Uyu anatafuta sifa tu, izo hoja zake ni nyepesi mno, alafu si anasemaga anamakanisa nje ya nchi tutaona Kama atakuja kwenda kwenye nchi yao Kama hajapata chanjo, Gwajima atachanja kimia kimia ,nchi jirani nawambieni Kama kweli hajachanja kimia kimia,
GWAJIMA najua anasafili kwenda nje je chanjo ya hepatitis B,c hakuwai pata? Màana zipo chanjo upende usipende utachanja kambla ya kuingia kwenye mataifa ya watu, na Kama ndivyo , kachanja Iyo chanjo alitengeneza kanisani kwake,
Mtu mzima ,tena kiongozi mkubwa wa dini anakua muongo mpaka wajukuu zake wanamshangaa,