danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,524
Hahahaaa, kila media lazima habari ingekua ni hyo yan...lingepigiwa promo mpaka basiangefunga mchezaji fudenge wa Barcelona sijui tungeambiwa habari gani?
dah
Serie A is Back
Kama mlipigwa moja bila au.mmesuluhu au hamkupewa red mimi nahamia rasmii Ac milan Frank Wanjiru jembe langu la ukawa njoo na huku unipe matokeo
Ha ha ha haaa haaa haaaa ha aha ha ha. Ah aAAhaahahahahahahhahahahahahhahahahahahaha, yaani hapa napiga mswaki kisha pembeni kuna gazeti limeandika habari za AC Milan, ngoja nisukutue kisha uchafu niutupie kwenye Gazeti. Ptuuuuuuuuuuuuuu!!!
Wakuu mbona sijawaona kwenye makundi UEFA kubwa, mpo kundi gani kwani?
Ahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha!!!Huu sasa uchokozi. Milan kwa sasa imebaki jina. Hawana tofauti na jibwa koko lisilo na meno. Itawachukuwa muda kurudia katuka hali ya kawaida.
Wakuu mbona sijawaona kwenye makundi UEFA kubwa, mpo kundi gani kwani?
Kundi Z humo yupo Gang Chomba na Frank Wanjiru
Gang Chomba, habari za cku Mkuu. Hongera kwa ushindi wa Jana. Huu mwaka wenu kwani kule mtaa wa pili tayari bundi kashatua. Wanaendelea kuadhibiwa.
Huu sasa uchokozi. Milan kwa sasa imebaki jina. Hawana tofauti na jibwa koko lisilo na meno. Itawachukuwa muda kurudia katuka hali ya kawaida.
Uzuri serie-a sio mbio za m100. Vijana wangu wakianza kushinda ni mwanzo mwisho ushindi. Ngojeni pogba, lemina, dyabala, pereyla, marchisio, mandzukic wawe kwenye ubora wao.