Hoja za Fatma Karume baada ya Mahakama kufuta kesi ya Freeman Mbowe na wenzake

Nataka kuja kukuposa, mahari kiasi gani?
Usije kufa msimbe.
Unahitaji bwana mkuu? Maana jeiefu saizi mmekuwa wengi sana vijana mnaotinduliwa mtaro.......hiyo ni laana na ukatubu
 
Nilichokiandika kwenye uzi wangu hakitofautiani sana na alichokisema Fatma.

Katika ulingo wa kisheria kilichofanyika ni makosa kwa mwendesha mashtaka na mbowe pia.

I hope ipo siku hawa vilaza wa Chadema wakijifunza kuacha matusi watatuelewa.
Wewe ni nyoko tu, mwanasheria mganga njaa.

Usijitanabahishe na wakili msomi Fatma tofauti yenu ni mbingu na ardhi.
 
Wadanganye wajinga wenzako huko
Ukiwa na watu wengi kama huyu lazima Tanzania itakuwa Banana Republic maana hajitambui hata kuwa hajui! Mkuu wa nchi kaachana na kesi lakini yeye hata hawezi kuelewa kwa nini Rais amefikia huo uamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…