Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kaulizie kwenu....Kwenu hakuna wazazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaulizie kwenu....Kwenu hakuna wazazi?
Nataka kuja kukuposa, mahari kiasi gani?Kaulizie kwenu....
Unahitaji bwana mkuu? Maana jeiefu saizi mmekuwa wengi sana vijana mnaotinduliwa mtaro.......hiyo ni laana na ukatubuNataka kuja kukuposa, mahari kiasi gani?
Usije kufa msimbe.
Sijui atakujibu nin huyu?Sasa ukilaza wao upo wapi???
Nyie mlikuwa mnawaita timu gaid leo gaidi kaitwa ikulu ya magogoni na mkuu wa nchi kilaza nani kati yako wewe na hao chadema??
Wewe ni nyoko tu, mwanasheria mganga njaa.Nilichokiandika kwenye uzi wangu hakitofautiani sana na alichokisema Fatma.
Katika ulingo wa kisheria kilichofanyika ni makosa kwa mwendesha mashtaka na mbowe pia.
I hope ipo siku hawa vilaza wa Chadema wakijifunza kuacha matusi watatuelewa.
Ukiwa na watu wengi kama huyu lazima Tanzania itakuwa Banana Republic maana hajitambui hata kuwa hajui! Mkuu wa nchi kaachana na kesi lakini yeye hata hawezi kuelewa kwa nini Rais amefikia huo uamuzi.Wadanganye wajinga wenzako huko
Mnatusumbua madaktar na mavidonda yenu ya tumboWenzao tulifunga 40 mara mbili tukimlilia Mungu.
I don't care hata kama sitambuliki huko juu ila niliomba