Hoja za Mbunge wa Serengeti zifanyiwe kazi

Hoja za Mbunge wa Serengeti zifanyiwe kazi

Ulaji ni syndicate ya Serikali na Halmashauri zetu! Asikwambie mtu.
Haya mambo hayajaanza leo nakumbuka miaka ya tisini wakati watumishi wanapokea mishahara madirishani, makarani walikuwa wanafuata hundi hazina zikiwa na mishahara feki kibao.wakilipa mishahara fedha ya mishahara feki walikuwa wanagawana na watumishi wa hazina.kwa hiyo upigaji wa namna hiyo umeanza kitambo sana.
 
PM anapokea taarifa kutoka vyombo hivyo ndio ana act....usidhani amekurupuka au amegundua yeye hapo....watu wako kazini
Sawa,fikiria Hili, hospitali inajengwa bei ya mfuko wa cement 1 zaidi ya elfu 30, hii ikoje, na hivyo vyombo vya usalama vipo
 
Back
Top Bottom