Home of AC Milan, Official Thread

uniripot jamii forum ya babako au mke wako
 
sipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkopo
 
sipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkopo
 

heh heh heh nimeipenda hio namba 5.
na hapo ndipo nagundua kuwa ushabiki wako umeanzia pale Dinho alipoanza kutenda maajabu.

nikufundishe historia usioijuwa.
hivi unajuwa kuwa ilimlazimu Figo ahame Barca ili kwenda kubeba champions league?

hivi una habari Rivardo Victor Borba Fereirra ilibidi ahamie AC Milan akitokea Barca ili aje afanikiwe kubeba Champions League?

sasa jiulize Barca hio iliokimbiwa na majemadari kama hao ilikuwaje?

ndo maana nikakukumbusha tu tokea 1992 mpaka 2006 ndio Barca walibeba tena champions League.

na kutoka 1994 mlipopakatwa na Milan na kufungwa 4-0 katika fainali ndio mlipotea kama misukule mpaka pale Dinho mtenda miujiza alipokuja kuwarudisha tena.

so ifuatilie kwanza Barca uijue kisha ndio uje hapa kujibalaguza
 

acha kutia huruma wewee...
Milan wana champions league 7 haya hao Bakwa wako?
 
sipo veta nipo chuo kikuu nasomea udaktar af io sio domestic trophy ni european trophy usikurupuke kisa na elim yako Ya mkopo

kama unasomea udaktari basi ndio maana viongozi wanakwenda kutibiwa nje.

na hiko chuo kikuu mna haki ya kuongozwa na Kikwete.

ngoja nikufundishe sasa, hayo ni jumla ya makombe yote ambayo timu imebeba, yaani ya ndani na ya kimataifa.

hapo namaanisha kwa mfano Madrid amebeba la liga ngapi, kombe la mfalme ngapi, super cup ya spain ngapi, jumlisha champions league, uefa cup, super cup na klabu bingwa ya Dunia.

natumai umenielewa mtoto mzuri.
 
kwani hujui?
kwanza omba radhi, la sivyo ntakupiga BAN urudi hukohuko Facebook mkapeane umbea wa Wema Sepetu.
ukija JF uwe na adabu na heshima kwa AC Milan...

umenielewa?
Siombi radhi kenge ww kama una ban we ban Taarifa unatoa ya nn Ac Milan ahieshim babako mm naiheshim barcelona ukimaind kunya boga au kapime tezi dume
 
Na hua Siombi radhi kiboya boya tu aisee
 
Siombi radhi kenge ww kama una ban we ban Taarifa unatoa ya nn Ac Milan ahieshim babako mm naiheshim barcelona ukimaind kunya boga au kapime tezi dume


hah hah hah haya futa machozi kisha paka vizuri wanja...hah hah hah
 
acha kutia huruma wewee...
Milan wana champions league 7 haya hao Bakwa wako?
barca ndani ya miaka 10 iliopita ina champions league 4 unataka ufundishwe vp wewe ili ukiri ubora wao
afu hata hao mashabiki wa barca unaosema wameanza kuipenda barca mwaka 2006 acha waipende hata kama barca hii ingeibuka jana mtu anaejua soka ni nini ataipenda tu,
alichotuuzi huyo mtoa post ni kusema milan ndo timu bora milele wakati dunia nzima inajua hakuna kizaz cha kutandaza kabumbu kilichotokea mfano wa hawa la masia
sahau kuhusu brazil ya pele,total football ya holland,milan ya van basten had weah,kizaz hiki cha bayern ya thomas muller na wengine wote
tunachokueleza ni kuwa hiki kizaz cha gaucho xavi iniesta messi ndiyo haswa kilichotupa mashabiki wa soka ulimwengun burudan ya soka hao wengine wasifiane sababu ya unazi wenu tu na wala sio ubora wa kutandaza soka
 
Ahahahahahahahahahaha!!!
 
Reactions: PNC
Na Gaucho alikuja Milan kufata nini!? Mbona humtaji De Lima alikuja kufanya nini!? Wote hao walienda huko kipindi washachoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…