Mleta mada katoka chooni bila kuchamba, mimi nilivyoonza kuisoma ty Thread na maneno yake nikajua tu kuwa huyu ni Gang Chomba.Frank Wanjiru Gang Chomba mnaonekana mmefurahi sana ila huyu mleta mada hamnazo HIVI UNAIZUNGUMZIA ACMILAN ILIYOPIGWA 4 NA SOSUOLO ha ha ha ha mna miaka mingap uefa hamjashiriki hiv uefa mmechukua mara ngap??
alafu mleta mada BARCELONA usiifananishe na milan yani ww unazungumzia goli 4 umesahau milan tushampiga 5 pale camp nou SS NDIO BARCELONA MABINGWA Aleyn kiboko ya timu zote kubwa duniani
Hawa wahuni wanaishusha hadhi Barca, siku Yanga au Simba ikichukua kombe la Club bingww Africa basi watazifananisha na Barca.mkuu tutake radhi BARCELONA huwez ifananisha na milan wala na liverfool pia huwez ifananishwa na timu kila msimu inabadil kocha KIUFUP BARCELONA HAIFANANISHWI NA TIMU YEYOTE ILE DUNIANI VIVA WAZEE WA TREBO
Sawa Barcelona Bora Lakni Cyo Kwa Chelsea Ata Kama Mbovu VpFrank Wanjiru Gang Chomba mnaonekana mmefurahi sana ila huyu mleta mada hamnazo HIVI UNAIZUNGUMZIA ACMILAN ILIYOPIGWA 4 NA SOSUOLO ha ha ha ha mna miaka mingap uefa hamjashiriki hiv uefa mmechukua mara ngap??
alafu mleta mada BARCELONA usiifananishe na milan yani ww unazungumzia goli 4 umesahau milan tushampiga 5 pale camp nou SS NDIO BARCELONA MABINGWA Aleyn kiboko ya timu zote kubwa duniani
Sitaki niumize vidole vyangu Ac Milan ni sawa na akina liverpool na barca klabu boora milele ni Real Madrid UCL mara 10 wkt Milan mara 5, hii haiitaji elimu na ujuzi kujua ipi ni bora.
umeongea kiunaz sana ila uju hao kina van basten wangekutana na barca ya messi wangepigwa 9-0
HAPANA hujanielewa, nachokuuliiza je unaifaham hiyo barca iliyopigwa 4-0 ilikua ni barca ya namna gani???
kwa taarifa yako tu ni kuwa hiyo barca ya kipindi hicho ndio ilikuwa inaitwa The dream Team ambayo ilichukua ubingwa wa ligi ya hispania mara nne mfululuzo, Ilikua ni Balaa
kuna midahalo inaendelea kuwa ni kipi kikos bora kati ya Barcelona ya 1991-94 ya Johan cruyff, kikosi cha Guardiola 2008 - 2011 na hiki cha Luis Enrique cha sasa..
kwa hiyo kama unaijua hiyo Barca basi unaweza kuimagin hiyo AC Milan ilikuwaje
HAPANA hujanielewa, nachokuuliiza je unaifaham hiyo barca iliyopigwa 4-0 ilikua ni barca ya namna gani???
kwa taarifa yako tu ni kuwa hiyo barca ya kipindi hicho ndio ilikuwa inaitwa The dream Team ambayo ilichukua ubingwa wa ligi ya hispania mara nne mfululuzo, Ilikua ni Balaa
kuna midahalo inaendelea kuwa ni kipi kikos bora kati ya Barcelona ya 1991-94 ya Johan cruyff, kikosi cha Guardiola 2008 - 2011 na hiki cha Luis Enrique cha sasa..
kwa hiyo kama unaijua hiyo Barca basi unaweza kuimagin hiyo AC Milan ilikuwaje
HAPANA hujanielewa, nachokuuliiza je unaifaham hiyo barca iliyopigwa 4-0 ilikua ni barca ya namna gani???
kwa taarifa yako tu ni kuwa hiyo barca ya kipindi hicho ndio ilikuwa inaitwa The dream Team ambayo ilichukua ubingwa wa ligi ya hispania mara nne mfululuzo, Ilikua ni Balaa
kuna midahalo inaendelea kuwa ni kipi kikos bora kati ya Barcelona ya 1991-94 ya Johan cruyff, kikosi cha Guardiola 2008 - 2011 na hiki cha Luis Enrique cha sasa..
kwa hiyo kama unaijua hiyo Barca basi unaweza kuimagin hiyo AC Milan ilikuwaje
HAPANA hujanielewa, nachokuuliiza je unaifaham hiyo barca iliyopigwa 4-0 ilikua ni barca ya namna gani???
kwa taarifa yako tu ni kuwa hiyo barca ya kipindi hicho ndio ilikuwa inaitwa The dream Team ambayo ilichukua ubingwa wa ligi ya hispania mara nne mfululuzo, Ilikua ni Balaa
kuna midahalo inaendelea kuwa ni kipi kikos bora kati ya Barcelona ya 1991-94 ya Johan cruyff, kikosi cha Guardiola 2008 - 2011 na hiki cha Luis Enrique cha sasa..
kwa hiyo kama unaijua hiyo Barca basi unaweza kuimagin hiyo AC Milan ilikuwaje
HAPANA hujanielewa, nachokuuliiza je unaifaham hiyo barca iliyopigwa 4-0 ilikua ni barca ya namna gani???
kwa taarifa yako tu ni kuwa hiyo barca ya kipindi hicho ndio ilikuwa inaitwa The dream Team ambayo ilichukua ubingwa wa ligi ya hispania mara nne mfululuzo, Ilikua ni Balaa
kuna midahalo inaendelea kuwa ni kipi kikos bora kati ya Barcelona ya 1991-94 ya Johan cruyff, kikosi cha Guardiola 2008 - 2011 na hiki cha Luis Enrique cha sasa..
kwa hiyo kama unaijua hiyo Barca basi unaweza kuimagin hiyo AC Milan ilikuwaje
HAPANA hujanielewa, nachokuuliiza je unaifaham hiyo barca iliyopigwa 4-0 ilikua ni barca ya namna gani???
kwa taarifa yako tu ni kuwa hiyo barca ya kipindi hicho ndio ilikuwa inaitwa The dream Team ambayo ilichukua ubingwa wa ligi ya hispania mara nne mfululuzo, Ilikua ni Balaa
kuna midahalo inaendelea kuwa ni kipi kikos bora kati ya Barcelona ya 1991-94 ya Johan cruyff, kikosi cha Guardiola 2008 - 2011 na hiki cha Luis Enrique cha sasa..
kwa hiyo kama unaijua hiyo Barca basi unaweza kuimagin hiyo AC Milan ilikuwaje
Ahahahahahahahahahaha!!!nenda jukwaa la mapishi maana hata soka hulijui.
kama leo hii unaripoti kuwa Milan wana ndoo 5 basi huna tofauti na Nape asiejuwa kirefu wala maana ya TFF
Frank Wanjiru Gang Chomba mnaonekana mmefurahi sana ila huyu mleta mada hamnazo HIVI UNAIZUNGUMZIA ACMILAN ILIYOPIGWA 4 NA SOSUOLO ha ha ha ha mna miaka mingap uefa hamjashiriki hiv uefa mmechukua mara ngap??
alafu mleta mada BARCELONA usiifananishe na milan yani ww unazungumzia goli 4 umesahau milan tushampiga 5 pale camp nou SS NDIO BARCELONA MABINGWA Aleyn kiboko ya timu zote kubwa duniani
ingekuwa ni ngumu BARCA kuchukua UEFA kipind hiko sababu hata ww ulukuwa hujazaliwa pia jua kuwa klabu yenye mafanikio kupita zote duniani ni FC BARCELONA
Mimi kukuelewa nilikuelewa ijapokuwa hujaniquote mimi ila niseme tu kuwa hiyi Milan ingekutana na ile Barca ambayo ilimpiga Man U 2-0 pale france, ingeweza kumtandika huyo Milan hata hizo bao 9.
Kuna kitu kimoja kwa Barca, Barca hana tabia ya kukamia kukufunga nyingi, isipokuwa anataka tu akusumbue uwanjani kwa style yake achezayo. Kungekuwa na uwezekana hiyo squad ya Milan ikarudishwa na kukutana na Barca ya 2016 kila timu ktk ubora wake basi dunia nzima tungeandamana kuwa Barca amekiuka haki za kimpira kwa kuidharirisha Milan.
Sitaki niumize vidole vyangu Ac Milan ni sawa na akina liverpool na barca klabu boora milele ni Real Madrid UCL mara 10 wkt Milan mara 5, hii haiitaji elimu na ujuzi kujua ipi ni bora.
Tena hii Barca ya Luis Enrique kidoogoooo imepoteza kale karadha na hii imechangiwa na mambo kadhaa!
1. Xavi Kustaafu na kipindi cha nyuma kidogo alikuwa hapati namba baada ya ujio ya Ivan Rakitic
2. Messi kurudi ktk main position yake, yaani Winga ya kulia, kumbuka Messi alikuwa akichezaga kama 9 na alikuwa akichukua sana mipira kati na kupeleka mbele. Akiwa anarudi pale kati kulikuwa na burudani tosha kabisa akiwa na mafundi wa tik taka akina Iniesta, Sergio Busquets na Xavi Hernandez
Barca forevermkuu tutake radhi BARCELONA huwez ifananisha na milan wala na liverfool pia huwez ifananishwa na timu kila msimu inabadil kocha KIUFUP BARCELONA HAIFANANISHWI NA TIMU YEYOTE ILE DUNIANI VIVA WAZEE WA TREBO
Mleta mada katoka chooni bila kuchamba, mimi nilivyoonza kuisoma ty Thread na maneno yake nikajua tu kuwa huyu ni Gang Chomba.
Kama ubora wa timu ya Milan ni kuifunga Barca bao 4, mbona wao msimu wa 2012 washapata hiko kipigo Camp Nou!?
mkuu hapo ndo mnapokosea ubora wa timu huwezi kuungalia kwa mechi 2 au 1 angalia consistent uwezo wa kuendelea kutawala miaka mingi,mbona hiyo bayern wakiwa na hao nyota wao, nao walichezea kipigo cha 5-0 agg toka kwa madrid ambayo huwa inanyanyaswa na barcaheh heh heh futa povu mja wa Mola...
Barca hio ya Nesi si ndio ile ilikula goli 7-0 on agg na Bayern?