Habari wadau. Leo nmekuja kwenu mimi Interisti wa Nerazurri kuwakaribisha wadau wenzangu wa Inter na Italy kwa ujumla katika mahala hapa ambapo kila kitu cha Inter nntakua nakimwaga. Karibuni sana watani wangu kutoka Kaskazini wale wa Juve, Majirani zangu wa Milan, wale wa Kusini kutoka Naples(Napoli), wale wa karibia na Vatican, As Roma, Lazio , wa Genoa na mikoa yote ya Italy karibuni sana. Hapo baadae tutammaliza Sampdoria na Presidaa wetu mpya Tajiri Erick Thohir atakuepo uwanjani baada ya kumpokea Moratti aliepiga kazi sana kwa miaka 18. Karibuni saaana.
Forza Inter. Forza Nerazurri. Forza La Beneamata.

Forza Inter. Forza Nerazurri. Forza La Beneamata.