Holiday season imewadia, wazee wa safari ndefu huu ndiyo mwezi wetu wa kumwaga moto

Holiday season imewadia, wazee wa safari ndefu huu ndiyo mwezi wetu wa kumwaga moto

Wakuu..

Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.

Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January nikijichanga pesa Fulani ili niweze kusafiri mwezi (Hii tunafanya Sisi wenye kipato cha kuungaunga).

Kwa wale wazee wa kumwaga moto barabarani huu ndiyo msimu wa kuacha papara barabarani kuliko kipindi kingine barabarani kumbuka kipindi hiki madereva wazembe wanakuwa wengi Sana barabarani huku wengine wakiendesha Kwa mashindano.
Nimeona vijana wengi hapa kariakoo wasio wazoefu na barabara wanataka kufanya safari kipindi hiki, tunawasihi Tu Huko barabarani kuheshimu Sheria Tu

Madereva wanaotumia masaaa 5 kutoka DAR -DODOMA watakuwa wengi Sana barabarani.
Kila la kheri madereva wenzangu
Wengine holiday tunaruka Madagasca n Mauritius halafu wengine ambao mwaka mzima wanawaza kwenda vijijini kunywa pombe za kienyeji na kupiga picha wakiwa wameshika mahindi mabichi na vibuyu. Dunia ina mambo mangi sana😀
 
Wakuu..

Katika kipindi hiki cha mwezi December watanzania wengi wanakuwa katika hekaheka za kusafiri sehemu tofauti wakifurahia maisha baada ya miezi 11 ya purukushani za kutafuta riziki.

Wewe mwana-jamiiforum umejiandaaje na safari za mwisho wa mwaka? Mimi nilijiandaa Toka mwezi January nikijichanga pesa Fulani ili niweze kusafiri mwezi (Hii tunafanya Sisi wenye kipato cha kuungaunga).

Kwa wale wazee wa kumwaga moto barabarani huu ndiyo msimu wa kuacha papara barabarani kuliko kipindi kingine barabarani kumbuka kipindi hiki madereva wazembe wanakuwa wengi Sana barabarani huku wengine wakiendesha Kwa mashindano.
Nimeona vijana wengi hapa kariakoo wasio wazoefu na barabara wanataka kufanya safari kipindi hiki, tunawasihi Tu Huko barabarani kuheshimu Sheria Tu

Madereva wanaotumia masaaa 5 kutoka DAR -DODOMA watakuwa wengi Sana barabarani.
Kila la kheri madereva wenzangu
pole sana mimi mabasi sipandagi nina miaka mingi saana kwenda nyumbani napandaga ndege
 
Wengine holiday tunaruka Madagasca n Mauritius halafu wengine ambao mwaka mzima wanawaza kwenda vijijini kunywa pombe za kienyeji na kupiga picha wakiwa wameshika mahindi mabichi na vibuyu. Dunia ina mambo mangi sana😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwezi Disemba Nchini watu wengi mnafikiria kurudi vijijini kusherekeha sikukuu ya Kristamas,haswa wenyeji wa Kilimanjaro. Nyakati hizi ajali za barabarani huwa zinakuwa nyingi sio kwa sababu Mwezi Disemba ni mbaya, Ila kwa sababu ya kukosa nidhamu na uzoefu/barabarani

Umetoka chuo,umekopa gari na route zako ni Mwenge,Masaki,night Clubs, unafikiri wewe ni dereva makini. Huko highway na big sound na Jameson kichwani na Video Call. UTAKUFA. Wazazi wana kusubiri Kijijini mfurahi sio kupokea maiti. Kuwa makini acha Yada Yada. Endesha Gari kwa nidhamu

Godbless E.J. Lema
Dec 19, 2022
😳
 
Hii
Kuna wale wa kununua gari na leseni kwa pamoja utasikia nao wanataka kupiga trip ndefu.
Hii kidogo ichukue roho yangu baada ya kununua kibiskut( vitz) nikatoka nacho kuelekea moshi kutoka Dar.

Kidogo nifie pale Wami.
 
Back
Top Bottom