Home of AC Milan, Official Thread

hii Napoli hii,Chomba usinunue Panadol haitoshi,nunua dawa ya maumivu kali,napendekeza Diclofenac!

Mmmmnh, labla Jack Daniel mzinga mkubwa, embassy pakti moja, gomba kama la kg 1 na kushi kama za Jah Cure
 
Mmmmnh, labla Jack Daniel mzinga mkubwa, embassy pakti moja, gomba kama la kg 1 na kushi kama za Jah Cure

ha ha haa!akimaliza hiyo dozi lazima akili iharibike na kuanza kushangilia magoli ya Higuain!
 
ha ha haa!akimaliza hiyo dozi lazima akili iharibike na kuanza kushangilia magoli ya Higuain!

Ila bado nataka Milan washinde, hata kama huyu Mwanakwetu ataleta ngebe na majisifu yake, ntaufurahia ushindi wa Milan kuliko kipigo chao
 
Ila bado nataka Milan washinde, hata kama huyu Mwanakwetu ataleta ngebe na majisifu yake, ntaufurahia ushindi wa Milan kuliko kipigo chao

mourinho anzisheni thread ya serie a jamani.nacheki game ya roma na lazio hapa,pia arsenal na stoke.najaribu kucheki ni wapi waingereza wametuzidi,naona ni spidi ya mchezo na maamuzi ya haraka uwanjani.
 
mourinho anzisheni thread ya serie a jamani.nacheki game ya roma na lazio hapa,pia arsenal na stoke.najaribu kucheki ni wapi waingereza wametuzidi,naona ni spidi ya mchezo na maamuzi ya haraka uwanjani.

Ni pesa tu kaka, kuna pesa nyingi za wawekezaji kwenye EPL kuliko ligi yetu, vilabu vyetu vingi vinajiendesha vyenyewe lakini hatuna management na sheria nzuri kama za Bundasliga.

Huangalii match yetu Mkuu?
 
mourinho anzisheni thread ya serie a jamani.nacheki game ya roma na lazio hapa,pia arsenal na stoke.najaribu kucheki ni wapi waingereza wametuzidi,naona ni spidi ya mchezo na maamuzi ya haraka uwanjani.

Umeona kitu Inter wamewafanyia Sassuolo?
 
Umeona kitu Inter wamewafanyia Sassuolo?

aibu 7!Roma nao wamecheza spanish soccer safi.yule Ljajic mzuri sana ila Lazio wana beki anaitwa Ciani ni kisiki kweli kweli. Nimecheki ila sifurahishwi na ukosaji wetu wa magoli.tulistahili ushindi mkubwa zaidi.nimefurahishwa na majina ya wafungaji wa magoli yetu
 
Napoli 1,milan 0 Ballotelliii dah!Chombaa,we Gang eeh,uko wapi jamani Chomba wetu?!
 
Napoli 1,milan 0 Ballotelliii dah!Chombaa,we Gang eeh,uko wapi jamani Chomba wetu?!

Cha pili tayari kaka, Gang Chomba alitudhihaki na dro yetu juzi kwenye Champions League, sasa naona Milano wamechutama tayari kutawadhwa kwa ncha ya upanga!
 
Last edited by a moderator:
Wikiend chungu sana Yanga,Manu then Milan
 
AC Milan0 - 2 Napoli dk 71
Scorers of Napoli's goals
Miguel Britos (6')
Gonzalo Higuaín (53')
 
Napoli wametulia sana. sema wakipata majeruhi kidogo 2 watafulia. Chomba hii mechi ya leo anatambua kua timu yake ipo 50 50 ndio maana kawa mpole. But naumia sana kuona mkongwe mwenzangu anafungwa.
 
Na Baloteli anakosa penati kwa mara ya kwanza leo
 
Napoli wametulia sana. sema wakipata majeruhi kidogo 2 watafulia. Chomba hii mechi ya leo anatambua kua timu yake ipo 50 50 ndio maana kawa mpole. But naumia sana kuona mkongwe mwenzangu anafungwa.

Napoli wako vizuri sana kuna watu walimponda sana Benitez nikawaambia kama Napoli watampa nafasi atawafikisha mbali sana
 
Chomba alijuwa haya akakimbia jukwaa mapema..Balloteliii
 
Nilimwambia Chomba kuwa hii staili yao ya magoli ya jioni hadi jogoo awike atakuja kuumia hakunielewa.sasa leo yamemkuta.kokoliko kachelewa kuwika.!
 
jamani tukubali kuwa Rafael Banitez amekuja kuiboost seria A. Ushindi wa jana dhidi ya rossaneri ni kudhihirisha kuwa jamaa wapo vizuri. Timu za inter na juve nazo zijiandae kunyolewa. Ahsante Banitez, Forza napol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…