Home of AC Milan, Official Thread

aisee kumbe Belo huwa ni mshabiki wa AC MILAN na pia MAN UTD? au macho yangu yanaona vibaya? :A S-eek:

Nimeangalia game ya jana nimefurahishwa na viwango vya Menez na SES but still defence bado haijakaa vizuri.Timu inaleta matumaini naamini msimu huu Inzaghi akipewa support atairudisha Milan mahali pake
 
Chomba ushaanza mbwembwe muda huu?? Bado mnasajili wachezaji walioshindwa mpira (Torres) mkitegemea Miujiza...
Nafasi yenu ya 5 msimu huu

Nduguyo kashautwika saa hizi bila shaka, mixer na cha malawi na ile mi-cigar anayoipenda basi ubongo wote mawingu mawingu.
 
aisee kumbe Belo huwa ni mshabiki wa AC MILAN na pia MAN UTD? au macho yangu yanaona vibaya? :A S-eek:

Napenda sana football,nina timu kwenye the best three league in Europe (La Liga,Serie A na EPL) na hapa bongo nashabikia kandambili
 
Chomba ushaanza mbwembwe muda huu?? Bado mnasajili wachezaji walioshindwa mpira (Torres) mkitegemea Miujiza...
Nafasi yenu ya 5 msimu huu


mie nachojuwa kwa sasa tunaongoza ligi...
Hayo mambo ya nafasi ya tano ni yako wewe na mzee wa ufunuo Yohana Mbatizaji
 
mie nachojuwa kwa sasa tunaongoza ligi...
Hayo mambo ya nafasi ya tano ni yako wewe na mzee wa ufunuo Yohana Mbatizaji

Teh teh teh teh, kufika kileleni sio kazi, hata Chievo wanaweza, kazi kubaki kileleni mpaka mwakani mwezi wa dala
 
Leo hii tunawafanya kitu mbaya hapa hapa kwao

Kwa kuwa leo tuko Milan,ngoja tuzungumzie huku au mnasemaje wadau?@mourinho umeonaje first half?mie naona Tevez kabanwa ila tumecheza vizuri,kasoro tu,tumekosa creativity in front.tunawakosa Vidal na Pirlo.
 
Kwa kuwa leo tuko Milan,ngoja tuzungumzie huku au mnasemaje wadau?@mourinho umeonaje first half?mie naona Tevez kabanwa ila tumecheza vizuri,kasoro tu,tumekosa creativity in front.tunawakosa Vidal na Pirlo.

Haswaa Mkuu wangu, tumekosa creativity, vision na imagination ya hao watu, lakini bado kwangu mimi nalilia a number 10, hatuna mtu wa namna hii, na kama hizi tetesi ni za kuziamini tukimpata mtu kama Mata atasaidia sana kufungua milango iliyonuna

Forza Bianconeri
 

Yap.unawaonaje milan?hivi chomba wangu yu wapi jamani?
 
Abbiati ametuokoa sana leo,Menez atatuokoa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…