#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Hivi unapozungumzia ,DNA, RNA , au lugha nyingine vina saba twapenda sema hivi, wewe binafsi unaelewa nini,?
Basi usirudie tena kuongelea vitu usivyovijua! Utawaingiza watu chaka🄱!
 
Unaandika usichokijua! Sometimes tujifunze kufreeze🤫!
hilo ni jibu rahisi sana kwa hoja ngumu mazeee niko vizuri usikurupuke...mkadhani wote hum ni vilaza
 
hilo ni jibu rahisi sana kwa hoja ngumu mazeee niko vizuri usikurupuke...mkadhani wote hum ni vilaza
Hata wendawazimu na wapumbafu huwa wanajiona hivyo wanapojifanyia self-evaluation🄱!
 
Nasikia kuna watu wamekula pesa ndefu. Mkuu wa usalama, alikuwa anajenga Nyumba Mbweni kaiangusha(Kaibomoa) Kaambiwa hiyo nyuma siyo hadhi yake.

Kapiga pesa ndefu sasa hivi anajenga nyingine.
Wacha majungu kijana, jikite kwenye hoja!
 
Watanzania tuvumilie tuu na tukubaliane na chanjo maana hatuna tinachoweza kugundua kwa kutumia sayansi.

Watu duniani wanahangaika laboratory wakicheza na DNA ,na VIRUS wewe unalisha watu matangwizi ,malimao na mapilipili

Badala ya kugundua chanjo ninyi ni kuchambua za wenzenu waliofanya tafiti ninyi mlichoweza ni kubadili jina eti UVIKO 19 tuliwatuma jin au dawa?
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Ukishawekewa oksijeni ndio utaendelea vizuri kusimama na Gwajima hadi kiama.
Kila la heri.
 
Sawa, mimi sijui kitu. Kwanza nimeishia la saba.

Haya, utueleze weye basi mjuvi wa molecular biology.

Huna lolote wewe mjinga tu na hiyo molecular biology yako.

Wenye akili timamu wameshatengeneza machanjo yenye electromagnetic field wanataka kuitawala na kuiteka dunia, WEWE UKO BIZE UNAKARIRI MISAMIATI YA MOLECULAR BIOLOGY!

STUPID PARASITE!!
Inaonekana hii chanjo Unaijua vizuri,embu uielezeee kidogo kwa kitaalam
 
Hapo kwenye frequency ndipo anapo wateka akili za mazezeta.
Kama hujui na huelewi utajiona umetekwa. Tunaoifahamu lugha hiyo hatuna shida, tunaelewa...
Gwajima awe na frquency kwa theology gani aliyosoma na kwa chuo gani cha theology?
Theology haisomewi chuo chochote hapa duniani. Hiyo unayoi - praise ni ya kutafutia vyeo vya kidini. Lakini pure and valuable theology utaipata kwa kusikia, kulitii na kulitenda NENO LA MUNGU na kuongozwa na Roho Mtakatifu...

Niambie Yesu Kristo alisoma chuo gani cha theology? Tunafuata njia yake, tunaiga na kuishi maisha yake...
Mtu aliyejitngaza mwenyewe kuwa askofu na kujifanyia mwenyewe mambontofuti na makasisi unasema !!!! Frequently
Unajua utaratibu wa kanisa lake? Mbona kama umekariri? Utaratibu wa kanisa/dhehebu lako la kumpata Askofu siyo lazima utumiwe na kanisa/dhehebu jingine. Muhimu ni kibali toka kwa Mungu na watu. Anacho kibali hicho...!!
Maaskofu walio undergo hutua zote za kusimikwa uaskofu baada y kusoma vyuo vyenye ithibati na mitaala ya makasisi akina shoo, mwalasua, rwaichi wamekubali chanjo halafu unaniambia habari ya frquency za gambosh zinazodanganya watu zinafufua watu na misukule wakati hajawahi kufufua hata Panya?
Nisome ktk hoja ya hapo juu na jinsi ya kumpata Askofu wa dhehebu/kanisa fulani.

More over, nasikitika tu kwa sababu ni kama vile hujui lolote kuhusu nguvu ya Mungu na Neno lake (Biblia)...

Katika hili, I am afraid kusema kuwa, ni vigumu sana mimi na wewe tukaongea lugha moja na kuelewana kwa sababu kama nilivyosema tunafikiri kwa kutumia masafa (frequency) tofauti...!
Huyu Mungu amekaa kimya watu wanamchezea saana
Mmh..! Isije ikawa wewe ndiye unayemchezea na ameamua kukustahi na kukuvumilia akiiachia neema ya kufikiri iwepo kwa kuwa, may be sooner or later you may be able to come into your sense and ask for his mercy and grace...

Tubu na mwamini Yesu Kristo ili awe Bwana na mwokozi wako. Hii ndiyo njia salama ya kujiokoa na ghadhabu ya Mungu...!
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Ndio utoe elimu hiyo
 
Mzee summarize. Ongea kwa bullet points. You are using too much energy
Wasiotaka kuchanjwa wakae kimya kwa sababu chanjo ni hiari siyo lazima hivyo wasitafute wafuasi wa kuwa nao ktk kukataa kuchanja
pia siyo vema sana kupinga na kukosoa mamlaka ya utawala wa juu ktk nchi na dunia kwa hii habari ya chanjo kwa sababu ya tamaa za uongozi ama kujitangaza kujulikana.
 
Nasikia kuna watu wamekula pesa ndefu. Mkuu wa usalama, alikuwa anajenga Nyumba Mbweni kaiangusha(Kaibomoa) Kaambiwa hiyo nyuma siyo hadhi yake.

Kapiga pesa ndefu sasa hivi anajenga nyingine.
Hivi Mbweni ni DaršŸ˜‚šŸ˜„šŸ˜‚šŸ˜„
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Anasoma conspiracy theory anapeleka jukwaani sio chanjo zote zinatengenezwa na mRNA ni moderna na Pfizer, Ila Johnson & Johnson, astrazaneca wametumia adenovirus, Ila ameziweka zote kwenye one basket na hii ni kiashiria hajui haya mambo hata kwa uelewa wa kawaida
 
Wasiotaka kuchanjwa wakae kimya kwa sababu chanjo ni hiari siyo lazima hivyo wasitafute wafuasi wa kuwa nao ktk kukataa kuchanja
pia siyo vema sana kupinga na kukosoa mamlaka ya utawala wa juu ktk nchi na dunia kwa hii habari ya chanjo kwa sababu ya tamaa za uongozi ama kujitangaza kujulikana.
chanjo ni lazima siyo hiari.asiyetaka chanjo atafute kisiwa chake pekee hatutaki kuambukizwa tena sisi
 
Hahaha Dalali la chanjo umebaha
Hapna Mkuu!! Africa tena misomi Mizembe sana hata kufikiria simple tu!!
Yanajua eti yatauawa?? Africa ya leo ni mzigo wa Dunia, hayana mchango Duniani kula kujamba tuu...na kupigana miti tu.ili wakajaze ulaya???watakula nini??

Lazima tuwapunguze nyani nyie msipotaka kuwa competent Duniani

...haya someni vitabu hivyo...na vyuo tunawapa nafasi bure....ajabu mkimaliza mnatumbuana na kuitana eti wafanyakazi fake!!

Wkt Rais anae shikia bango ni fake pure! kaiba kura!! Tumeanza nae bado wewe!!

Manaume mazima mnatumia computer za wenzenu kujibu hoja upupu bila aibu?? Haya mzanaki alikataa...

Oleweni basi??!! Hamtaki...
Kufeni polepole hamtaki...
haya leteni dhahabu na Almasi hizo mnakatalia .
haya tumieni Nyie hamtaki...
Msichafue mazingira kwa kuzaa hovyo!! Hamtaki...
Haya tafuteni dawa yenu ya ukimwi...mpone mnalia weee...

Tuwafanyeje sasa.lazima mtupishe si mli lilia uhuru tukadhani sasa mtakuwa watu...doooo!!

Ndo kwanzaaa mnatega kopo la misaada bila aibu...tena vidume vimeshiba shavu dodo vinaomba msaada kwa Bill Gate!! Kajamaa kembambaaaa!!! Heee!!bila aibu??

si afadhali muombe kufa tu??

Wanawake tutajumuika nanyi kuolewa mtake msitake...Maku zenu za nyuma hizo mtazitoa mmeshaombwa kitambo na David cameroon mkalia weee!!....sasa mda ndo huu!! Mzitoe...

Hutaki chanjo kufa......tena zile chanjo Mkuu zinabadili maumbile ya me!! Una nenepa nyuma pana pendezaaa!! Yaani nyaaa!!

Nyama yenu yoote ya mbele ita hamia nyuma!! Subirini tu

Mtakomaje!! Mkilia lia ndo mnawapa kichwa...Af wanapenda sana.

Miaka mingapi leo tangu Covid ije?? Wataalamu tena me kabisa.. mnao hapo bongo bwena wamefanya nini kuinusuru Ulaya.na Dunia???

Mnalialia tu km ke!! Sisi tulie na nyie mlie lie!!! Mweee!!!

Nasema Tutaolewa huko sisi ..mnabaki kufanyana hovyo we subiri.na ngozi nyeupe wana taka ku blend melanin zetu tu baasi!!!

Rais sasa ni ke ametengenezwa amekamatwa pabaya hapingi yeye!! Atalindwa kwa nguvu zote...

kaka Jambaxi jiandaeni tu kushikishwa ukuta hkn namna ukilia haisaidii unawapa kichwa..
 
Lia galagala baba sindano za covid zina kuhusu ukitaka shika bunduki km boko haram
 
Back
Top Bottom