Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

Kwiii kwiii kwiii dah..!! Mchukue David Moyes mkuu atawarejeshea heshima iliyopotea.


haah dah jamaa hujui makocha wa ukweli wewe...
Uncle Seedorf nxt season anapewa fungu na kutia waja watatu au wanne kisha balaa linaanza...
 
haah dah jamaa hujui makocha wa ukweli wewe...
Uncle Seedorf nxt season anapewa fungu na kutia waja watatu au wanne kisha balaa linaanza...

Kila la kheri kaka tunawahitaji sana kwenye gemu za J4 na J5, balaa nnalo mimi leo na wale mabwege wa kijerumani wakiongozwa na backdated young brother Roben sijui kama tutakatiza.
 
Kila la kheri kaka tunawahitaji sana kwenye gemu za J4 na J5, balaa nnalo mimi leo na wale mabwege wa kijerumani wakiongozwa na backdated young brother Roben sijui kama tutakatiza.


Duniani hakuna kocha kama Carlo Ancelotti...
 
Duniani hakuna kocha kama Carlo Ancelotti...

Sawa mkuu nimeyaamini maneno ya mdau Mourinho alisema kuwa utakuwa na furaha sana kwa uwezo uliooneshwa na buluda mwenzio Ancelotti.

Tumewashikisha adabu wale wanazi mpaka vizee vyao vimepaniki na kuzaba watu makofi kama maafande vile.
 
Sawa mkuu nimeyaamini maneno ya mdau Mourinho alisema kuwa utakuwa na furaha sana kwa uwezo uliooneshwa na buluda mwenzio Ancelotti.

Tumewashikisha adabu wale wanazi mpaka vizee vyao vimepaniki na kuzaba watu makofi kama maafande vile.


dah ebana mliwashika Bayern ile mbaaya...
Yaani walitepeta utasema KMKM vile
 
Kweli Vijogoo vya Milan Vimefulia...Mechi ya Leo ilikuwa moja kati ya mechi kali zinazosubiriwa kwa Hamu...
Kila kona gumzo...
Shifta hebu tupe tathmini ya Mchezo wa leo...Seedorf atafanya maajabu gani??
 
Kweli Vijogoo vya Milan Vimefulia...Mechi ya Leo ilikuwa moja kati ya mechi kali zinazosubiriwa kwa Hamu...
Kila kona gumzo...
Shifta hebu tupe tathmini ya Mchezo wa leo...Seedorf atafanya maajabu gani??


game imekwisha...Milan 1-0 inter.
Goli limepachikwa na General de Jong.
Game ilikuwa nzuri sana na vi inter vilikamatwa vizuri sana na vikashindwa kufurukuta...

Seedorf ni kocha kwa kweli.
 
Berlusconi plz chukua maamuzi kama alioyachukua Masimo Moratti...plz plz plz
 
Back
Top Bottom