Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
hii Napoli hii,Chomba usinunue Panadol haitoshi,nunua dawa ya maumivu kali,napendekeza Diclofenac!
Mmmmnh, labla Jack Daniel mzinga mkubwa, embassy pakti moja, gomba kama la kg 1 na kushi kama za Jah Cure