PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
- #21
Hahahaha 😆 😆 😆 😆
Mkuu sikuhizi nimezeeka hata kuona kwangu Kwa shida usiku .
Pia nitaenda kuwapa ushauri kwenye Uzi wangu juu ya kutembea usiku kama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😆 😆 😆 😆
Mkuu sikuhizi nimezeeka hata kuona kwangu Kwa shida usiku .
Pia nitaenda kuwapa ushauri kwenye Uzi wangu juu ya kutembea usiku kama
Hahahaha
Wengine holiday tunaruka Madagasca n Mauritius halafu wengine ambao mwaka mzima wanawaza kwenda vijijini kunywa pombe za kienyeji na kupiga picha wakiwa wameshika mahindi mabichi na vibuyu. Dunia ina mambo mangi sana😀Wakuu..
Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.
Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January nikijichanga pesa Fulani ili niweze kusafiri mwezi (Hii tunafanya Sisi wenye kipato cha kuungaunga).
Kwa wale wazee wa kumwaga moto barabarani huu ndiyo msimu wa kuacha papara barabarani kuliko kipindi kingine barabarani kumbuka kipindi hiki madereva wazembe wanakuwa wengi Sana barabarani huku wengine wakiendesha Kwa mashindano.
Nimeona vijana wengi hapa kariakoo wasio wazoefu na barabara wanataka kufanya safari kipindi hiki, tunawasihi Tu Huko barabarani kuheshimu Sheria Tu
Madereva wanaotumia masaaa 5 kutoka DAR -DODOMA watakuwa wengi Sana barabarani.
Kila la kheri madereva wenzangu
Naam hii ndio akili sasahuu mwezi ajali nyingi, bora niende Zanzibar tu
pole sana mimi mabasi sipandagi nina miaka mingi saana kwenda nyumbani napandaga ndegeWakuu..
Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.
Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January nikijichanga pesa Fulani ili niweze kusafiri mwezi (Hii tunafanya Sisi wenye kipato cha kuungaunga).
Kwa wale wazee wa kumwaga moto barabarani huu ndiyo msimu wa kuacha papara barabarani kuliko kipindi kingine barabarani kumbuka kipindi hiki madereva wazembe wanakuwa wengi Sana barabarani huku wengine wakiendesha Kwa mashindano.
Nimeona vijana wengi hapa kariakoo wasio wazoefu na barabara wanataka kufanya safari kipindi hiki, tunawasihi Tu Huko barabarani kuheshimu Sheria Tu
Madereva wanaotumia masaaa 5 kutoka DAR -DODOMA watakuwa wengi Sana barabarani.
Kila la kheri madereva wenzangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wengine holiday tunaruka Madagasca n Mauritius halafu wengine ambao mwaka mzima wanawaza kwenda vijijini kunywa pombe za kienyeji na kupiga picha wakiwa wameshika mahindi mabichi na vibuyu. Dunia ina mambo mangi sana😀
😳Mwezi Disemba Nchini watu wengi mnafikiria kurudi vijijini kusherekeha sikukuu ya Kristamas,haswa wenyeji wa Kilimanjaro. Nyakati hizi ajali za barabarani huwa zinakuwa nyingi sio kwa sababu Mwezi Disemba ni mbaya, Ila kwa sababu ya kukosa nidhamu na uzoefu/barabarani
Umetoka chuo,umekopa gari na route zako ni Mwenge,Masaki,night Clubs, unafikiri wewe ni dereva makini. Huko highway na big sound na Jameson kichwani na Video Call. UTAKUFA. Wazazi wana kusubiri Kijijini mfurahi sio kupokea maiti. Kuwa makini acha Yada Yada. Endesha Gari kwa nidhamu
Godbless E.J. Lema
Dec 19, 2022
Hii kidogo ichukue roho yangu baada ya kununua kibiskut( vitz) nikatoka nacho kuelekea moshi kutoka Dar.Kuna wale wa kununua gari na leseni kwa pamoja utasikia nao wanataka kupiga trip ndefu.
Hongera zako ila kumbuka ndege haina vibe kama garipole sana mimi mabasi sipandagi nina miaka mingi saana kwenda nyumbani napandaga ndege