Teh teh Shifta alituambia Seedorf ni bonge la kocha sijui kaishia wapi tena...Naona Milan bado wanafanya experiment..
Baada ya Maldini nahisi mikoba atapewa Gang Chomba
gang chomba yupo verry bussy kuikumbukuka pasword yake ili aje abadili jina la kocha katika huu uzi
Official Muntari asaini mwaka mmoja zaidi...
Nilijua mmemuachia, kachoka yule anastahili kukipigia Sassuolo
Is back...
Is back...
Is back...
buluda vipi mwandamizi?
Inzaghi Ana jipya gani viunga vya Milan huko?
Inzaghi Ana jipya gani viunga vya Milan huko?