Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #341
ndetichia, myao wa Tunduru njoeni mtupe updates za Juve...
Mmetoa patulo ya 7 ktk seriie A huku Pirlo, Marchisio na wehu wengine wakiendelea kusubiri huruma za refa ili wapate patulo
ndetichia, myao wa Tunduru njoeni mtupe updates za Juve...
Mmetoa patulo ya 7 ktk seriie A huku Pirlo, Marchisio na wehu wengine wakiendelea kusubiri huruma za refa ili wapate patulo
ndetichia, myao wa Tunduru njoeni mtupe updates za Juve...
Mmetoa patulo ya 7 ktk seriie A huku Pirlo, Marchisio na wehu wengine wakiendelea kusubiri huruma za refa ili wapate patulo
GC katoe mkono wa pole kwa ndugu zako kwa ushindi wakutoka UEFA..
kwani wale ni wataliano?
Mi siwasapoti Inter hata siku moja.
Wataliano wa ukweli ni wale wenye wachezaji wa kitaliano ktk first 11 zao
chelsea 4-1 Napoli.
robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulayya ni kati ya Milan na Barcelona
milan 2-2 Juve
extra time goal send old lady or grandma of tulin to coppa de italia final..
Ac milan 2-1 AS Roma...
Zlatan Ibracadabra kapeleka msiba kwa vizee va mji mtakatifu...