uniripot jamii forum ya babako au mke wakonakushauri nenda veta kajifunze ushonaji uwe kama Martin Kadinda...
wenzako wanaojuwa maana ya mafanikio wamenyamaza kimyaa mana wanajuwa hapa tunaizungumzia Milan, Bayern,Barca, Man UTD hivyo tutashindanisha makombe ambayo wamekutana na sio kutuletea makombe ya ndani "domestic trophy"...
Milan hachezi la Liga wala Barca hachezi Serie A so hapa yanazungumziwa makombe kama Champions league, uefa super cup, uefa cup, na klabu bingwa ya dunia.
ujifunze, siku nyingine ukikurupuka nakuripoti upigwe BAN
sipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkoponakushauri nenda veta kajifunze ushonaji uwe kama Martin Kadinda...
wenzako wanaojuwa maana ya mafanikio wamenyamaza kimyaa mana wanajuwa hapa tunaizungumzia Milan, Bayern,Barca, Man UTD hivyo tutashindanisha makombe ambayo wamekutana na sio kutuletea makombe ya ndani "domestic trophy"...
Milan hachezi la Liga wala Barca hachezi Serie A so hapa yanazungumziwa makombe kama Champions league, uefa super cup, uefa cup, na klabu bingwa ya dunia.
ujifunze, siku nyingine ukikurupuka nakuripoti upigwe BAN
sipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkoponakushauri nenda veta kajifunze ushonaji uwe kama Martin Kadinda...
wenzako wanaojuwa maana ya mafanikio wamenyamaza kimyaa mana wanajuwa hapa tunaizungumzia Milan, Bayern,Barca, Man UTD hivyo tutashindanisha makombe ambayo wamekutana na sio kutuletea makombe ya ndani "domestic trophy"...
Milan hachezi la Liga wala Barca hachezi Serie A so hapa yanazungumziwa makombe kama Champions league, uefa super cup, uefa cup, na klabu bingwa ya dunia.
ujifunze, siku nyingine ukikurupuka nakuripoti upigwe BAN
Mleta mada ngoja na mimi nikujibu!
1. Mashabiki wa sasa tunaibeza Milan kwa kuwa hakuna ikifanyacho, yaani squad ni mbovu na mpira ni mbovu. Kwanini unajivunia historia wakati kwa sasa hakuna ufanyacho. Mkishuka daraja bado utajivunia Historia?
2. Kitu cha muhimu ktk soka ni Soka safi (kama Barca, Man City, Bayern n.k) Magoli (Madrid, Bayern, Barca n.) na Makombe (Barca, Man City, Bayern, PSG n.k). Hiyo Historia ni yako sababu watu tunaangalia mbele wala sio nyuma, ukitaka kubeba makombe jitazame sasa ulivyo kisha itazame na kesho na SIO kuangalia Historia. Kama unatazama Historia basi sajilini wachezaji wakubwa kama zamani, si mna historia wachezaji wakubwa kucheza hapo? Bebeni pia na makombe kama zamani, tumieni historia hiyohiyo kubeba makombe.
3. Hiko kipigo cha mbwa koko alichopata Barca kwa Milan, unadhani Barca hakumpa hiko kipigo Milan!? Hivi unajua baada ya Barca kumpa Milan hiko kipigo Milan wakaamua wasirudi tena mpaka UEFA, na ni kweli mpaka leo hajarudi. Kwa statistic, ni nani kati ya Barca na Milan anaongoza kumfunga mwenzie!?
4. Kutwaa tuzo bora na ubora wa timu tuviweke pembeni, maana timu kama Barca tangu 2007 inaingiza mchezaji au wachezaji ndani 3 bora na mara 5 mchezaji wao kabeba.
5. Hizo tripo R zote zimecheza Barca pia ila nasikitika kusema kuwa hizo Tripple R zilikuja Milan zikiwa zimechoka. Ronaldinho kaja Milan akiwa kachoka baada ya kutemwa na Barca, De Lima kaenda Milan akiwa kachoka japo sio sana kama Gaucho, na Rivaldo hivyo hivyo.
6. Milan mnajisifu kumficha Ronaldo ndani ya dakika 45!?
-Barca aliificha Man U timu nzima ndani ya dakika 80, hii ilikuwa final ya UEFA pale Ufaransa, hakuonekana Rooney wala Ronaldo wala ile mido yao inayoitwa Paul Scholes.
-Barca pekee iliwahi kumtetemesha Sir Alex pale kwake England, akwa anatetemeka kama anaumwa Dengu!!!
UKIWA UNAANDAA THREAD ZA KINAZI KAMA HIZI UJIPANGE.
****** Aleyn ******
Barcelona ni timu isiyofananishwa na timu yeyote hapa duniani⚽️⚽️⚽️⚽️
mkuu hapo ndo mnapokosea ubora wa timu huwezi kuungalia kwa mechi 2 au 1 angalia consistent uwezo wa kuendelea kutawala miaka mingi,mbona hiyo bayern wakiwa na hao nyota wao, nao walichezea kipigo cha 5-0 agg toka kwa madrid ambayo huwa inanyanyaswa na barca
inabidi ukubali mkuu kwa miaka kumi iliyopita hakuna kama barca na hilo ndo linalodhihirisha ubora wao,hiki kizaz cha barca ni level nyingine mkuu hata kama hutak ila ukweli utabakia hivyo,
Viva Barcelona
uniripot jamii forum ya babako au mke wako
sipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkopo
Siombi radhi kenge ww kama una ban we ban Taarifa unatoa ya nn Ac Milan ahieshim babako mm naiheshim barcelona ukimaind kunya boga au kapime tezi dumekwani hujui?
kwanza omba radhi, la sivyo ntakupiga BAN urudi hukohuko Facebook mkapeane umbea wa Wema Sepetu.
ukija JF uwe na adabu na heshima kwa AC Milan...
umenielewa?
Na hua Siombi radhi kiboya boya tu aiseekama unasomea udaktari basi ndio maana viongozi wanakwenda kutibiwa nje.
na hiko chuo kikuu mna haki ya kuongozwa na Kikwete.
ngoja nikufundishe sasa, hayo ni jumla ya makombe yote ambayo timu imebeba, yaani ya ndani na ya kimataifa.
hapo namaanisha kwa mfano Madrid amebeba la liga ngapi, kombe la mfalme ngapi, super cup ya spain ngapi, jumlisha champions league, uefa cup, super cup na klabu bingwa ya Dunia.
natumai umenielewa mtoto mzuri.
Siombi radhi kenge ww kama una ban we ban Taarifa unatoa ya nn Ac Milan ahieshim babako mm naiheshim barcelona ukimaind kunya boga au kapime tezi dume
Na hua Siombi radhi kiboya boya tu aisee
Sawa anti Chomba nafuata hahahahahah ha hah haya Mama fuata maagizo niliokupa
barca ndani ya miaka 10 iliopita ina champions league 4 unataka ufundishwe vp wewe ili ukiri ubora waoacha kutia huruma wewee...
Milan wana champions league 7 haya hao Bakwa wako?
Ahahahahahahahahahaha!!!nakushauri nenda veta kajifunze ushonaji uwe kama Martin Kadinda...
wenzako wanaojuwa maana ya mafanikio wamenyamaza kimyaa mana wanajuwa hapa tunaizungumzia Milan, Bayern,Barca, Man UTD hivyo tutashindanisha makombe ambayo wamekutana na sio kutuletea makombe ya ndani "domestic trophy"...
Milan hachezi la Liga wala Barca hachezi Serie A so hapa yanazungumziwa makombe kama Champions league, uefa super cup, uefa cup, na klabu bingwa ya dunia.
ujifunze, siku nyingine ukikurupuka nakuripoti upigwe BAN
Labda mmeweuniripot jamii forum ya babako au mke wako
Ahahahahahahaha mnanichekesha vibaya sanasipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkopo
Na Gaucho alikuja Milan kufata nini!? Mbona humtaji De Lima alikuja kufanya nini!? Wote hao walienda huko kipindi washachoka.heh heh heh nimeipenda hio namba 5.
na hapo ndipo nagundua kuwa ushabiki wako umeanzia pale Dinho alipoanza kutenda maajabu.
nikufundishe historia usioijuwa.
hivi unajuwa kuwa ilimlazimu Figo ahame Barca ili kwenda kubeba champions league?
hivi una habari Rivardo Victor Borba Fereirra ilibidi ahamie AC Milan akitokea Barca ili aje afanikiwe kubeba Champions League?
sasa jiulize Barca hio iliokimbiwa na majemadari kama hao ilikuwaje?
ndo maana nikakukumbusha tu tokea 1992 mpaka 2006 ndio Barca walibeba tena champions League.
na kutoka 1994 mlipopakatwa na Milan na kufungwa 4-0 katika fainali ndio mlipotea kama misukule mpaka pale Dinho mtenda miujiza alipokuja kuwarudisha tena.
so ifuatilie kwanza Barca uijue kisha ndio uje hapa kujibalaguza
Na Gaucho alikuja Milan kufata nini!? Mbona humtaji De Lima alikuja kufanya nini!? Wote hao walienda huko kipindi washachoka.