The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Sema wewe ndio unaamini kama JPM usisemee watu,1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hawamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote meshauona Huo mkangamyiko
Matatizo yote yaliyojaa nchini, wewe huyaoni? Nahisi ndio maana ccm inatawala kirahisi sana, kama wananchi wanaoishi kwenye migao ya huduma muhimu, tozo zisizoeleweka, matumizi ya hovyo ya serikali, hawayaoni wala hawaguswi na matatizo hayo!!1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
Hofu ya nini ndg yangu?Mbona kuna mambo mengi sana ya kujadili.Kwa kuwa ww ni mlamba asali huoni ongezeko la bei za vyakula,kupanda gharama za maisha na ufujaji wa fedha za umma.Huoni hata ukubwa wa deni la taifa?1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
Hakuna kitu.. usitegemee chochote .
Washalamba asali..
Kwani hii nchi ina vyama vya upinzani?🤔🤔🤔
1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
Walioko Ubelgiji na Canada etiKwani hii nchi ina vyama vya upinzani?[emoji848][emoji848][emoji848]
1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
Binafsi ningechagua zuio la mikutano ya hadhara kuenndelea maana nikiona lile troupe la chadema lissu, lema, sugu, etc etc wakiongozwa na chiriku mbowe sioni kama ccm wataweza kuvumilia mashambulizi.1. Je wamponde Samia wamsifie magufuli ?
AU
2. Wamsifie Samia wamponde Magufuli?
AU
3. Wamponde Awamu zote za CCM?
Naona wanawakati mgumu kupata hoja maana wananchi tunamini Katika Magufuli hatuna imani na samia
Ila wapinzani hawaamini Katika magufuli Wana imani na samia. Nasubiri Kwa hamu nione watakuwa wanaongea Nini majukwaani.
Sijui kama wote mmeshauona Huo mkangamyiko
Halafu kipindi cha kampeni warudi na tuwasikilize watakachoifanyia nchi wakiingia madarakani na tuwaelewe? Acha tuendelee na CCM hiihiiWalioko Ubelgiji na Canada eti
Binafsi ningechagua zuio la mikutano ya hadhara kuenndelea maana nikiona lile troupe la chadema lissu, lema, sugu, etc etc wakiongozwa na chiriku mbowe sioni kama ccm wataweza kuvumilia mashambulizi.
Uzushi uongo lazima vitawale na huku mwenezi ccm akijibu mapigo. Tutaondoka mara moja kwenye reli ya maendeleo na siasa za kistaarabu.