Attachments
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha ha walikula moja bila kutoka kwa supersub PATRICK KLUVET tena dakika za mwisho nafikili ilikuwa dakika ya 85 daaah.ac milan majanga
kuna kanga zimeandikwa "WAJA KUSEMA NI KWAO JAPO JAMBO SI LAO" ntakununulia uwe unajitanda ukienda maliwatoni
kwa kuwa wewe tyar unayo
kuna kanga zimeandikwa "WAJA KUSEMA NI KWAO JAPO JAMBO SI LAO" ntakununulia uwe unajitanda ukienda maliwatoni
Mkuu Gang,leo nimepitia Kitumbini nimenunua doti mbili moja ya huyu jamaa na nyingine ya mpambe wake Alyen.
Mkuu Gang,leo nimepitia Kitumbini nimenunua doti mbili moja ya huyu jamaa na nyingine ya mpambe wake Alyen.
hah hah hah sipati picha akiiweka mwilini...
mbona mnatulazmisha kama nyie mnazo inatosha ila kwa kuwa mmeshanunua hzo mbili sio mbaya moja kamvalishe Wenga nyingine mpe mwenzio akamvalishe Pipo Inzaghi
Vip mkuu nyie hamfukuz kocha ? maana nackia mnamtaka Ancelot sasa kwa kikosi kile si mtampa lawama za bure
Coaches are employed to be fired.
kwa bahati mbaya mkuu cjabahatika kumaliza la saba katka shule ya kata sasa ukiniandikia ngeli unanionea
Hilo sio jukumu langu,wakati wenzako wanaenda shule na kuzingatia masomo wewe ulikuwa unapiga umbea.
ha ha ha ha ha ha umenifurahsha Mkuu Wanjiru nashukuru kwa maneno yako
Vip mkuu nyie hamfukuz kocha ? maana nackia mnamtaka Ancelot sasa kwa kikosi kile si mtampa lawama za bure
Wazoee hao, wanaona wivu kipindi ambacho wenzao tunabeba makombe wao hata UEFA hawashiriki.
Wazoee hao, wanaona wivu kipindi ambacho wenzao tunabeba makombe wao hata UEFA hawashiriki.
kwani tumefungiwa kusajiri?