa
/// Namuunga Mkono Gwajima kama ntapingwa na Maswali Haya

1.qn, Nikipata chanjo ntaacha kuvaa Barakoa!???
Jibu: Hapana

2.qn, Nikipata chanjo,Shule Mikusanyiko,Biashara,Kukaa mbali mbali, na vinginevyo vitarudi kawa ilivyo kuwa awali!????
Jibu, HAPANA

3,qn,Nikipata Chanjo ya Corona,Sinto Weza kupata teena Corona!????
Jibu. HAPANA

4. qn,Nikipata Chanjo,Sinto weza kuambukiza Ugonjwa kwa Wengine!?
Jibu, HAPANA

5.Nikipata Chanjo ntakaaa Muda Gani!????
Jibu, HAKUNA ANAYE FAHAMU

6.Qn,Nikipata Chanjo ninaweza linda Wengine!???
Jibu. HAPANA

7.,qn,Je nikipata Chanjo na ikaniletea madhara mpaka kunipotezea Maisha ,Serikali au taasisi iliyo tengeneza Chanjo hiyo Itahusika moja kwa moja kulipa familia au ndugu zangu nilio waacha,!????
Jibu, HAPANA

Hayo ni baadhi ya Maswali tuuu ambayo majibu yake yanaleta ukakasi juu ya kukubali chanjo hiyoo,
Chanjo nyiingi zipo kwenye majaribio na hakuna yenye ufanisi wa 100%
Hivyo ikiwa Serikali itapinga juu ya majibu tajwa hapo juu,ntaunga mkono kuchanjwa...Vinginevyo,.. Naungana na Askofu Gwajima kupinga kuchanjwa ie kutumia hiari ya kuto kuchanjwa
 
Back
Top Bottom