Home of AC Milan, Official Thread

Hivi kama kila kocha lazima awe na uzoefu ndo apewe timu mnafikiri hawa kina Fergie, Wenger, Mourinho, Capello etc wangepata nafasi kuonyesha uwezo wao katika timu kubwa? Maana mtu akitoka timu ndogo atahesabika hana uwezo wa kufundisha timu kubwa kama AC Milan, Man utd, Juve, Barca, Arsenal etc.
 

clab ya ukubwa wa Ac milan, inaihitaji kuwa na kocha level ya juu. Seedoff level yake ni sossuallo, Bresia, au venezia, kwa milan,aah naona kabebeshwa mzigo. Hivi Roberto Baggio yeye sio kocha?
 
clab ya ukubwa wa Ac milan, inaihitaji kuwa na kocha level ya juu. Seedoff level yake ni sossuallo, Bresia, au venezia, kwa milan,aah naona kabebeshwa mzigo. Hivi Roberto Baggio yeye sio kocha?

Hebu tutajie hao makocha wa juu
 
clab ya ukubwa wa Ac milan, inaihitaji kuwa na kocha level ya juu. Seedoff level yake ni sossuallo, Bresia, au venezia, kwa milan,aah naona kabebeshwa mzigo. Hivi Roberto Baggio yeye sio kocha?


Seedorf kakusuta huko...
 
Wenye jukwaa vip naona mechi inaendelea uwanja ni mweupe na uzi huu pia mweupe.
 
Ko ko ko Wenyewe mpooo? Gang Chomba katelekeza boma kamuacha kijana wake Belo kulinda hadhi ya familia, kazi ambayo imekua ngumu kidogo kwake.

Anyway sijafurahia kufungwa kwenu na ATL, maana tukiwa ulaya msiba wenu, wetu wote. Tusubiri miujiza huko Madrid au sio Ziroseventytwo na kaka juve2012 ?
 
Last edited by a moderator:
Dah!sipendi kabisa mspanish kumfunga mtaliano,inaniudhii!wacha nikalale nilikuwa nawatania jamaa wa Arsenal kule kumbe rohoni nina msiba nawapunguzia stress!
 

Tatizo la GC sio mvumilivu, mwepesi kulianzisha na wa kwanza kula chochoro yanapomzidi.

Ngoja wenye timu za akili tuburudike bila stress next week, Italy na England bado hamjawa na timu za ushindani CL miaka hii mjipange kwanza.
 
Last edited by a moderator:
clab ya ukubwa wa Ac milan, inaihitaji kuwa na kocha level ya juu. Seedoff level yake ni sossuallo, Bresia, au venezia, kwa milan,aah naona kabebeshwa mzigo. Hivi Roberto Baggio yeye sio kocha?


we jamaa tangia mwanzo ulimkataa Clarence...so sishangai
 
jana AS ROMA kapata ushindi wa 1-0 dhidi ya bologna na kuzidi kuitia pressure juve pale kileleni. Ukumbuke roma wanakiporo dhidi ya timu ya parma
 
Last edited by a moderator:
jana AS ROMA kapata ushindi wa 1-0 dhidi ya bologna na kuzidi kuitia pressure juve pale kileleni. Ukumbuke roma wanakiporo dhidi ya timu ya parma

Presha ipi pweza? Umemuona kaka ako? Jamaa ake na Anko Festa?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…