Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 173
Wadau naomba msaada wa mawazo na ushauri, Nimepitia pitia threads mbali mbali humu na nimehamasika na ufugaji wa ng'ombe wenye uwezo wa kutoa maziwa mengi kwa siku. Nina mpango wa kuanza na ng'ombe kama saba hivi wenye mimba.
Kama kuna mtu anawafuga hawa Dar, naomba anialike kwake nikafanye site visit kidogo, na nimuulize maswali mawili matatu ya kinadharia kabisa ili niweze kuingia katika ufugaji huu.
Natarajia kuwafugua Dar es salaam eneo lililo kati ya mbezi luguruni na bunju, almaarufu kama Mpiji Mahohe... Nina Heka 3 za kufanyia mradi huu, je kuna setbacks zozote au kuna challenges gani nijiandae nazo?
Vipi kuhusu, chakula, maji, na uangalizi wao kwa ujumla.
Naombeni msaada tafadhali.
NB: Kama kuna mtu anaushauri zaidi wa namna ya kuwajengea mabanda madhubuti ningependa pia ushauri wake na mengineyo mengi.
NB2: Nimeshapiga simu kwa mwalimu mmoja wa Kitulo kama alivyoelekeza Malila kwenye moja ya threads zilizopita na akanipa namba ya Muhusika na nimeshaweka booking ya kuwapata mwezi wa pili mwakani... Kama kuna mtu anajua shamba jingine naweza kuwapata kabla ya hapo ntafurahi pia akinihabarisha.
Shukran sana.
Kama kuna mtu anawafuga hawa Dar, naomba anialike kwake nikafanye site visit kidogo, na nimuulize maswali mawili matatu ya kinadharia kabisa ili niweze kuingia katika ufugaji huu.
Natarajia kuwafugua Dar es salaam eneo lililo kati ya mbezi luguruni na bunju, almaarufu kama Mpiji Mahohe... Nina Heka 3 za kufanyia mradi huu, je kuna setbacks zozote au kuna challenges gani nijiandae nazo?
Vipi kuhusu, chakula, maji, na uangalizi wao kwa ujumla.
Naombeni msaada tafadhali.
NB: Kama kuna mtu anaushauri zaidi wa namna ya kuwajengea mabanda madhubuti ningependa pia ushauri wake na mengineyo mengi.
NB2: Nimeshapiga simu kwa mwalimu mmoja wa Kitulo kama alivyoelekeza Malila kwenye moja ya threads zilizopita na akanipa namba ya Muhusika na nimeshaweka booking ya kuwapata mwezi wa pili mwakani... Kama kuna mtu anajua shamba jingine naweza kuwapata kabla ya hapo ntafurahi pia akinihabarisha.
Shukran sana.