Pre GE2025 Homa ya Uchaguzi yazidi Kupanda, Wabunge wajichanganya hata kwenye Maeneo ambayo waliyapuuza miaka yote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
I feel sorry 😞 😐 for him toka vijana wake 2 wafe kwa dengue fevers jamaa hajarudi kuwa sawa
 
Hahaahaha
 
Noma sana 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Peter k

Peter kabisa bado yupo hai?
Aliwahi kuwaambia Wapiga kura kwamba amejenga Barabara ya Kawawa, Tukamuuliza Mwishimiwa umejenga kutoka Chang'ombe hadi Kawe, Akazima Mic
 
Maulid Mtulia, baada ya kujiuza na muhula wake kwisha, akataka tena kupitia CCM, Akalogwa vibaya sana!
Tulimpigania sana mpk akachukua jimbo...wana kinondoni
Wenye nguvu,influence walimpigania sana...ila ona alichokuja kufanya...nlikutana naye mahali miaka fulani nlimsemea mbovu..sasa sahv sjui karudi kufundisha madrasa

Ova
 
Tulimpigania sana mpk akachukua jimbo...wana kinondoni
Wenye nguvu,influence walimpigania sana...ila ona alichokuja kufanya...nlikutana naye mahali miaka fulani nlimsemea mbovu..sasa sahv sjui karudi kufundisha madrasa

Ova
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
tutakwenda majimboni na tutajichanganya na wananchi popote walipo huko mitaani ndrani ndrani kibisa bila mbambamba ya mtu yeyote na kuwapa mrejesho wa ile kazi kubwa ya maendeleo imefanyika tayari kwa kipindi kilichopita na kuwaeleza ile mipango na mipangilio tuko nayo kwa miaka mitano ijayo πŸ’
 
Tarimba mhuni tu hana jipya

Ova
 
Mzee wa Kubetisha 🐼
Kuna jamaa yangu Muislam aliniambia kubet ni dhambi kubwa katika dini yao. Sasa nikashangaa mbona karibu kampuni zote za kubet Tanzania ni za kwao na hata mwenyekiti wa kampuni hizo ni Abbas....baadae nikasema ya wacha wafu wazike wafu wao
 
Tarimba mhuni tu hana jipya

Ova
Muheshimiwa mbunge sio muhini tafadhali sana@mrangi usipotoshe.

Kiongozi yupo eneo lake la uwakilishi pamoja na wapiga kura wake. Nini tatizo hapo mathalani?πŸ’
 
Wee acha uongo ! Tarimba ni bonge la mbunge tatizo mmezoea wale wanao sema ovyo kama msukuma ndo mana.Tarimba hata akiongea ni mwendo wa kutema madni tu na sio porojo kama za kina musukuma
Mbona umepanic, ww ndio Tarimba nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…