Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

Hivi unaijua financial status ya Milan ?
Na unafahamu why walipewa adhabu na UEFA ?
Kama unalifahamu basi hiyo ndio sababu kubwa ya kumleta Gazidis.Pale Arsenal club ilikuwa stable financial na on pitch walikuwa wanamaintain kucheza Champions league na wasingeweza kupambana na City,United au Chelsea ambao owner walikuwa wanamwaga fedha kwenye usajili

Ozil ni mmoja ya wachezaji wanaongoza kwa mishahara mikubwa kwenye EPL hii Milan ya sasa haiwezi kumlipa 300k-350k per week


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hivi wewe ni milanista? Milan haja yao ni kushindana. American owners wana matatizo yao kwahiyo tuwaache.

Ozil Lazima angetake paycut kuja milan hakuna timu ulaya itakayompa mshahara kama anaolipwa arsenal. Na mashbiki wa Ac milan wamekua na Imani kubwa na Leonardo na sio Gazidis. Wanaamini ndie atakaeweza kuirudisha timu kwenye hali yake.
Nafikiria bado hujafahamu kama tayari Gazidis kashaanza kuchafuana na Leonardo, na majuzi tu waliropekeana na Maldini. Anachotaka kukifanya yeye kipo nje ya version ya Italian football pamoja na Leonardo. Na fans wanastand with Leonardo.

Nakuhusu suala la Arsenal kwenye mafanikio napinga,Arsenal wameshindwa kupata mafanikio kwa matatizo yao wenyewe nasio spending. Walikua always wanaspend poor kwa visizingizio eti dam changa. Huwezi kupata mafanikio kwa kutegemea wachezaji kina walcot na Welback. ramsey, tizama foward line liverpool yupi pale arsenal wangeshindwa kumsaini? Tatizo la Arsenal lilikua ni poor transfer policy. Ambalo Gazidis na Jamaa yake Wenger wote walikua ndio watuhumiwa wakuu juu ya hilo.
 
Mkuu hivi wewe ni milanista? Milan haja yao ni kushindana. American owners wana matatizo yao kwahiyo tuwaache.

Ozil Lazima angetake paycut kuja milan hakuna timu ulaya itakayompa mshahara kama anaolipwa arsenal. Na mashbiki wa Ac milan wamekua na Imani kubwa na Leonardo na sio Gazidis. Wanaamini ndie atakaeweza kuirudisha timu kwenye hali yake.
Nafikiria bado hujafahamu kama tayari Gazidis kashaanza kuchafuana na Leonardo, na majuzi tu waliropekeana na Maldini. Anachotaka kukifanya yeye kipo nje ya version ya Italian football pamoja na Leonardo. Na fans wanastand with Leonardo.

Nakuhusu suala la Arsenal kwenye mafanikio napinga,Arsenal wameshindwa kupata mafanikio kwa matatizo yao wenyewe nasio spending. Walikua always wanaspend poor kwa visizingizio eti dam changa. Huwezi kupata mafanikio kwa kutegemea wachezaji kina walcot na Welback. ramsey, tizama foward line liverpool yupi pale arsenal wangeshindwa kumsaini? Tatizo la Arsenal lilikua ni poor transfer policy. Ambalo Gazidis na Jamaa yake Wenger wote walikua ndio watuhumiwa wakuu juu ya hilo.
Mzee hizi sio enzi za Berlusconi na Galliani wakati ambao Milan ilikuwa inaweza kusajili best players in the world.

Milan now haina fedha kufanya hayo unayoyataka na last year wameadhibiwa na UEFA sababu ya kushindwa kufit kwenye FFP

Do you expect Milan hii kupigania ubingwa against Juve/Inter au Napoli ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee hizi sio enzi za Berlusconi na Galliani wakati ambao Milan ilikuwa inaweza kusajili best players in the world.

Milan now haina fedha kufanya hayo unayoyataka na last year wameadhibiwa na UEFA sababu ya kushindwa kufit kwenye FFP

Do you expect Milan hii kupigania ubingwa against Juve/Inter au Napoli ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwani Napoli wana fedha? mbona wanashindana. Mpaka sasa ukitizama Milan bado anafanya spending kubwa ya transfer na mishahara mikubwa kuliko Napoli lakini bado napoli anafanya vizuri kuliko Milan, Milan inapocheza na Napoli unafikia kuionea huruma inavyonyanyasika uwanjani.
Its not always about spending, Mafanikio sio lazima yaje kwa kupitia big spending. Stratagem na good transfer policy ndio inayotakilikana. Na Leonardo ni proven kwa hilo. Ila Gazidis naye ni proven failure kwa hilo.
 
Mkuu kwani Napoli wana fedha? mbona wanashindana. Mpaka sasa ukitizama Milan bado anafanya spending kubwa ya transfer na mishahara mikubwa kuliko Napoli lakini bado napoli anafanya vizuri kuliko Milan, Milan inapocheza na Napoli unafikia kuionea huruma inavyonyanyasika uwanjani.
Its not always about spending, Mafanikio sio lazima yaje kwa kupitia big spending. Stratagem na good transfer policy ndio inayotakilikana. Na Leonardo ni proven kwa hilo. Ila Gazidis naye ni proven failure kwa hilo.
Napoli wametumia muda ku-assemble hiyo timu walipata wachezaji wazuri wengi kwa bei chee(Koulibaly,Milik,Zielinski,,Insigne,Allan,Hamsik,Martens) na makocha alikuwa Sari ambaye ndio katengeneza timu now yupo Carlo on of the best coach huwezi mlinganisha na Gatusso ambaye ndio anajifunza ukocha.

It will take time Milan kurudi Kwanza lazima timu iwe stable financial ndio maana owner wamemleta Gazidis baada ya mistake iliyofanywa na na Fasone & Mirabeli



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napoli wametumia muda ku-assemble hiyo timu walipata wachezaji wazuri wengi kwa bei chee(Koulibaly,Milik,Zielinski,,Insigne,Allan,Hamsik,Martens) na makocha alikuwa Sari ambaye ndio katengeneza timu now yupo Carlo on of the best coach huwezi mlinganisha na Gatusso ambaye ndio anajifunza ukocha.

It will take time Milan kurudi Kwanza lazima timu iwe stable financial ndio maana owner wamemleta Gazidis baada ya mistake iliyofanywa na na Fasone & Mirabeli



Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu hao kina Allan na Milik wamekuja juzi tu na kufika tu impact yao ilionekanwa, Sifa yao wapewe jamaa wanajielewa sana kwenye kutafuta wachezaji. Hio bei chee unayosema ndio ujuzi wao. Wameona vipaji kwenye wachezaji wasio na soko kubwa kwenye ulimwengu wa mpira. na ndio mana nikasema sio always big spending inayo translate success.
Na kuhusu gatusso hilo nikosa lao wenyewe kutafuta kocha mwepesi. Wazee wamejaa tele wenye uwezo ila wao ndio wamemua kustick na Gatusso kwahiyo ilo lisiswe sababu kabisa. Na stable financial haiwezi kuja bila ya mafanikio, Ile ni Italy sio England. Timu ikiwa inafanya vizuri mzunguko utakua mzuri, Ikivurunda hata washabiki uwanjani wanapotea.
 
Milan bounce back from a 0-0 draw in the league to Napoli into a 2-0 decimation of Napoli in the League Cup. Piatek scored twice and early to seal the game quickly, but he was not the only stand out.
STARTING XI
Donnarumma (9): Gigio has been on a world class tear lately and today was no different, his 7th clean sheet in two months and third consecutive, Donnarumma was put in some tight spots in the second half but passed every test with flying colors. Brick wall.
Abate (7): Abate looked reminiscent of his older self today. Calabria was not missed like many expected.
Musacchio (7): Matteo faced a tough recovery from his injury but has recently slotted back into form and it is showing, at one point Milan was in danger but Matteo was able to bicycle kick clear the ball which lead to a counter attack.
Romagnoli (9): I genuinely am not sure who had more saves between Alessio, and Gianluigi Donnarumma. The captain has always been worthy of the armband but tonight especially, he put on a clinic in defense. This was a performance to write home about.
Laxalt (8): In my opinion this was Laxalt’s best performance in a Milan shirt. He was quick, and did well to clear the ball, preventing numerous corner kicks and breakaways. If he keeps this up, he can claim the starting spot over Rodriguez.
Kessie (6): Not a bad performance by any means from Kessie but his first touch has gotten worse over the last few games and today that seemed to peak. He has a cheeky lay off to Piatek early for the only missed shot of the game in the opening minutes but then dipped a bit in form. A rest would do him well.
Bakayoko (9): The pride of the midfield, Tiemoue, is arguably the best midfielder in Serie A right now. My vocabulary is not deep enough to describe how well he has been playing and played today. When he looks to be in trouble he either finds a magic escape route or can draw a foul.
Paqueta (8): He has so much flair it is almost difficult to keep up. As crazy as it sounds, today was maybe he worst Milan performance and it was still a great showing, even claiming his first assist! He did lose the ball a few times when trying to be cheeky but overall, he is the creative spark we have missed in an otherwise solid midfield now.
Castillejo (6): In a performance full of bright lights, Samu was today not one of them. He was given his opportunity to show Gattuso he deserves to start but he failed to do much and Milan’s search for a new LW (yes, Samu played RW today) will continue in this January window.
Piatek (9.5) MOTM: It is impossible to not dub this man the Man of the Match. This was his first start for Milan and it was no walk in the park, but he made it look like one. Bagging a brace in 27 minutes with his opener in the tenth, he looks set to continue goal scoring form and challenge for Capocannoniere.
Borini (6): Fabio is such a hard worker, it is a shame the skill is not there because he truly understands what it means to wear the Milan shirt and always gives his all. Today he was capable and willing but failed to really leave an impression outside of hustle.
SUBSTITUTIONS
Calhanoglu (7): Hakan is playing with confidence again, and coming on after resting and witnessing the first hour of the match seemed to play into his confidence. He looked sharp in the half hour he received and almost had a breakaway but the pass to him was not there.
Cutrone (6): Patrick only played 15 minutes so do not judge his rating as negative. He made the best of the time he had and was in a few tempting positions but ultimately did not see a shot on goal tonight.
Rodriguez (NA): Rodriguez did not play long enough for a rating.
MANAGER
Gattuso (10): He got it right today. He rested key players but still started a strong core and got the job done in fantastic fashion. He made proper substitutions as well, holding onto Piatek a tad long to give him the hat-trick opportunity but ultimately saving him for Roma at the weekend. Paqueta almost had a full 90 but isn’t quite there yet and Rino was able to recognize that and swap him out late.
Share this:
 
Romagnoli: "We were great. We were in the game for 90 minutes. We immediately scored a goal with Piatek and I congratulate him, it was an amazing game. Now we will wait for Lazio or Inter. Roma? It's a clash for Champions League. We have to face these games for our objective."
 
Gennaro Gattuso on Tiemoue Bakayoko: “He has learned so much about transitions, as at the start he got it wrong most of the time, but today he can do diagonal runs and close off the passing channels."
 
Milan bounce back from a 0-0 draw in the league to Napoli into a 2-0 decimation of Napoli in the League Cup. Piatek scored twice and early to seal the game quickly, but he was not the only stand out.
STARTING XI
Bakayoko (9): The pride of the midfield, Tiemoue, is arguably the best midfielder in Serie A right now. My vocabulary is not deep enough to describe how well he has been playing and played today. When he looks to be in trouble he either finds a magic escape route or can draw a foul.
Share this:

Mkuu hii rating review umeamdika weye au umecopy sehemu? mana dah haya maneno mengine duh!!!!!!
 
8 - Krzysztof #Piatek has scored the opening goal 8 times in the Serie A 2018/19, more than any other player. Icebreaker.
 
Among the 4 top-5 European league players (Mbappè, Lewandowski and Messi the others) to score at least 22 goals in the current season (all comps), #Piatek is the striker who played the fewest matches (24).
 
Massimo Ambrosini has urged critics of Milan boss Gennaro Gattuso to lay off him. “I really don’t understand what more can be asked of him.”
Gattuso replaced Vincenzo Montella in November 2017 and has proved to be a steady pair of hands for Milan, with the side fourth in Serie A and currently on track for Champions League football next season.
“I really like him, he’s doing an extraordinary job,” Ambrosini, who played alongside ‘Rino’ in the Rossoneri’s midfield, told Gazzetta dello Sport.
“I really don’t understand what more can be asked of him. He’s given this group mental strength, awareness and, above all, spirit.
“We need to judge the work of a Coach in relation to a club’s expectations and he’s fully respecting them.
“In addition to results, he was also asked to improve the players in the squad. It seems to me that he’s succeeded on that front.
“An example? Overall I’d say Bakayoko. His growth is absolutely evident when you consider the difficulties he had at the start of the season
 
*Milan Still Lack Creativity on the Wings*

The one major flaw in Milan’s performance at the Stadio Olimpico was the gap in creativity especially amongst the wingers. Suso and Hakan Calhanoglu seemed to be out of ideas and constantly smashing in poor crosses or slamming into a defender hence leaving Piatek stranded. Suso is perhaps guiltier in this regard as he barely made an impact in the game and given his speed and dribbling skills should make more use of the right wing than he has in recent games. Calhanoglu for all his flaws in recent months still manages to create one or two dangerous looking chances per game despite the average performance for the rest of the game The work rate of both players has been decent when they track back and hold possession but the creation of chances is lacking and needs to be fixed.
 
Milan will target Saint-Maximin in June and there is a bigger chance that a transfer will happen this time. Milan have already offered €20M, but Nice's request is at €25M.
 
AC Milan defender, Alessio Romagnoli has identified Chelsea striker, Gonzalo Higuain as the “best striker” in the world currently.
Romagnoli, a former teammate with Higuain at Milan, stated this ahead of Chelsea’s Premier League clash with Manchester City on Sunday.
Higuain, who joined Chelsea on loan from Juventus last month, scored a brace in Chelsea’s 5-0 victory over Huddersfield Town last weekend.
 
There are big chances that Paquetá gets called up for Brazil friendlies in March. Brazil assistant coach Sylvinho observed him in the games against Napoli (Coppa Italia) and against Roma [UOL Esporte]
 
Sylvinho: “He [Paquetá] is a great athlete who responded well to the stage of adaptation [at Milan]. Milan is a great club, well organized by Gattuso & has tactical movements similar to the Seleção.”
 
Romagnoli on the race for Champions League:

"The season is long. We have to improve all the time. There will be many direct clashes like Atalanta and the derby. Many games that may seem easy, but are not. We have to give our all to reach our target that's been missing for years"
 
Back
Top Bottom