Hoja za Profesa Kabudi kuhusu uraia pacha si za kweli

Hoja za Profesa Kabudi kuhusu uraia pacha si za kweli

Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha.

Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli ingebidi aitwe ili kusahihisha makosa kibao kwenye utafiti wake.

Nimeona ni bora kufanya fact check ya hotuba yake:

1. 51% ya dunia hawana uraia pacha - uongo
Kati ya nchi 193 chini ya UN, zaidi ya nchi 100 zinaruhusu uraia pacha Japo sheria zinatofautiana kati ya nchi na nchi.

2. Ujerumani hawaruhusu uraia pacha. Uraia wao ni wa damu, Hata mtoto wa wageni akizaliwa huko anakuwa sio raia - Uongo
Ujerumani inaruhusu uraia pacha wa aina mbalimbali. Ukiwa na uraia wa nchi ya EU Unaweza Pia kuchukua uraia wa Ujerumani. Mtoto ambaye mzazi mmoja sio Mjerumani anaruhusiwa kuwa na uraia pacha. Watoto waliozaliwa Ujerumani na wazazi wasio Wajerumani wanakuwa Wajerumani Kuanzia 2000 ili mradi mzazi mmoja awe na uhalali wa kuishi Ujerumani.

3. Denmark hawaruhusu uraia pacha- uongo

4. Katoa quote ya Nyerere ya mwaka 1960 kuhusu uraia pacha

Kaacha quotes zingine nyingi za Nyerere za miaka baada ya 1960. Kwanza Huu ni mwaja 2023, Kweli anataka kutumia mifano ya 1960?

Kwenye hoja namba 1 ya wingi wa nchi zinazokubali uraia pacha haimaanishi kuwa ina reflect idadi ya watu kwenye mataifa hayo.
Kwa mfano kama Tanzania ikiwa ina sera ya kukubali uraia pacha haimaanishi wananchi wote tayari wanakuwa na uraia pacha, unaweza kukuta katika idadi ya watu Milion 60 ni watu wasiozidi 50,000 ndiyo wana uraia pacha. Na hoja ya Prof. ndiyo imejikita hapo
 
kama 49% ya nchi za dunia kwa hoja yake haitoshi TZ kufuata sasa Kwanini tufuate hati maalum ambayo ni nchi mbili tu kati ya nchi 193 za dunia zinafuata?

Prof Kabudi anataka kuhusu Yeye kukaa Ujerumani miaka 9 ili tuamini anayajua ya Ujerumani, Kumbe hajui chochote sawa tu na mtu wa Manzese ambaye hajawahi kufika Hata AirPort.

Nawahofia wanafunzi wake Chuo kikuu UDSM.
 
Kuh: Nchi za EU

Itakuwa sio sawa kudai madai au tafiti za Kabudi ni za Uongo. Kwani na nitanukuu....

Kwa mantiki hiyo, siyo sera zote za EU zinakubalika katika nchi mwanachama.
Na hivyo basi kufanya madai ya Kabudi kusimama.....endelea kusoma chini...


Hatahivyo, ni hivi karibuni ndipo walipo kaa kitako na kuanza mchakato wa pamoja wa kijumuiya kutatua masuala ya uhamiaji, na nina imani kwamba hata suala la Raia pacha limo humo(nipo tayari kusahihishwa) isitoshe nadhani suala la Raia pacha linashugulikiwa na Nchi(sovereign state)moja mmoja na sio kwa Ujumla yaani chini ya mwamvuli wa EU..
Hivi Unajua Hata kinachojadiliwq hapa?

Wakati mwingine Kama Hujui Bora kukaa kimya.
EU Sera ya uraia kila nchi ina sera yake Wala hawana sera moja.

Hapa tunaongelea uraia pacha na sio Uhamiaji.
 
Amezoea kuongea uongo miaka mingi... Alipotosha kuhusu dawa ya COVID 19 kutoka Madagascar na pia alipotosha kuwa tunaidai Acacia Trillion 300+ na pia alidanganya kwamba tutawagawana faida na Barrick 50 kwa 50 ilihali tumeambulia 16% ya hisa pekee.

Huyu Mzee Toka aikane Rasimu ya Warioba kisa uwaziri alipoteza heshima yake yote. Atastaafu 2025 akiwa hajaacha legacy yoyote Ile.
Kwenda zako huko wewe. Mbona wewe ulipotosha kuwa bwawa la mwl Nyerere lilivuja na kuleta mafuriko mpaka Morogoro.
 
Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha.

Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli ingebidi aitwe ili kusahihisha makosa kibao kwenye utafiti wake.

Nimeona ni bora kufanya fact check ya hotuba yake:

1. 51% ya dunia hawana uraia pacha - uongo
Kati ya nchi 193 chini ya UN, zaidi ya nchi 100 zinaruhusu uraia pacha Japo sheria zinatofautiana kati ya nchi na nchi.

2. Ujerumani hawaruhusu uraia pacha. Uraia wao ni wa damu, Hata mtoto wa wageni akizaliwa huko anakuwa sio raia - Uongo
Ujerumani inaruhusu uraia pacha wa aina mbalimbali. Ukiwa na uraia wa nchi ya EU Unaweza Pia kuchukua uraia wa Ujerumani. Mtoto ambaye mzazi mmoja sio Mjerumani anaruhusiwa kuwa na uraia pacha. Watoto waliozaliwa Ujerumani na wazazi wasio Wajerumani wanakuwa Wajerumani Kuanzia 2000 ili mradi mzazi mmoja awe na uhalali wa kuishi Ujerumani.

3. Denmark hawaruhusu uraia pacha- uongo

4. Katoa quote ya Nyerere ya mwaka 1960 kuhusu uraia pacha

Kaacha quotes zingine nyingi za Nyerere za miaka baada ya 1960. Kwanza Huu ni mwaka 2023, Kweli anataka kutumia mifano ya 1960?


Kwa lazima tuwe na uraia pacha?
 
Huyo mzee ni muongo wa muda mrefu, na anatumia udhaifu wa viongozi wengi kutokuwa na tabia ya kusoma kuwapotosha. Mzee huyu ametumika kutengeneza sheria nyingi mbaya za kulinda viongozi dhidi ya watawaliwa.
Unajua taratibu za kutunga sheria?
 
Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha.

Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli ingebidi aitwe ili kusahihisha makosa kibao kwenye utafiti wake.

Nimeona ni bora kufanya fact check ya hotuba yake:

1. 51% ya dunia hawana uraia pacha - uongo
Kati ya nchi 193 chini ya UN, zaidi ya nchi 100 zinaruhusu uraia pacha Japo sheria zinatofautiana kati ya nchi na nchi.

2. Ujerumani hawaruhusu uraia pacha. Uraia wao ni wa damu, Hata mtoto wa wageni akizaliwa huko anakuwa sio raia - Uongo
Ujerumani inaruhusu uraia pacha wa aina mbalimbali. Ukiwa na uraia wa nchi ya EU Unaweza Pia kuchukua uraia wa Ujerumani. Mtoto ambaye mzazi mmoja sio Mjerumani anaruhusiwa kuwa na uraia pacha. Watoto waliozaliwa Ujerumani na wazazi wasio Wajerumani wanakuwa Wajerumani Kuanzia 2000 ili mradi mzazi mmoja awe na uhalali wa kuishi Ujerumani.

3. Denmark hawaruhusu uraia pacha- uongo

4. Katoa quote ya Nyerere ya mwaka 1960 kuhusu uraia pacha

Kaacha quotes zingine nyingi za Nyerere za miaka baada ya 1960. Kwanza Huu ni mwaka 2023, Kweli anataka kutumia mifano ya 1960?


Kabudi ni janja janja hana lolote akitoa jicho basi watu wanajua kaongea point kinachombeba ni huo u profesa wa mchongo ila ni kenge tu ndio maana samia akaamua kumuweka kando na mambo ya mikataba akijua kabisa jamaa linatoa tu macho halina kitu kichwani.
 
Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha.

Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli ingebidi aitwe ili kusahihisha makosa kibao kwenye utafiti wake.

Nimeona ni bora kufanya fact check ya hotuba yake:

1. 51% ya dunia hawana uraia pacha - uongo
Kati ya nchi 193 chini ya UN, zaidi ya nchi 100 zinaruhusu uraia pacha Japo sheria zinatofautiana kati ya nchi na nchi.

2. Ujerumani hawaruhusu uraia pacha. Uraia wao ni wa damu, Hata mtoto wa wageni akizaliwa huko anakuwa sio raia - Uongo
Ujerumani inaruhusu uraia pacha wa aina mbalimbali. Ukiwa na uraia wa nchi ya EU Unaweza Pia kuchukua uraia wa Ujerumani. Mtoto ambaye mzazi mmoja sio Mjerumani anaruhusiwa kuwa na uraia pacha. Watoto waliozaliwa Ujerumani na wazazi wasio Wajerumani wanakuwa Wajerumani Kuanzia 2000 ili mradi mzazi mmoja awe na uhalali wa kuishi Ujerumani.

3. Denmark hawaruhusu uraia pacha- uongo

4. Katoa quote ya Nyerere ya mwaka 1960 kuhusu uraia pacha

Kaacha quotes zingine nyingi za Nyerere za miaka baada ya 1960. Kwanza Huu ni mwaka 2023, Kweli anataka kutumia mifano ya 1960?


Mbona unarukaruka....!!! Jibu hoja kwa hoja Tena na ushahidi.
Suala la ujerumani huo stringent issues zilizobebwa na hiyo hiyo uraia pacha wao uliosema?
 
Uraia pacha haukubaliki Tanzania.

Majaribio yote ya kubadili yatafail.
 
Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha.

Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli ingebidi aitwe ili kusahihisha makosa kibao kwenye utafiti wake.

Nimeona ni bora kufanya fact check ya hotuba yake:

1. 51% ya dunia hawana uraia pacha - uongo
Kati ya nchi 193 chini ya UN, zaidi ya nchi 100 zinaruhusu uraia pacha Japo sheria zinatofautiana kati ya nchi na nchi.

2. Ujerumani hawaruhusu uraia pacha. Uraia wao ni wa damu, Hata mtoto wa wageni akizaliwa huko anakuwa sio raia - Uongo
Ujerumani inaruhusu uraia pacha wa aina mbalimbali. Ukiwa na uraia wa nchi ya EU Unaweza Pia kuchukua uraia wa Ujerumani. Mtoto ambaye mzazi mmoja sio Mjerumani anaruhusiwa kuwa na uraia pacha. Watoto waliozaliwa Ujerumani na wazazi wasio Wajerumani wanakuwa Wajerumani Kuanzia 2000 ili mradi mzazi mmoja awe na uhalali wa kuishi Ujerumani.

3. Denmark hawaruhusu uraia pacha- uongo

4. Katoa quote ya Nyerere ya mwaka 1960 kuhusu uraia pacha

Kaacha quotes zingine nyingi za Nyerere za miaka baada ya 1960. Kwanza Huu ni mwaka 2023, Kweli anataka kutumia mifano ya 1960?


Hata mimi nilimskiliza, nikamdharau hasa pale aliposihiwa muda ikabidi aongezewe dakika. Profesa ni ,mtu anayetakiwa ajue kupangilia facts zake na kuzitoa ndani ya muda alio nao, siyo anaingia darasani lkwenyemkipindi cha dakika hamsini halafu anataka aongee kwa saa moja. Kabudi alisahahu ubongo nyumbani alipokuwa anakwenda bungeni akaishia kutoa pumba nyingi sana bungeni. Ni vizuri atunze ubongo wake kwenye pochi asijeusahahu siku nyingine.

Rafiki yangu mmoja alikuwa mwanajeshi wa kimarekani huko ujerumani akaoa mwanamke wa kijerumani. Jamaa huyo alikuwa ana dual citizenship ya Marekani na Trinidad & Tobago. Watoto wao wote wawili waliozaliwa waka retain citzenships za wazazi wao za Ujerumani, Marekani na Trinidad & Tobago. Sijui yeye alikuwa anazungumza Ujerumani ya wapi.

Kinachomata sana ni jinsi nchi inatunga sheria zake za dual citzenship. Kuna nyingine zinazoruhusu mtoto aliyezaliwa katika ardhi yake kuwa raia hata kama wazazi walikuwa wanasafiri wakiwa on tnasit. Na kuna nchi nyingine uraia unaruhusuiwa kwa vigezo vikali vya kutaka kuwepo na trail ya damu, wya wazazi na wababu. Dual citzenship conditions zinatofautiana kati ya nchi na nchi.
 
Nimeishi ulaya maprofesa wanachukuliwa kawaida sana ni kawaida kukuta manager ana diplôma kisha assistant ni profesa .elimu ni yako sisi tutakuweka kulingana na unaitumiaje na ww una attitude gani .Ulaya si lazima tuwaige yote maana wanamakasoro kibao ila hili nalo mkalitazame
 
Nchi za kiafrika ambazo zinaruhusu uraia pacha zimepata faida gani kutoka kwa raia wake wenye uraia pacha?
 
Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha.

Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli ingebidi aitwe ili kusahihisha makosa kibao kwenye utafiti wake.

Nimeona ni bora kufanya fact check ya hotuba yake:

1. 51% ya dunia hawana uraia pacha - uongo
Kati ya nchi 193 chini ya UN, zaidi ya nchi 100 zinaruhusu uraia pacha Japo sheria zinatofautiana kati ya nchi na nchi.

2. Ujerumani hawaruhusu uraia pacha. Uraia wao ni wa damu, Hata mtoto wa wageni akizaliwa huko anakuwa sio raia - Uongo
Ujerumani inaruhusu uraia pacha wa aina mbalimbali. Ukiwa na uraia wa nchi ya EU Unaweza Pia kuchukua uraia wa Ujerumani. Mtoto ambaye mzazi mmoja sio Mjerumani anaruhusiwa kuwa na uraia pacha. Watoto waliozaliwa Ujerumani na wazazi wasio Wajerumani wanakuwa Wajerumani Kuanzia 2000 ili mradi mzazi mmoja awe na uhalali wa kuishi Ujerumani.

3. Denmark hawaruhusu uraia pacha- uongo

4. Katoa quote ya Nyerere ya mwaka 1960 kuhusu uraia pacha

Kaacha quotes zingine nyingi za Nyerere za miaka baada ya 1960. Kwanza Huu ni mwaka 2023, Kweli anataka kutumia mifano ya 1960?


Kazi uliyoifanya ni ya upinzani na umeifanya vizuri mno 100% excellent.
Kazi ya upinzani ni ni rahisi kuliko kazi zote zinazojulikana, kazi hiyo ni kubisha na kupinga tu kila kitu tena bila hoja, whether Jambo lenyewe wanalijua au hawalijui, ni la maana au sio la maana, na hiyo ndio kazi namba 1 ya mpinzani na ndio chimbuko la upinzani
 
Back
Top Bottom