Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

Teh teh Shifta alituambia Seedorf ni bonge la kocha sijui kaishia wapi tena...Naona Milan bado wanafanya experiment..


haibadiliki...
Seedorf ni habari nyingine kabisa.
Na ndo maana washabiki wa kweli wa Milan wamesikitishwa na kupigwa chini kwa Clarence.

Tafuta sababu iliopelekea jamaa kutimuliwa.
 
Uhuni walioufanya B&G hausameheki.
Wamefanya Mkongwe anaeheshimika katika Soka astahafu Soka pasipo kupigiwa makofi ama kufanyiwa sherehe ya kumuaga.
 
Super Mario Balotelli ameisaidia timu yake ya Taifa yaani Azzurri kwa kupachika mtungi wa maana ulioandika goli la pili na kuizamisha timu ya England katika mechi ya ufunguzi
 
Inzaghi Ana jipya gani viunga vya Milan huko?


kwanza kabisa naomba kupingana na mawazo ya wale wazee wawili yaani Berlu na Gali...

Seedorf alipaswa kupewa watu ambao yeye anawataka kisha ahukumiwe...
But kiuhalisia Clarence ametufanyia makubwa akiwa kama mchezaji na kocha...
 
Inzaghi Ana jipya gani viunga vya Milan huko?


kwa mfumo uliopo Milan sasa hivi wa kuokota wachezaji huru basi hata akirudi Arigo Sacchi au hata Carlo Ancelotti basi majanga hayatoisha...

Sikuwa na mashaka na Pippo as a striker, but akiwa kama kocha wa Level kama ya Milan mmh hapana..
Siwezi tia neno hapo
 
Back
Top Bottom