#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Naona umetoka msalani moja kwa moja mpaka jukwaani. Soma posts kabla ya ku-post.
Nakupa onyo Mara MOJA sio ombi ni lazima , huna cha kusema kaa kimia , utadhalilika hapo hulipo mda huu napitia jf, una matusi peleka nyumbani kwenu, nasema na nimemaliza , mtu maisha YAKO ya kesho hujui then waja na vimbwengo KWa 47 mbatizaji ,ACHA Mara MOJA nakuonya ,sio ombi narudia ,ni lazima kutii ,hutaki twende utakavyo Sasa
 
Nimechanganyikiwa Kama vijana wa ccm walivyo changanyikiwa, kwamba unapinga katiba mpya WAKATI umevaa flana ya katiba mpya, Mungu ameikataa ccm kiutawala ,Mwafaa ccm
Mungu yupi unayemuongelea!? Yule Mungu wa kuchanja chale za kizungu!?
 
Nakupa onyo Mara MOJA sio ombi ni lazima , huna cha kusema kaa kimia , utadhalilika hapo hulipo mda huu napitia jf, una matusi peleka nyumbani kwenu, nasema na nimemaliza , mtu maisha YAKO ya kesho hujui then waja na vimbwengo KWa 47 mbatizaji ,ACHA Mara MOJA nakuonya ,sio ombi narudia ,ni lazima kutii ,hutaki twende utakavyo Sasa
Wewe ubosi peleka Nyumbani kwenu hapa ni free zone.
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Nyongeza:
5.Kwa nini wahudumu wanaochanja wanalipwe Sh.2,000,000 tofauti na chanjo zingine,na Marekani kila anayechanjwa anapata dollar 100?
6.Kwa nini wasanii watumike kuhamasisha tofauti na chanjo zingine?
7.Kwa nini nguvu kubwa sana inatumika na kimsingi na kiuhalisia ugonjwa huu haupo ila unapewa nguvu na wanasiasa na vyombo vya habari?
8.Kwa nini chanjo imepata nguvu baada ya Magufuli?
9.Kwa nini ugonjwa umeibuka kwa nguvu baada ya Magufuli?
10.Kwa nini serikali isiwaambie wananchi imebadili msimamo badala yake inafanya mambo kinyemela?
11.Kamati imetumia siku 16 tu kutoa ripoti.Serikali haioni kwamba huu ni muda mfupi sana kwa swala nyeti kama hili?
12 Serikali haioni kwamba ni makosa kutumia dawa ya majaribio kwa wananchi wake na kimsingi kuwafanya wananyama wa majaribio na hivyo kuwa-expose kwenye hatari ambazo hazitabiriki?
13.Serikali haioni kwamba athari za chanjo zilizo zilizo tengenezwa
kwa muda mfupi namna hii bila kufanyiwa majaribio ya kutosha hazitabiriki kwa hiyo ni hatari kwa wananchi?


Na mimi kama maswali hayo hayakupata majibu,nipo upande wa msimamo wa Hayati
Magufuli ,kwa kuwa nao ni msimamo wa serikali,haujabatilishwa.
 
Mungu yupi unayemuongelea!? Yule Mungu wa kuchanja chale za kizungu!?
Ok usiwe na shida ,utamuona endelea mkuu, aina hii ya kwako nawapenda Sana ili mkatoe
Wewe ubosi peleka Nyumbani kwenu hapa ni free zone.
Ok ,napeleka kwake Alie hai ,najua ndipo nilipo na kuishi,

Sikia

Venus star ,Kama alivyo ,nakufuta, kuanzia unyayo wako ,kiuno,kifua, mpaka kichwa, nafufuta ukaribu KILA iliye karibu nawe, thanks my Lord, nakufuta KILA pembe ya dunia,kusini,kaskazin, magharibi, mashariki ,na imekua, Katie sadaka popote KWa wasiojiweza ,wasiopungua 147, nimemaliza na tumemalizana
 
Nakupa onyo Mara MOJA sio ombi ni lazima , huna cha kusema kaa kimia , utadhalilika hapo hulipo mda huu napitia jf, una matusi peleka nyumbani kwenu, nasema na nimemaliza , mtu maisha YAKO ya kesho hujui then waja na vimbwengo KWa 47 mbatizaji ,ACHA Mara MOJA nakuonya ,sio ombi narudia ,ni lazima kutii ,hutaki twende utakavyo Sasa
Chizi sio lazima aokote makopo au apekue majalala.
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Ninashangazwa sana na hawa watu wanaopinga chanjo bila kuwekea madhara yake kwamba tukichanja tutapatwa na madhara yepi
Na je wameingia maabara zipi kuthibitisha haya

kwa sababu ninachokiona kwa hawa ni uchonganishi wanaowafanyia wananchi dhidi ya kiongozi wao mkuu na ambaye ndiye Rais wa nchi kwa sababu yeye Rais anahamasisha chanjo kwamba raia wake wote wachache na hivyo hiyo ndiyo namna ya kupambana na korona na anawahakikishia na kuwashawishi kwamba kwa kufanya hivyo itawazuia kufa kwa Korona na kwa sababu yeye ndiye was kiongozi mkuu wengi wa wananchi watamwelewa na kuchanja ama kunao watakao kataa kuchanja kwa sababu kwamba wao wamewasikiliza watu wao wanaowaamini

lakini wakati ambao Rais na viongozi wengine wa serikali wakihasisha kuchanja anaibuka mtu mwingine ambaye anayo madaraka yake kwa kikundi ama kundi flani la watu naye anapingana na Rais na kusema kwamba tusichanje kwa sababu chanjo inayo madhara ambayo hayajaorodheshwa wala kutajwa kwenye mikutano ama matamasha wanayoyatumia katika kupingana na Rais na viongozi wengine wenye kuungana na Rais kwenye ushawishi wa kuchanja

sasa hapa kaswali kangu kadogo tu ni kwamba je hawa wapingaji wa chanjo siyo kwamba wanamchonganisha rais na wananchi wake? hapa kwa tafsiri nyepesi tu ni kwamba anawaambia wananchi ya kwamba rais anataka wananchi wafe ndiyo maana anawahamasisha wakachanje ili wafe je hii siyo hujuma na kukosa utii?

nashauri watu wa namna ya kina Gwajima vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kuhangaika nao kwa kuwashughulikia maana kwa sababu chanjo ni hiari ikiwa wao hawataki na wala hawamini ktk chanjo walipaswa kukaa kimya maadamu hawajalazimishwa kuchanja na wala kama siyo uchonganishi hawakupaswa kuwashawishi tena kwa waziwazi watu wengine kwamba wasichanjwe

wanapaswa kuyaheshimu madaraka ya Urais kwani Urais hauna mipaka katika kuongoza kwake

na pia nashauri ni wakati wa vyombo vya usalama kushughulika na hawa watu wa namna ya Gwajima kuwaelewesha ama kwa taratibu au kwa namna yeyote ya kwamba hawaruhusiwi kulitolea ufafanuzi wala tafsri ya kupingana ktk hili swala la kupambana na kuizuia korona na kwamba waelewe serikali haijasema kwamba imefungua mjadala wa chanjo ya Korona na kwa hivyo wao kama wao hawaruhusiwi kuliongelea kwa namna ya tofauti ama namna inayokinzana na Serikali katika swala hili na kwa yeyote atakayebainika akitoa tafsri yenye kupotosha kuchanjwa Korona atachukuliwa hatua kali za sheria

nakaa sana nawatafakari hawa watu najiuliza je wanayo nia gani? Kwa nini wanafanya haya?

napata jibu kwamba ni watu wenye tamaa mbaya za kimadaraka watu wasijali wenzao wala maisha ya wenzao na hapa ni kwamba wanatafuta tu kujulikana kwa ajili ya maslahi yao binafsi ya kisiasa siku za baadaye kwani kwa kupingana huku kwao pia kuko ktk hali ya kubahatisha na kama upigaji ramli kwamba ikiwa kama gonjwa halitakuwa na mlipuko kama tunavyoelezwa basi nao watajitokeza sasa na kusema kuwa wao ni manabii na walitabiri na sasa watu hawajakufa kama walivyotangaziwa wao watu wenye kufahamu mambo mengi na kumbe watu wakifa haina madhara kwao kwa sababu waliopaswa kuwahoji walishafariki

kwani nini wasituambie madhara yake kisayansi?

naomba serikali ije na mwarubaini kwenye hili swala.
Itoe onyo kali na ipige marufuku kabisa kwa vyombo ambavyo havina dhamana ya kusimamia afya za wanachi kuongelea ama kutafsri kwa njia ya tofauti na ile inayopendekezwa na kusimamiwa na serikali

na pia kwa sababu mtu kama Gwajima pengine kwa sababu zake za kimaslahi ndizo zilizopelekea yeye kuwepo kwenye siasa na hatimaye bungeni akiamini kwamba kunazo pesa nyingi zaidi ya alizokuwa anapata kwenye kuhubiri kwake na sana amegundua kwamba ni tofauti na alivyotegemea kwani kanisani ndiko kwenye pesa na sasa anataka kujiondoa kwenye siasa ili arejee kwenye kuhubiri kwa namna hii anakosa njia nzuri ya kujiondoa hivyo anaamua kujilipua kwa namna hii akitafuta kugombana na serikali ili serikali umuondolee hadhi ya ubunge
Namshauri mwenyekiti wa ccm ashauriane na uingozi wa chama ngazi za juu awashawishi wamkubali kumnyang’anya kadi ya ccm Gwajima na kumfukuza uanachama wa ccm hivyo kwamba apoteze sifa ya kuwa mbunge kwa sababu atakuwa hana chama na hivyo kuondokana naye ili aweze kurudi vizuri kwenye kazi yake ya mwanzo ambayo ni uchungaji
Naomba kwa leo niishie hapa kwanza.
 
Back
Top Bottom