#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Hii sio hoja ya kisayansi!!! Isitoshe, hata wakati hizo chanjo zingine ni za lazima, chanjo ya covid sio lazima!! Kwavile chanjo zingine ni lazima, serikali wata-bear responsibility in case if anything bad happens! Wala usidhani kwamba hizo chanjo zingine hazina effect, hell no!!!

Sasa kwavile chanjo ya covid-19 sio lazima, basi idhini ya mchanjwaji ni muhimu ili akipata side affect, asimlaumu mtu kwavile hakulazimishwa kuchanja!!

In a medical world world, hata operesheni na yenyewe sio lazima na ndio maana kufanyiwa operesheni ni lazima utoe go-ahead mwenyewe au walio na wajibu kwako!!

Hapo kwako umeletewa watu wa kululazimisha kuchanja?!

Sio lazima, lakini it's a matter of time kabla haijawa lazima manake hata huko duniani ndicho wanachofikiria hivi sasa!! Dunia haiwezi kuhatarishiwa usalama wake kwa watu wasio na uwezo wa kufafanua even what's pathology!

Kama anauliza hilo swali basi inaonesha wazi anatumia muda mwingi kusoma biblia au kupiga porojo badala ya kutafuta taarifa za kitalaamu!! Au inawezekana anafanya makusudi ili kuwajaza watu ujinga!!!

Ukiingia website ya WHO utakuta wameeleza hilo analotaka yeye aelezwe badala ya kutafuta taarifa:-


SIO KWELI!

Kuna vaccines zinazohitaji single dose na zingine zinahitaji 2-doses!!!

Hata hivyo, as reported earlier last month, liibuka Delta Variant ambayo inaonekana haisikii hii chanjo! Kwa mfano, baada ya watu kutoka Cape Cod kujisahau na kuanza kula bata kama hawana akili mzuri (mambo ya summer time), wengi wa wale waliokuwa kwenye mikusanyiko ya summer wakagundulika wameathirika ingawaje walikuwa wamechanjwa but 90% kati yao ni delta variant!

Lakini pamoja na yote hayo, utafiti wa karibuni bado unaonyesha chanjo ina uwezo mkubwa sana wa kuzuia homa kali na vifo! Kwa mfano, kabla ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliopata maambukizi, 28 walikufa lakini kwa sasa baada ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliochanjwa na kupata maambukizi, wanaoweza kufa ni less than 2.

Ni hadi uwe Kondoo Mtiifu wa Gwajima ndipo unaweza kupuuza hayo mafanikio!

HONGERA KWA "KUJITAMBUA"
Mzee umeandika nini sasa!?
 
Hivi Tanzaniania hatuna wataalamu wa kinga na tiba kabisa wakaweza kudadavua na kuweka bayana sababu za kwa nini chanjo isitiliwe shaka?
Au ndio wataalamu wetu hawa njaa kali wanaendeshwa na wanasuasa!
Kwa nini hoja za Gwajima zisijibiwe? Kama hakuna mwenye majibu, kwa nini tusikubaliane na Gwajima badala ya kumwita mpotoshaji?
Nakazia: Kwa nini ukichanjwa chanjo ya corona bado unaweza kuambukizwa, kuambukiza na hata kuugua corona?
 
Kifupi

RNA carries out a broad range of functions, from translating genetic information into the molecular machines and structures of the cell to regulating the activity of genes during development, cellular differentiation, and changing environments. RNA is a unique polymer.
Asante. Nime some immunology na molecular ila kukumbushana ni vizuri.
 
Hivi Tanzaniania hatuna wataalamu wa kinga na tiba kabisa wakaweza kudadavua na kuweka bayana sababu za kwa nini chanjo isitiliwe shaka?
Au ndio wataalamu wetu hawa njaa kali wanaendeshwa na wanasuasa!
Kwa nini hoja za Gwajima zisijibiwe? Kama hakuna mwenye majibu, kwa nini tusikubaliane na Gwajima badala ya kumwita mpotoshaji?
Nakazia: Kwa nini ukichanjwa chanjo ya corona bado unaweza kuambukizwa, kuambukiza na hata kuugua corona?
Yes.
 
Inawezekana chanjo za awali zilitolewa ki mazoea lakini kwa sasa hivi consent form ni lazima.

Kusema ukweli hata mimi ninashindwa kuelewa ni kwanini wafanyakazi wa Afya wanashindwa kueleza effects za chanjo hizi. Wao walitakiwa kufahamu hili kwani ndiyo watekelezaji wa zoezi.
Hatuna wataalamu wa afya, wamekariri maandishi ya vitabuni tu.
 
Asante. Nime some immunology na molecular ila kukumbushana ni vizuri.
Turudi sasa kwenye chanjo ya korona, kuhusu gene!? Kwanza unajua Gene ni kitu gani!? Je, ni protein au kitu gani!?
 
Pole sana...

Hongera Mfuasi wa Gwajima... Wafuasi wenzako wa Kibwetele walikuwa kama wewe tu!!!
Mzee mbona vitu simpo tu.
Swala ni:
1. Kwanini unapotaka kuchanjwa unajaza fomu!?

2. Je ni zipi side effects za short term and long term!?

3. Kwanini ukichanjwa unaendelea kuvaa barakoa!?
 
Huyu jamaa nae ni tapeli. Tangu ashindwe kutimiza ahadi yake ya kutupeleka kule Birmingham (sisi wakazi wa Kawe) baada ya uchaguzi, sina hamu nae.

Halafu, hili suala la Corona, ni suala la Public Health, sio kila mwenye kipaza sauti na ushawishi ndio awe anaongoza hii debate. Suala hili waachiewe waliopewa dhamana na wananchi. Covid 19 ipo na inaua watu.

Suala la kuchanjwa au kutokuchanjwa ni uamuzi binafsi, lakini kuudanganya umma katika jambo zito kama hili na ambalo hauna utaalamu nalo ni makosa.

Kama yeye anamsimamo tofauti na Chama chake kilichompeleka bungeni, ajiuzulu siasa akaendelee kueneza neno la bwana.
Public health personnel? Kwani wao wanatengeneza chanjo? Gwajima ameifanya kazi ya Mungu ya kueleza ukweli! Hoja kuu mbili za Gwajima pamoja na wanasayansi wote duniani wanaojitambua hizijibiki kabisa kwa sasa kwa sababu huwa zinajibiwa pale tu mtiririko wahatua za kutengeneza chanjo salama na bora zinazofuata! Salama kwa maana leo na baadae! Na bora kwa maana ya kukinga ugonjwa na maambukizi husika! Sasa hizi chanjo zote zinazochanjwa kwa covid-19 zimeshajipambanua kuwa na madhara ya muda mfupi na hatujui ya muda wa baadae maana hiyo inasubiri matokeo ya panya binadamu waliochanjwa! Hivyo kwenye usalama kuna sintofahamu nyingi sana! Kwenye ubora napo zimeshindwa kuzuia maambukizi na ugojwa kuwapata waliochanjwa na hivyo ubora wake kutiliwa shaka! Hii imetokana na kujibadiribadiri kwa kirusi chenyewe! Kwa majumuisho kwa mtazamo wangu na wanasayansi wote duniani wanaojitambua, covax siyo salama na pia siyo bora!
Gwajima pamoja na kuwa ni msomaji na mfuatiliaji wa mambo mzuri, anapata consultation za kitaalamu na hivyo kumfanya kustahili kuhoji kama anavyoendelea kuhoji!
 
Nilisema pale mwanzo gene ni loci ambayo ime beba specific DNA ambazo zina code a specific protein
Turudi sasa kwenye chanjo ya korona, kuhusu gene!? Kwanza unajua Gene ni kitu gani!? Je, ni protein au kitu gani!?
I
 
Mzee mbona vitu simpo tu.
Swala ni:
1. Kwanini unapotakwa kuchanjwa unajaza fomu!?

2. Je ni zipi side effects za short term and long term!?

3. Kwanini ukichanjwa unaendelea kuvaa barakoa!?
Akikujibu kwa ufasaha nitag!
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea

Waone waumini mazezeta wengine wa Askofu Gwajima. Bila hawa baada ya maneno makali ya Askofu wakaamua kuingia mtaani kabisa! Waumini mazezeta bwana!
 
Hii sio hoja ya kisayansi!!! Isitoshe, hata wakati hizo chanjo zingine ni za lazima, chanjo ya covid sio lazima!! Kwavile chanjo zingine ni lazima, serikali wata-bear responsibility in case if anything bad happens! Wala usidhani kwamba hizo chanjo zingine hazina effect, hell no!!!

Sasa kwavile chanjo ya covid-19 sio lazima, basi idhini ya mchanjwaji ni muhimu ili akipata side affect, asimlaumu mtu kwavile hakulazimishwa kuchanja!!

In a medical world world, hata operesheni na yenyewe sio lazima na ndio maana kufanyiwa operesheni ni lazima utoe go-ahead mwenyewe au walio na wajibu kwako!!

Hapo kwako umeletewa watu wa kululazimisha kuchanja?!

Sio lazima, lakini it's a matter of time kabla haijawa lazima manake hata huko duniani ndicho wanachofikiria hivi sasa!! Dunia haiwezi kuhatarishiwa usalama wake kwa watu wasio na uwezo wa kufafanua even what's pathology!

Kama anauliza hilo swali basi inaonesha wazi anatumia muda mwingi kusoma biblia au kupiga porojo badala ya kutafuta taarifa za kitalaamu!! Au inawezekana anafanya makusudi ili kuwajaza watu ujinga!!!

Ukiingia website ya WHO utakuta wameeleza hilo analotaka yeye aelezwe badala ya kutafuta taarifa:-


SIO KWELI!

Kuna vaccines zinazohitaji single dose na zingine zinahitaji 2-doses!!!

Hata hivyo, as reported earlier last month, liibuka Delta Variant ambayo inaonekana haisikii hii chanjo! Kwa mfano, baada ya watu kutoka Cape Cod kujisahau na kuanza kula bata kama hawana akili mzuri (mambo ya summer time), wengi wa wale waliokuwa kwenye mikusanyiko ya summer wakagundulika wameathirika ingawaje walikuwa wamechanjwa but 90% kati yao ni delta variant!

Lakini pamoja na yote hayo, utafiti wa karibuni bado unaonyesha chanjo ina uwezo mkubwa sana wa kuzuia homa kali na vifo! Kwa mfano, kabla ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliopata maambukizi, 28 walikufa lakini kwa sasa baada ya chanjo, kati ya wazee 1000 waliochanjwa na kupata maambukizi, wanaoweza kufa ni less than 2.

Ni hadi uwe Kondoo Mtiifu wa Gwajima ndipo unaweza kupuuza hayo mafanikio!

HONGERA KWA "KUJITAMBUA"
Ndg acha kukariri! Covax zote hazizuii mtu asipate maambukizi na ugonjwa wa covid-19!
Matokeo ya utafiti wa awali unaonyesha wote waliochanjwa na wasiochanjwa wanapata maambukizo mapya, wanaugua covid-19 na wengine hata kufa bila kujali status ya chanjo! Pfizer iliyokuwa inajinasibu angalau kukingakinga imebainika baada ya 6 months tangu udungwe inachuja kabisa!
Kwa kifupi they are neither safe nor effective at prevention of covid-19!
Tusichoshane kupigiana kelele za kuchanjwa!
Tena kuna haja ya kufuatilia hivyo vifo vinavyodaia vya covid-19 tz isijekuwa ndio wale waliochepuka kwenda kuchanjwa nje ya nchi ndio madhara ya hizo chanjo zao zinawavuna!
 
a
View attachment 1876694
Waone waumini mazezeta wengine wa Askofu Gwajima. Bila hawa baada ya maneno makali ya Askofu wakaamua kuingia mtaani kabisa! Waumini mazezeta bwana!
Acha kuita mazezeta watu wenye akili timamu...kama vipi ww kachanje na muda ndio hakimu wa kweli...tutakuja kujua nani kati yetu atakuwa zombie 5years down the line!
 
Wewe u
View attachment 1876694
Waone waumini mazezeta wengine wa Askofu Gwajima. Bila hawa baada ya maneno makali ya Askofu wakaamua kuingia mtaani kabisa! Waumini mazezeta bwana!
Wewe unafikiri Ulaya hakuna mazezeta? Hawa si ndio wanaandika maugoro kwenye ma blog na kutengeneza propaganda za kienyeji kwa kutumia bulb zenye switch kwa chini eti ukiweka bega la aliyochanjwa inawaka? Hawa ndio anasoma makala zao za kizezeta na anakuja kuwalishi misukule inayomsikiliza
 
Back
Top Bottom