Hoja za Mawakili wa Serikali dhidi ya Adamoo

Naam, yupo wapi Moses Lijenje,
MaCCM yaseme yalipo mfukia tukamfukue Komandoo wetu tumfanyie ibada.

Kama Ben, Azory, na wengine kama Urio Lijenje anaweza kuwa hai. Wanateswa bado mahali.
 
Adamo ndio kamtaja Mzee Mbowe kumtumia ktk Ugaidi.
ndio maana anapapatua ili maelezo yake yasipokelewe, ila kazidisha uongo hadi unanuka!!
eti anadai hajala siku 10!! hiyo ni dalili ya mtu muongo! na mzushi!

 
Usitumime nguvu kubwa kumwelimisha mpbavu ndugu it's a waste of effort, this guys are plain fools
 
hakuna ushahidi wa kuteswa hapo hizo ni porojo.
naamini mahakama haiwezi kukubali porojo zisizo na uthibitisho.
hizo ni POROJO za Adamoo.
hivi ulitegemea mke aseme tofauti dhidi ya mume wake?!! hamna kitu hapo!!
ushahidi wa mke kwa mume wake[emoji1787][emoji1787]
 

Kwani wewe ulikuwepo kwenye sakata hilo la ukamataji na kupatikana kwa maelezo?

Aliyekamatwa na kuchukuliwa maelezo kaeleza sehemu yake. Waliomkamata wameeleza ya kwao.

Mashahidi walioona katika hatua mbalimbali wameeleza yao.

Mawakili wa Serikali wanadhani mtu angeweza kuiga sauti ya Adamoo Moshi kama Steve Nyerere tu. Wanadhani Ling'wenya aliona mtuhumiwa mwingine akiteswa kavaa kama Adamoo.

Mawakili wa Serikali wanadhani Ling'wenya alimfananisha mtu mwingine akiteswa siyo Adamoo.

Mawakili wa Serikali wanadhani hata mkewe Adamoo alimfananisha mumewe Segerea. Wanadhani pia hakuwa mkewe Adamoo kwani hakujua hata namba ya mumewe kichwani.

Wanakazia uelewa wao huo kwani hakuwa hata na cheti cha ndoa mahakamani.

Hiiiiii bagosha!

Jaji kasema isiwe zaidi ya page 5 maana yote naye anayo.

Ila zandrano yuko wapi Lijenje?
 
Jwtz we wako wapi mpaka kamandoo mwenzao apotee kienyeji hivyo!Shida nchi siasa zimeingia mpaka jeshini Hilo ndo tatizo.Komandoo anateswa kienyeji kias hicho kweli jaman?
 
Siku ya kwanza Adamoo alisema alipigwa na Mahita ,pia alipata vitisho kutoka kwa Kingai. Siku ya pili anahojiwa na Wakili was serikali akasema hakupigwa. Hii inaonyesha aliporudi magereza alipapata vitisho au alirubuniwa ili akubali. Hii inadhirisha hii kesi ni ya hila.
 

Vipigo vilikuwa Moshi akikamatwa na alipopelekwa Central.

Kutokea huko vingine vikawa kukumbushana nini kitakuwa isipokuwa nini.

Adamoo na Ling'wenya wamekuwa wazi kwenye hayo.

Mnyonge mnyongeni.
 
watajuta walio kuwa wanapanga mipango haramu ya kuchafua Amani ya nchi.
vipo vya kuchezea kama kitambi chako, kidevu n.k lkn kamwe usijaribu kuchezea Amani ya nchi.
Amani ya nchi ni zaidi ya mboni ya jicho.
Ila ww ni mtu au robort!? maana kwa mtu hawz andika haya matapsh.

sjui kwann Baba yako hakuvaa salama, na kama alkosa salama angtumia hata soft tu nafkr ingekinga kuleta hii takataka.
katuletea hasara watz[emoji21][emoji21][emoji21]
hata kama unalpwa kwa kuandka huu uharam wako, kuna mengne ungkuwa unaona aibu moyo ungkuwa unakusta na sio huu upumbavu ulio dhihrsha hapa https://jamii.app/JFUserGuide
 
Adamo ndio kamtaja Mzee Mbowe kumtumia ktk Ugaidi.
ndio maana anapapatua ili maelezo yake yasipokelewe, ila kazidisha uongo hadi unanuka!!
eti anadai hajala siku 10!! hiyo ni dalili ya mtu muongo! na mzushi!
Kwenye maelezo yapi? Aliyaandika wakati akimkaza mamako au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…