Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Wananchi wa mtandaoni?...wananchi tumechoka kulea ujinga wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wa mtandaoni?...wananchi tumechoka kulea ujinga wa ccm
Wananchi wa TanzaniaWananchi wa mtandaoni?
Makamba atakuwa anapoteza akili kama anampigia faru kampeni ni ujinga kusapoti uwanja wa ndege vichakani.Ulimuona mzee Yusufu Makamba leo? Alijaribu kumsugua mtu kwa jiki.
Hata chadema kwa ruzuku wanayopata wangekuwa na kama hizo angalau 5 ila Mbowe katia hela zote mfukoni, matokeo yake Lisu analialia hana hela za kampeni..hizo landcruiser thamani yake siyo sawa na zahanati huko vijijini?
..kwa haraka nimehesabu kama landcruiser tisa.
..viongozi wa kiafrika ni makatili sana.
cc Kilatha
Wa ufipa?Wananchi wa Tanzania
Wa Tanzania,kichwa chako kigumu Sana polepole anakuharibuWa ufipa?
Wanafunzi wa primary na secondary wapo kama mia tatu hapoView attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
..hongereni.
..wananchi wanazihitaji kwasababu wanakula mlo mmoja kwa siku.
Wanafunzi wa primary na secondary wapo kama mia tatu hapo
Wazungusha mikono?Wa Tanzania,...
"Nimekuja kumuona diamond tuu....hayo mengine siyajui.."..hahahshshah alisikika mama mmoja toka magu uwanjani ccm kirumbaView attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
Yaani kwa CCM yetu ni kama vile hakuna MAISHA nje ya madaraka. Mazoea mabaya kweli hayo. Yamevuruga hadi chaguzi zetu. Sasa wanataka vyote kabisa. Urais, Bunge na Halmashauri zote kabisa. Vijiji na mitaa walishachukua vyote.Mkutano wa Tundu Lissu akiwa Bagamoyo umenikatisha tamaa kwa hoja zake zisizo na majibu bali zinahitaji utekelezaji wa Serikali
Mosi, Tundu Lissu anasema wananchi wa barabara ya Kimara wengi wamekufa kwa presha baada ya nyumba zao kubomolewa na viongozi wa CCM kupitia mamlaka kuu,Anasisitiza hawakulipwa pesa kosa barabara
Pili, Tundu Lissu anasisitiza walimu na mapolisi kwa miaka mitano hawajaongezewa kitu chochote ,na wakati wa Mei Mosi hujibiwa kwa kiburi tunajenga barabara
Tatu, Tundu Lissu amewauliza wananchi hali ya maisha yao na wafanyabiashara wanaonaje,Wananchi wamejibu hali ni ngumu sana
Nne, Anatuhumu kuwa pesa na michango ya Corona imeliwa yote waliyochangisha wana CCM na Mamlaka Kuu. Anasema madaktari na manesi waliahidiwa wakati wa corona kulipwa lakini mpaka sasa hawajalipwa hata senti tano.
Hii ya Bagamoyo leo Tundu Lissu lengo lake ni kumjibu Mama Samia Suluhu kwa hotuba zake Lindi
Kwa hoja na kauli ngumu kama hizi za Tundu Lissu nani atazijibu?
Mzee Yusuf Makamba amejitokeza leo kujibu lakini utamuonea huruma hana la kujibu wala namna bali kutifurahisha vijana
Mzee Makamba anasema CCM ndio imejenga uwanja wa Rais Chato na sio Rais kajenga, amesisitiza kuwa Chato ni Tanzania
Mzee Makamba anasema mbuga ya Chato ni ongezeko la vivutio kwani lile pori lilikuwa tupu wanakaa majambazi
CCM kama chama changu tuache kumjibu huyu mtu majukwaani tuongelee yetu,
Mbona suala la hotuba yake Zanzibar tumekaa kimya na yeye mwenyewe kapotezea, tungejibu ishu ya Zanzibar angetupa taabu sana
Tisa ? mhutu anatembea na msafara wa Land cruiser 60 moja Ni bomb detector..hizo landcruiser thamani yake siyo sawa na zahanati huko vijijini?
..kwa haraka nimehesabu kama landcruiser tisa.
..viongozi wa kiafrika ni makatili sana.
cc Kilatha