#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Venus star ,Kama alivyo ,nakufuta, kuanzia unyayo wako ,kiuno,kifua, mpaka kichwa, nafufuta ukaribu KILA iliye karibu nawe, thanks my Lord, nakufuta KILA pembe ya dunia,kusini,kaskazin, magharibi, mashariki ,na imekua, Katie sadaka popote KWa wasiojiweza ,wasiopungua 147, nimemaliza na tumemalizana

Acha ukichaa wewe! Kamfute mumeo.
 
Mkuu, taratibu ndugu yangu. Gwajima huyuhuyu aliyekuwa anahusisha 5G Network na Covid ndio hero wako? Really? Huyu Mchungaji, ambae amegeuka mwanasiasa na ambae akiumwa leo anahudumiwa na Bima ya Serikali? Huyu ndie unamuamini kwamba maelezo yake kuhusu madhara ya Covid 19 Yana make sense kuliko wanasayansi bingwa duniani? Pengine wewe ni mfuasi wa kanisa lake ndio maana unamigia tarumbeta.

Pamoja na elimu yangu ndogo niliyonayo, kamwe Gwajima hawezi kuwa source of information kuhusu haya maradhi. Hata kidogo. Kama angekuwa anaamini anachikisema, angejiondoa CCM ili aendeleze mapambano yake dhidi ya corona. Lakini namuona ameanza kubadilisha kauli zake. Anapenda attention na power. Hana lolote

Hakuna dawa isiyokuwa na madhara. Tumekunywa sana Cloroquine hapo zamani kutibu Malaria. Wengi tulipona, lakini wapo wachache ambao walifariki au kuwa vichaa as side effects. Wengine waliwashwa mwili mzima mpaka wanatia huruma. Waulize watu wanaotibiwa Cancer kwa kutumia chemotherapy watakueleza madhara yake. Kuwashauri watu kwamba afadhali ufe kwa corona kuliko kuchanjwa sio ubinadamu hata kidogo. Haswa ushauri huo unapotolewa na mtu mwenye uwezo kama Gwajima.

Binafsi simuhitaji mhubiri na mpenda sifa kama Gwajima kuamua kama ntachanjwa au la. Ninachojuwa ni kwamba Corona ipo na imeua watu wengi sana. Dada yangu anafanyakazi kwenye nyumba za kuhudumia wazee huko Canada. Ananiambia kwamba kati ya mwezi March na August mwaka Jana, zaidi ya wazee elfu 10 walifariki kwa Corona. Mortuary ziliishiwa na nafasi kutokana na wingi wa vifo.

Chanzo zilipofika wakaanzwa hao wazee (the most vulnerable). Sasa hivi vifo vimepungua kwa asilimia 99. Upo uwezekano mkubwa kwamba chanjo za corona zikawa na madhara, lakini ni dhahiri kwamba hii chanjo inatibu.

Gwajima Hana tofauti na wale masheikh njaa kule Nigeria waliokuwa wanawahamasisha waumini wao kuwadhuru manesi waliokuwa wanaenda vijijini kutoa chanjo ya Polio. Bahati nzuri, Dola (Central Government) ya Tanzania ipo imara.
Acha kulia lia, nenda kadungwe machanjo!
 
Kama unasoma tafiti hutaungana naye.

Tafiti za Ujinga?

1. Magu Hakuna Korona Hakuna champ.
2. Samia kuna Korona na chanjo.
3. Akija Mwigulu 2025 - akisema kingine?

Vyote mimi nafuata? Aisee Mimi kwa kweli nikwambie Ukweri mimi Sio fala!

Gwajima ndo mtu pekee ameprove kuwa na akili timamu!
 
Ni wapi huko daktari anaandika dawa bila sahihi?
Ninachoongelea ni mimi mgonjwa, ni wapi ninapotia sahihi kwenye consent form ninapoenda kupima maralia, au ninapoandikiwa panadol kuondoa liabilities zote kwa hospitali/ serikali kwa matibabu nitakayopewa ? Hiyo conset form wameteleza kuiweka, ukiangalia hali halisi ya acceptance ya chanjo ipo chini halafu wameongezea kitu kinachowapa sababu wale wanaokataa chanjo kuendelea kuikataa !
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Kwanza jifunze kusimama na Mungu ama ukweli usisimame na mtu....
Hoja zote hapo ni dhaifu na zishajibiwa, waoga hawatochanja Bali wasokuwa waoga. Wengine walojidai sio woga wameshatangulia mbele za haki!! Akili kumkichwa...
 
Mkuu, taratibu ndugu yangu. Gwajima huyuhuyu aliyekuwa anahusisha 5G Network na Covid ndio hero wako? Really? Huyu Mchungaji, ambae amegeuka mwanasiasa na ambae akiumwa leo anahudumiwa na Bima ya Serikali? Huyu ndie unamuamini kwamba maelezo yake kuhusu madhara ya Covid 19 Yana make sense kuliko wanasayansi bingwa duniani? Pengine wewe ni mfuasi wa kanisa lake ndio maana unamigia tarumbeta.

Pamoja na elimu yangu ndogo niliyonayo, kamwe Gwajima hawezi kuwa source of information kuhusu haya maradhi. Hata kidogo. Kama angekuwa anaamini anachikisema, angejiondoa CCM ili aendeleze mapambano yake dhidi ya corona. Lakini namuona ameanza kubadilisha kauli zake. Anapenda attention na power. Hana lolote

Hakuna dawa isiyokuwa na madhara. Tumekunywa sana Cloroquine hapo zamani kutibu Malaria. Wengi tulipona, lakini wapo wachache ambao walifariki au kuwa vichaa as side effects. Wengine waliwashwa mwili mzima mpaka wanatia huruma. Waulize watu wanaotibiwa Cancer kwa kutumia chemotherapy watakueleza madhara yake. Kuwashauri watu kwamba afadhali ufe kwa corona kuliko kuchanjwa sio ubinadamu hata kidogo. Haswa ushauri huo unapotolewa na mtu mwenye uwezo kama Gwajima.

Binafsi simuhitaji mhubiri na mpenda sifa kama Gwajima kuamua kama ntachanjwa au la. Ninachojuwa ni kwamba Corona ipo na imeua watu wengi sana. Dada yangu anafanyakazi kwenye nyumba za kuhudumia wazee huko Canada. Ananiambia kwamba kati ya mwezi March na August mwaka Jana, zaidi ya wazee elfu 10 walifariki kwa Corona. Mortuary ziliishiwa na nafasi kutokana na wingi wa vifo.

Chanzo zilipofika wakaanzwa hao wazee (the most vulnerable). Sasa hivi vifo vimepungua kwa asilimia 99. Upo uwezekano mkubwa kwamba chanjo za corona zikawa na madhara, lakini ni dhahiri kwamba hii chanjo inatibu.

Gwajima Hana tofauti na wale masheikh njaa kule Nigeria waliokuwa wanawahamasisha waumini wao kuwadhuru manesi waliokuwa wanaenda vijijini kutoa chanjo ya Polio. Bahati nzuri, Dola (Central Government) ya Tanzania ipo imara.
Gwajima hana jipya.
Maswali yake amekopi na kupesti kwa hao hao wazungu.

Wazungu wameulizana sana hayo maswali ya Gwajima. Na huko kwa wazungu bado wanauliza sana lakini sayansi sio kama dini mtu anaweza kufanya utafiti na kujua kama zina sumu au hazina.

Gwajima amekua Kama Kibwetere. Atapeta maafa makubwa sana kama ataendelea kuchochea watu kwenye mikutano na mikusanyiko yake kipindi hiki cha Korona.

Huwezi kuwa Mhubiri au Askofu halafu unashindwa kuhubiri habari za toba badala yake unatumia muda mwingi kuzungumzia siasa kwenye Taifa lililojaa Wazinzi ,walevi,wauaji, watu wanaoua waume zao au wake zao, watu wasioheshimu baba zao na mama zao, watu wanaotukana hovyo , watu wanaofanya biashara za vitu feki ,riba kubwa inayopira vipato vya watu, watu wasiowapenda majirani, watu wala rushwa, walawiti, mashoga, washirikina maRPC wanaobambika watu kesi, watu wenye chuki ,waonevu, mawaziri na watawala wasiolipa kodi na wote waliojaa maovu kwenye mioyo yao .

Sio watu wote wanaoweza kutembea juu ya maji kama YESU hivyo kuwaambia watu wasipande botia au meli kwa sababu tu YESU alitembea juu ya maji ni kuwadanganya huku ukijua kuwa watazama kwa sababu hawana imani kubwa.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Shida ni kwamba, hayuko tayari kujifunza, ana majibu yake kichwani. Hata akijibiwa atakuja na maswali mengine tena.

Ni kawaida ya vitu vipya, hata ARV watu walizikataa mapema tu, walipoona wenzao afya zinaimalika wakati wao wanabaki na kilo 2, walikubali. Leo hakuna ubishi wa ARV
 
Gwajima hana jipya.
Maswali yake amekopi na kupesti kwa hao hao wazungu.

Wazungu wameulizana sana hayo maswali ya Gwajima. Na huko kwa wazungu bado wanauliza sana lakini sayansi sio kama dini mtu anaweza kufanya utafiti na kujua kama zina sumu au hazina.

Gwajima amekua Kama Kibwetere. Atapeta maafa makubwa sana kama ataendelea kuchochea watu kwenye mikutano na mikusanyiko yake kipindi hiki cha Korona.

Huwezi kuwa Mhubiri au Askofu halafu unashindwa kuhubiri habari za toba badala yake unatumia muda mwingi kuzungumzia siasa kwenye Taifa lililojaa Wazinzi ,walevi,wauaji, watu wanaoua waume zao au wake zao, watu wasioheshimu baba zao na mama zao, watu wanaotukana hovyo , watu wanaofanya biashara za vitu feki ,riba kubwa inayopira vipato vya watu, watu wasiowapenda majirani, watu wala rushwa, walawiti, mashoga, washirikina maRPC wanaobambika watu kesi, watu wenye chuki ,waonevu, mawaziri na watawala wasiolipa kodi na wote waliojaa maovu kwenye mioyo yao .

Sio watu wote wanaoweza kutembea juu ya maji kama YESU hivyo kuwaambia watu wasipande botia au meli kwa sababu tu YESU alitembea juu ya maji ni kuwadanganya huku ukijua kuwa watazama kwa sababu hawana imani kubwa.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Mzee wewe nenda kadungwe yaishe mbona kelele nyingi.
 
Shida ni kwamba, hayuko tayari kujifunza, ana majibu yake kichwani. Hata akijibiwa atakuja na maswali mengine tena.

Ni kawaida ya vitu vipya, hata ARV watu walizikataa mapema tu, walipoona wenzao afya zinaimalika wakati wao wanabaki na kilo 2, walikubali. Leo hakuna ubishi wa ARV
Mzee nadhani umekua juzi juzi. Kifupi nenda kadungwe. Muda ni Mwalimu mzuri sana.
 
Nasikia kuna watu wamekula pesa ndefu. Mkuu wa usalama, alikuwa anajenga Nyumba Mbweni kaiangusha(Kaibomoa) Kaambiwa hiyo nyuma siyo hadhi yake.

Kapiga pesa ndefu sasa hivi anajenga nyingine.
unaleta umbea tu hapa,kma ni kweli kaibomoa si atakuwa anataka ajenge kubwa zaidi...au ndogo au kapata Raman nzur zaidi?na pesa pia ni ZAKE...NYIE NDIO WATU ,MTU AKIPATA PESA KIDOGO MTAANI MNAANZA MWITA FREEMASON
 
Tunapofikia kumuamini kiongozi wa dini au zehebu ambaye ameacha kuhubiri mambo ya biblia au kurani na badala yake anaongelea mambo ya kidaktari ni wazi tunaelekea kubaya km taifa.
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea

It’s more complicated than you think! Ungejua scientists community yenyewe imegawanyika (haiongei kwa sauti moja) hata usingemlaumu Askofu Gwajima.

Kumbuka, hata Christians (ambao lengo lao ni moja la kwenda mbinguni) wameshindwa kukubaliana juu ya njia sahihi ya kufikia hilo lengo pamoja na kwamba wote wanasoma msahafu mmoja (Biblia). Je, ni sahihi kwa Catholics kuwalaumu Christians wa madhehebu mengine kwa uamuzi wao wa kufuata njia wanazoziamini kuwa ndizo zitawawezesha kufikia lengo lao la kwenda mbinguni?
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Na huyu Gwajima kudhibitisha yeye ni boya ni kudanganya watu kuwa anafufua maiti,alionyesha kwenye video moja anamfufua mtu aliyekufa,sasa kama ana uwezo huo si angemfufua mwendazake basi aliyempa ubunge ili tumuamini maneno yake? Siyo kutumia nguvu nyingi kuhubiri uongo huku jasho la kwapa likimtoka kama kabeba mzigo wa kuni.
 
Huyu askofu rashidi wenzake kama yeye walibeza sana huu ugonjwa matokeo yake ikiwapata wanaomba wapelekwe hospitali kule kule kwenye sayansi wanayoipinga kuwapa kazi ya ziada madaktari wetu, mimi ombi langu watu kama hawa wanaojifanya kujua na wakaidi siku wakija kuumwa na wakizidiwa wapelekeni kwenye nyugu tu hata msiwapeleke hospitali kuwapa kazi madaktari wetu,waachwe tu maana inawezekana mungu atawapenda zaidi watupunguzie wajinga kwenye jamii yetu.
 
Mkuu, taratibu ndugu yangu. Gwajima huyuhuyu aliyekuwa anahusisha 5G Network na Covid ndio hero wako? Really? Huyu Mchungaji, ambae amegeuka mwanasiasa na ambae akiumwa leo anahudumiwa na Bima ya Serikali? Huyu ndie unamuamini kwamba maelezo yake kuhusu madhara ya Covid 19 Yana make sense kuliko wanasayansi bingwa duniani? Pengine wewe ni mfuasi wa kanisa lake ndio maana unamigia tarumbeta.

Pamoja na elimu yangu ndogo niliyonayo, kamwe Gwajima hawezi kuwa source of information kuhusu haya maradhi. Hata kidogo. Kama angekuwa anaamini anachikisema, angejiondoa CCM ili aendeleze mapambano yake dhidi ya corona. Lakini namuona ameanza kubadilisha kauli zake. Anapenda attention na power. Hana lolote

Hakuna dawa isiyokuwa na madhara. Tumekunywa sana Cloroquine hapo zamani kutibu Malaria. Wengi tulipona, lakini wapo wachache ambao walifariki au kuwa vichaa as side effects. Wengine waliwashwa mwili mzima mpaka wanatia huruma. Waulize watu wanaotibiwa Cancer kwa kutumia chemotherapy watakueleza madhara yake. Kuwashauri watu kwamba afadhali ufe kwa corona kuliko kuchanjwa sio ubinadamu hata kidogo. Haswa ushauri huo unapotolewa na mtu mwenye uwezo kama Gwajima.

Binafsi simuhitaji mhubiri na mpenda sifa kama Gwajima kuamua kama ntachanjwa au la. Ninachojuwa ni kwamba Corona ipo na imeua watu wengi sana. Dada yangu anafanyakazi kwenye nyumba za kuhudumia wazee huko Canada. Ananiambia kwamba kati ya mwezi March na August mwaka Jana, zaidi ya wazee elfu 10 walifariki kwa Corona. Mortuary ziliishiwa na nafasi kutokana na wingi wa vifo.

Chanzo zilipofika wakaanzwa hao wazee (the most vulnerable). Sasa hivi vifo vimepungua kwa asilimia 99. Upo uwezekano mkubwa kwamba chanjo za corona zikawa na madhara, lakini ni dhahiri kwamba hii chanjo inatibu.

Gwajima Hana tofauti na wale masheikh njaa kule Nigeria waliokuwa wanawahamasisha waumini wao kuwadhuru manesi waliokuwa wanaenda vijijini kutoa chanjo ya Polio. Bahati nzuri, Dola (Central Government) ya Tanzania ipo imara.
Hata chakula pia kina madhara...lakini faida zake zinayatupa mbali madhara yake, ndio maana tunakila bila hata ya kujiuliza!
Sasa naomba unipe faida ya hiyo chanjo unayoidalaliya!
By the way, chanzo cha taarifa changu siyo gwajima! Imetokea tu naye ameuelewa mchezo wa kihuni unaendelea duniani!
 
Back
Top Bottom