The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko