#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

a

Acha kuita mazezeta watu wenye akili timamu...kama vipi ww kachanje na muda ndio hakimu wa kweli...tutakuja kujua nani kati yetu atakuwa zombie 5years down the line!
Mkuu Kuna aliyewaita waumini wa Askofu Gwajima mazezeta ndio ironically nikamwambia na hao ni "waumini mazezeta" wa Askofu Gwajima.
 
Wewe u
Wewe unafikiri Ulaya hakuna mazezeta? Hawa si ndio wanaandika maugoro kwenye ma blog na kutengeneza propaganda za kienyeji kwa kutumia bulb zenye switch kwa chini eti ukiweka bega la aliyochanjwa inawaka? Hawa ndio anasoma makala zao za kizezeta na anakuja kuwalishi misukule inayomsikiliza
Lakini dogo, inamaana hairuhusiwi kuipinga chanjo? Kama ni hivyo, kwanini Serikali Yetu Pendwa inasisitiza chanjo ni hiari!? Unafikiri haijui kuwa wengine kama mimi hawapo tayari kuchanjwa? Kama vipi wewe kachanje utukomoe sie tusiotaka kuchanjwa!!
 
Kamsikilizeni NA huyu youtube jamani sio gwajima tu
Screenshot_20210801-203151.jpg
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Uyu anatafuta sifa tu, izo hoja zake ni nyepesi mno, alafu si anasemaga anamakanisa nje ya nchi tutaona Kama atakuja kwenda kwenye nchi yao Kama hajapata chanjo, Gwajima atachanja kimia kimia ,nchi jirani nawambieni Kama kweli hajachanja kimia kimia,

GWAJIMA najua anasafili kwenda nje je chanjo ya hepatitis B,c hakuwai pata? Màana zipo chanjo upende usipende utachanja kambla ya kuingia kwenye mataifa ya watu, na Kama ndivyo , kachanja Iyo chanjo alitengeneza kanisani kwake,

Mtu mzima ,tena kiongozi mkubwa wa dini anakua muongo mpaka wajukuu zake wanamshangaa,
 
Uyu anatafuta sifa tu, izo hoja zake ni nyepesi mno, alafu si anasemaga anamakanisa nje ya nchi tutaona Kama atakuja kwenda kwenye nchi yao Kama hajapata chanjo, Gwajima atachanja kimia kimia ,nchi jirani nawambieni Kama kweli hajachanja kimia kimia,

GWAJIMA najua anasafili kwenda nje je chanjo ya hepatitis B,c hakuwai pata? Màana zipo chanjo upende usipende utachanja kambla ya kuingia kwenye mataifa ya watu, na Kama ndivyo , kachanja Iyo chanjo alitengeneza kanisani kwake,

Mtu mzima ,tena kiongozi mkubwa wa dini anakua muongo mpaka wajukuu zake wanamshangaa,
Kwani chanjo ya hepatitis B ni mRNA?
 
Ndg acha kukariri! Covax zote hazizuii mtu asipate maambukizi na ugonjwa wa covid-19!
Matokeo ya utafiti wa awali unaonyesha wote waliochanjwa na wasiochanjwa wanapata maambukizo mapya, wanaugua covid-19 na wengine hata kufa bila kujali status ya chanjo! Pfizer iliyokuwa inajinasibu angalau kukingakinga imebainika baada ya 6 months tangu udungwe inachuja kabisa!
Kwa kifupi they are neither safe nor effective at prevention of covid-19!
Tusichoshane kupigiana kelele za kuchanjwa!
Tena kuna haja ya kufuatilia hivyo vifo vinavyodaia vya covid-19 tz isijekuwa ndio wale waliochepuka kwenda kuchanjwa nje ya nchi ndio madhara ya hizo chanjo zao zinawavuna!
Sehemu ya Taarifa ya Wataalamu iliyochapishwa kwenye tovuti ya Center for Disease Contro and Prevenvion inasema:-
Vaccine efficacy refers to how well a vaccine performs in a carefully controlled clinical trial, whereas effectiveness describes its performance in real-world observational studies. Evidence demonstrates that the authorized COVID-19 vaccines are both efficacious and effective against symptomatic, laboratory-confirmed COVID-19, including severe forms of the disease. In addition, a growing body of evidence suggests that mRNA COVID-19 vaccines also reduce asymptomatic infection and transmission. Substantial reductions in SARS-CoV-2 infections (both symptomatic and asymptomatic) will reduce overall levels of disease, and therefore, viral transmission in the United States. However, investigations are ongoing to assess further the risk of transmission from fully vaccinated persons with breakthrough infections.
Full report, inapatikana hapa!!

Haya, weka hapa credible source ya hayo uliyosema! Na iwe ni source yenye maelezo ya watalaamu na sio consipiracy theorists ambao hawajafanya utafiti wowote wa kitabibu!!
 
Tangu lini ZWAZWA akawa na hoja? Mbona kachanja chanjo nyingi tu maishani mwake zikiwemo za polio, kifua kikuu, polio etc na hayo maswali yake ya kipuuzi hakuyauliza!??
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
 
Kwa hiyo kama hizo effect za muda mrefu hazifahamiki bado huoni kama kuwadunga watu chanjo ambayo madhara yake ya muda mrefu hayajajulikana ni sawa na kunywa dawa za mganga wa kienyeji tu. Ni ikitokea hizo chanjo zikawa na madhara mkubwa kwa binadamu na huku mabilioni ya watu wameshachanjwa mnategemea nini kitatokea? Au itatafutwa chanjo nyingine ya ku-undo hayo madhara. I STAND WITH GWAJIMA ON THIS MATTER.
Za kuambiwa changanya na zako
 
Tangu lini ZWAZWA akawa na hoja? Mbona kachanja chanjo nyingi tu maishani mwake zikiwemo za polio, kifua kikuu, polio etc na hayo maswali yake ya kipuuzi hakuyauliza!??
Mzee nenda kachanje Mimi nipo upande wa Gwajima
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Rev. Bishop Josephat Gwajima anajua haya kuliko wewe na wenzako huko mnavyojua...!!

Ukiachilia mbali molecular biology science ya hizo DNA na RNA na kirusi wa CORONA anavyozaliana na kuushambulia mwili wa host, mwenzako ana elimu ya sayansi bora zaidi [spiritual science] ambayo wenye maarifa ya kidunia pekee kama wewe hawana na hawajui lolote...!!

Kwa sababu hii, ni wazi kuwa ni ngumu kumwelewa Rev. Bishop Josephat Gwajima kwa sababu mnasafiri kwa kutumia masafa [frequency] tofauti...

Mwenzenu anatumia masafa marefu [high frequency] ktk kujenga hoja zake na ninyi mnatumia masafa mafupi [low frequency]....

Kwa hiyo, if this is the case, there's no way tunaweza kukutana wala kupatana. Lazima tu upande mmoja ushindwe spectacularly...!

Na upande huo obviously ni ule unaotegemea akili za kibinadamu ktk ku - argue na kuamua juu ya mambo haya. Upande huo ni huo wenu ninyi mnaomshambulia mtu huyu just for the sake ya kumshambulia tu...
 
Rev. Bishop Josephat Gwajima anajua haya kuliko wewe na wenzako huko mnavyojua...!!

Ukiachilia mbali molecular biology science ya hizo DNA na RNA na kirusi wa CORONA anavyozaliana na kuushambulia mwili wa host, mwenzako ana elimu ya sayansi bora zaidi [spiritual science] ambayo wenye maarifa ya kidunia pekee kama wewe hawana na hawajui lolote...!!

Kwa sababu hii, ni wazi kuwa ni ngumu kumwelewa Rev. Bishop Josephat Gwajima kwa sababu mnasafiri kwa kutumia masafa [frequency] tofauti...

Mwenzenu anatumia masafa marefu [high frequency] ktk kujenga hoja zake na ninyi mnatumia masafa mafupi [low frequency]....

Kwa hiyo, if this is the case, there's no way tunaweza kukutana wala kupatana. Lazima tu upande mmoja ushindwe spectacularly...!

Na upande huo obviously ni ule unaotegemea akili za kibinadamu ktk ku - argue na kuamua juu ya mambo haya. Upande huo ni huo wenu ninyi mnaomshambulia mtu huyu just for the sake ya kumshambulia tu...
Hapo kwenye frequency ndipo anapo wateka akili za mazezeta.

Gwajima awe na frquency kwa theology gani aliyosoma na kwa chuo gani cha theology?

Mtu aliyejitngaza mwenyewe kuwa askofu na kujifanyia mwenyewe mambontofuti na makasisi unasema !!!! Frequently

Maaskofu walio undergo hutua zote za kusimikwa uaskofu baada y kusoma vyuo vyenye ithibati na mitaala ya makasisi akina shoo, mwalasua, rwaichi wamekubali chanjo halafu unaniambia habari ya frquency za gambosh zinazodanganya watu zinafufua watu na misukule wakati hajawahi kufufua hata Panya? Huyu Mungu amekaa kimya watu wanamchezea saana
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Hoja ya kwanza.

Fomu ya kujaza kukubali kupewa uduma ya afya ni jambo la kawaida sana kwani chochote kinaweza kutokea. Chanjo zote lazima ujaze consent form.

Hoja ya pili: Nani kalazimishwa?

Hoja ya tatu: soma hio link


Hoja ya nne:

Chanjo ni nini? Ukishapata jibu ndio utajua kwanini mda mwingine mtu anahitaji booster shot.
 
Hoja ya kwanza.

Fomu ya kujaza kukubali kupewa uduma ya afya ni jambo la kawaida sana kwani chochote kinaweza kutokea. Chanjo zote lazima ujaze consent form.

Hoja ya pili: Nani kalazimishwa?

Hoja ya tatu: soma hio link


Hoja ya nne:

Chanjo ni nini? Ukishapata jibu ndio utajua kwanini mda mwingine mtu anahitaji booster shot.
Mzee wewe ni mtanzania au mkenya!?
Tumechanjwa chanjo kibao, lini tumejaza fomu!? Usitupotoshe.
 
Hapo kwenye frequency ndipo anapo wateka akili za mazezeta.
Kama hujui na huelewi utajiona umetekwa. Tunaoifahamu lugha hiyo hatuna shida...
Gwajima awe na frquency kwa theology gani aliyosoma na kwa chuo gani cha theology?
Theology halisi na yenye manufaa kwa binadamu haisomewi chuo chochote hapa duniani. Chuo cha Theology yetu ni NENO LA MUNGU na ROHO MTAKATIFU...

Inayosomewa ni ile ya kutafutia heshima na vyeo vya kidini hapa duniani...

Niambie Yesu Kristo alisoma chuo gani cha theology? Sisi tunafuata njia yake, mafundisho take na mfano wa maisha yake...
Mtu aliyejitngaza mwenyewe kuwa askofu na kujifanyia mwenyewe mambontofuti na makasisi unasema !!!! Frequently
Unajua utaratibu wa kanisa lake? Mbona kama umekariri? Utaratibu wa kanisa/dhehebu lako la kumpata Askofu siyo lazima utumiwe na kanisa/dhehebu jingine. Muhimu ni kibali toka kwa Mungu na watu. Anacho kibali hicho...!!
Maaskofu walio undergo hutua zote za kusimikwa uaskofu baada y kusoma vyuo vyenye ithibati na mitaala ya makasisi akina shoo, mwalasua, rwaichi wamekubali chanjo halafu unaniambia habari ya frquency za gambosh zinazodanganya watu zinafufua watu na misukule wakati hajawahi kufufua hata Panya?
Nisome ktk hoja ya hapo juu na jinsi ya kumpata Askofu wa dhehebu/kanisa fulani.

More over, nasikitika ni kama vile hujui lolote kuhusu nguvu ya Mungu na Neno lake (Biblia). Katika hili ngumu tukaongea na kuelewana kwa sababu kama nilivyosema tunafikiri kwa kutumiwa masafa (frequency) tofauti...!
Huyu Mungu amekaa kimya watu wanamchezea saana
Isije ikawa wewe ndiye unayemchezea na ameamua kukustahi na kukuvumilia ili labda you will sooner or later come into your sense...

Tubu na mwamini Yesu Kristo ili awe Bwana na mwokozi wako. Hii ndiyo njia salama ya kujiokoa na ghadhabu ya Mungu...
 
Back
Top Bottom