Cesare Prandelli to join Milan after world cup in Brasil
Naona Berlusconi ameingilia kati na kumrudisha Galliani ,inasemekana Barbara alitaka kumleta Paolo Malini awe Technical Director
Milan 3-1 Catania...
Montolivo
Balomania
Bro
Gang Chomba,nini kinaendelea pale Milan?sielewi elewi mara Uncle Festa,mara aunty barbara,mara Seedorf,Maldini,Prandelli,..aargh kunani?kama mmemchoka uncle Festa tangazeni ndani ya masaa 24 mtasikia katua Turin!eti Barbara anataka kumchukua Fabio Paratici wa Juve,ammwache Galliani,yaani huyu Paratici tutawapeni buree mkitaka na Marotta tutawaongezeni mtupe babu "para moto" wetu muone tuwalize tena kama tulivyofanya kwa Pirlo!yaani familia ya Belursconi ni utata mtupu!kaka ya mtu bange,dada ya mtu yule nae sijui anatumia kuberi?anyway hongera kwa kumlamba Catania,huwa anakusumbua sana!sie tunaua pundamilia wenzetu leo!watch and learn!
Ningeshangaa sana kama Gang Chomba asingekuwa mtu wa kwanza kukanyaga hapa.
tena wamejamba huko na kuambulia suluhu mbele ya huyo ponjoro wao mpya Thohir...
Ningeshangaa sana kama Gang Chomba asingekuwa mtu wa kwanza kukanyaga hapa.
Me nikahisi labla atamkaribisha kwanza
Team hii sijui imepotelea wapi tangu Mourinho atoke, hata UCL hawapo.
We Mourinho mie pale Italy timu ninalolichukia zaidi ni hilo linaitwa Inter...
Na hata hili jukwaa sijui kama ntaandika jema la hawa watu.