Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ndiyo sisi sisi wa kitaa, manWananchi wa mtandaoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo sisi sisi wa kitaa, manWananchi wa mtandaoni?
Huenda hivi vizee vimeshinikizwa ili virudishwe kundiniUlimuona mzee Yusufu Makamba leo? Alijaribu kumsugua mtu kwa jiki.
MkuuView attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
Unapenda udakuu kama nini.Ndiyo sisi sisi wa kitaa man
Na ndiyo ilivyo mkuu. Kwa namna alivyotukanwa na Musiba halafu akamlalamikia John lkn John akaishia kumpa onyo kali, unadhani anaweza kurudi kiroho Safi,?Huenda hivi vizee vimeshinikizwa ili virudishwe kundini
Bado wale walioibiwa wake zao, kwakua nguvu na utukufu vilikua kwake na sasa wanamsubiri kwenye kura. Lissu utavuna kura nyingi sana.Hivi unafikiri CCM wana majibu na hoja za Lissu na watanzania ni full kujikanyaga ,wewe unafikiri mtu kushindwa kuajiri kwa miaka mitano , kupandisha mishahara , madaraja , watu kupotea , viwanda hewa , milioni hamsini kila Kijiji hewa ,wizi was hella za korosho , rambirambi za tetemeko la Kagera , mauaji , utekaji hayo yote CCM watajibu nini unafikiri .
Ndiyo. Ndiyo maana John anaukwepaUWANJA WA CHATO UMEJENGWA NA CHADEMA
Yaani John, John, John ana halj ngumu Sana mwaka huuBado wale walioibiwa wake zao, kwakua nguvu na utukufu vilikua kwake na sasa wanamsubiri kwenye kura. Lissu utavuna kura nyingi sana.
Zahanati takriban 300 zimejengwa nchi nzima with in 5 yrs , rekodi ya kipekee Sana , wakat kikwete alijenga zahanati 150 Kwa mda wa miaka kumi, zahanati hzo zinasubir watumishi wa afya waajiliwe mwaka ujao wa fedha
anasafishwa lakin hasafishikiYaani John, John, John ana halj ngumu Sana mwaka huu
tunakula na sio wanakula..hongereni.
..wananchi wanazihitaji kwasababu wanakula mlo mmoja kwa siku.
Mleta uzi ameanza KUONGOKAKuntu
Huyualiyepewa onyo kali na John baada ya kulalamika kuwa anatukanwa na Musiba amejitokeza leo? Hivi anamdanganya nani huyu mzee kwamba anampenda John?
Daah! Kweli Lisu kiboko.
Wanafunzi watasoma lini, baada ya kampeni?View attachment 1565570
Sawa Bwashehe.....CCM can not waste her time to answer somebody shit, kazi yao ni moja tuu, kuwafikia wapiga kura walipo na kuwatatulia shida zao ..... Hakuna impact yyte ya sera Kwa mda uliobaki... Ni kushikilia ulicho nacho
View attachment 1565603
Sawa za mgombea wenu ziko wap mnamficha ficha sana
Mkutano wa Tundu Lissu akiwa Bagamoyo umenikatisha tamaa kwa hoja zake zisizo na majibu bali zinahitaji utekelezaji wa Serikali
Mosi, Tundu Lissu anasema wananchi wa barabara ya Kimara wengi wamekufa kwa presha baada ya nyumba zao kubomolewa na viongozi wa CCM kupitia mamlaka kuu,Anasisitiza hawakulipwa pesa kosa barabara
Pili, Tundu Lissu anasisitiza walimu na mapolisi kwa miaka mitano hawajaongezewa kitu chochote ,na wakati wa Mei Mosi hujibiwa kwa kiburi tunajenga barabara
Tatu, Tundu Lissu amewauliza wananchi hali ya maisha yao na wafanyabiashara wanaonaje,Wananchi wamejibu hali ni ngumu sana
Nne, Anatuhumu kuwa pesa na michango ya Corona imeliwa yote waliyochangisha wana CCM na Mamlaka Kuu. Anasema madaktari na manesi waliahidiwa wakati wa corona kulipwa lakini mpaka sasa hawajalipwa hata senti tano.
Hii ya Bagamoyo leo Tundu Lissu lengo lake ni kumjibu Mama Samia Suluhu kwa hotuba zake Lindi
Kwa hoja na kauli ngumu kama hizi za Tundu Lissu nani atazijibu?
Mzee Yusuf Makamba amejitokeza leo kujibu lakini utamuonea huruma hana la kujibu wala namna bali kutifurahisha vijana
Mzee Makamba anasema CCM ndio imejenga uwanja wa Rais Chato na sio Rais kajenga, amesisitiza kuwa Chato ni Tanzania
Mzee Makamba anasema mbuga ya Chato ni ongezeko la vivutio kwani lile pori lilikuwa tupu wanakaa majambazi
CCM kama chama changu tuache kumjibu huyu mtu majukwaani tuongelee yetu,
Mbona suala la hotuba yake Zanzibar tumekaa kimya na yeye mwenyewe kapotezea, tungejibu ishu ya Zanzibar angetupa taabu sana
Kwahiyo Genge lote la wahuni wa ccm amejitokeza tu huyo demented elederly man kujibu? Mbona vijana uvccm hawatelelezi kayli ya Bashiru kuja kutujibu hoja wamekata tamaa??Mkutano wa Tundu Lissu akiwa Bagamoyo umenikatisha tamaa kwa hoja zake zisizo na majibu bali zinahitaji utekelezaji wa Serikali.
Mosi, Tundu Lissu anasema wananchi wa barabara ya Kimara wengi wamekufa kwa presha baada ya nyumba zao kubomolewa na viongozi wa CCM kupitia mamlaka kuu,Anasisitiza hawakulipwa pesa kosa barabara.
Pili, Tundu Lissu anasisitiza walimu na mapolisi kwa miaka mitano hawajaongezewa kitu chochote ,na wakati wa Mei Mosi hujibiwa kwa kiburi tunajenga barabara.
Tatu, Tundu Lissu amewauliza wananchi hali ya maisha yao na wafanyabiashara wanaonaje,Wananchi wamejibu hali ni ngumu sana
Nne, Anatuhumu kuwa pesa na michango ya Corona imeliwa yote waliyochangisha wana CCM na Mamlaka Kuu. Anasema madaktari na manesi waliahidiwa wakati wa corona kulipwa lakini mpaka sasa hawajalipwa hata senti tano.
Hii ya Bagamoyo leo Tundu Lissu lengo lake ni kumjibu Mama Samia Suluhu kwa hotuba zake Lindi.
Kwa hoja na kauli ngumu kama hizi za Tundu Lissu nani atazijibu?
Mzee Yusuf Makamba amejitokeza leo kujibu lakini utamuonea huruma hana la kujibu wala namna bali kutifurahisha vijana.
Mzee Makamba anasema CCM ndio imejenga uwanja wa Rais Chato na sio Rais kajenga, amesisitiza kuwa Chato ni Tanzania
Mzee Makamba anasema mbuga ya Chato ni ongezeko la vivutio kwani lile pori lilikuwa tupu wanakaa majambazi.
CCM kama chama changu tuache kumjibu huyu mtu majukwaani tuongelee yetu.
Mbona suala la hotuba yake Zanzibar tumekaa kimya na yeye mwenyewe kapotezea, tungejibu ishu ya Zanzibar angetupa taabu sana.