PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Wakuu..
Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.
Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January nikijichanga pesa Fulani ili niweze kusafiri mwezi (Hii tunafanya Sisi wenye kipato cha kuungaunga).
Kwa wale wazee wa kumwaga moto barabarani huu ndiyo msimu wa kuacha papara barabarani kuliko kipindi kingine barabarani kumbuka kipindi hiki madereva wazembe wanakuwa wengi Sana barabarani huku wengine wakiendesha Kwa mashindano.
Nimeona vijana wengi hapa kariakoo wasio wazoefu na barabara wanataka kufanya safari kipindi hiki, tunawasihi Tu Huko barabarani kuheshimu Sheria Tu
Madereva wanaotumia masaaa 5 kutoka DAR -DODOMA watakuwa wengi Sana barabarani.
Kila la kheri madereva wenzangu
Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.
Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January nikijichanga pesa Fulani ili niweze kusafiri mwezi (Hii tunafanya Sisi wenye kipato cha kuungaunga).
Kwa wale wazee wa kumwaga moto barabarani huu ndiyo msimu wa kuacha papara barabarani kuliko kipindi kingine barabarani kumbuka kipindi hiki madereva wazembe wanakuwa wengi Sana barabarani huku wengine wakiendesha Kwa mashindano.
Nimeona vijana wengi hapa kariakoo wasio wazoefu na barabara wanataka kufanya safari kipindi hiki, tunawasihi Tu Huko barabarani kuheshimu Sheria Tu
Madereva wanaotumia masaaa 5 kutoka DAR -DODOMA watakuwa wengi Sana barabarani.
Kila la kheri madereva wenzangu