Hoja za Profesa Kabudi kuhusu uraia pacha si za kweli


Kadanganya umri...Samia ana 63 na yeye mkubwa kuliko Samia
 
Huyu mzee tangu zile drama zake za COVIDOL ya madagascar na kumwita Magufuli Mungu nilimuona takataka.
 
Huu ndio msukule aliotumia yule mungu kutuumiza! linatumia tu vyeti vya lenyewe kudanganya wadanganyika! Kabudi kachambie hivyo vyeti umeshtukiwa!
 
Wewe utafiti uliofanya uko wapi? Au umelewa Bangi za kwenye biscuit?
 
Kama ulibahatika kumsikiza Kabudi na Mkumbo, ni kama wa hasira ya watu wenye uraia pacha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…