Home of AC Milan, Official Thread

Home of AC Milan, Official Thread

BSyEU3jCMAABlSi.jpg


Forza Milan
 
kamba ni kamba tu, kwa mbuzi shingoni kwa ngedele kiunoni...
Nyie mlifudhu na mie nimefudhu...
 
nikiripoti kutoka hapa Sansiro Meazza ni mimi Gang Chomba nawarudisheni studio kwake Mourinho kwa ajili ya habari nyengine
 
OLYMPUS HAS FALLEN...
AC Milan imemuuza kiungo wake Kelvin Prince Boateng kwa klabu ya Schalke 04 ya Ujerumani...
 
OLYMPUS HAS FALLEN...
AC Milan imemuuza kiungo wake Kelvin Prince Boateng kwa klabu ya Schalke 04 ya Ujerumani...

Hivi mzee mwenzangu, is it about money au kunani hapo Meazza? Mlimuuza beki bora duniani Thiago Silva na sasa the Prince, kulikoni?
 
Naona vipaji vinazidi kuikimbia Serie A, Cavani, Osvaldo, Giaccherini, Boateng na sasa Lamela


Tottenham confirm Lamela signing

Tottenham have confirmed the signing of Argentina forward Erik Lamela after agreeing a deal with Serie A side Roma.

Roma claimed on Wednesday that the deal for 21-year-old Lamela, who has three international caps, is worth £25.7m.

It also includes up to £4.2m in bonus payments, taking Tottenham's spending to more than £90m this summer.

Lamela joined Roma in 2011 from Argentine side River Plate and made 67 appearances in all competitions and scored 21 goals for the Italian side.

"We are delighted to announce that we've reached agreement with AS Roma for the transfer of Erik Lamela," said Tottenham on their official Twitter feed.

The deal could finally enable Gareth Bale's move to Real Madrid to go ahead for a world record fee of £86m.
Lamela arrived in London on Wednesday night when Roma confirmed a deal had been agreed, but Tottenham did not reveal the signing until Friday.
 
Hivi mzee mwenzangu, is it about money au kunani hapo Meazza? Mlimuuza beki bora duniani Thiago Silva na sasa the Prince, kulikoni?


Yaani sijui kuna plan gani kwa sasa pale Milan...
Ila dah
 
Yaani sijui kuna plan gani kwa sasa pale Milan...
Ila dah

Sidhani kama Milan wataqualify Champions League msimu ujao,nilikuwa namlaumu sana Allegri lakini msimu huu siwezi kumlaumu yeye
 
Nani wa kulaumiwa Belo hapo?
Kikosi cha Milan cha sasa ni dhaifu mno,hivi imagine Mexes anaumia kuna beki mwingine wa maana? sikutegemea kabisa Boateng kama atahama alikuwa anakaba anatengeneza magoli na kufunga,mechi ya mwisho alifunga goli 2
Nikiangalia wapinzani Juventus,Napoli,Roma na Fiorentina walivyosajili sioni kama Milan watafurukuta.Kumbuka serie A inatoa timu 3 kushiriki Champs league
 
Kikosi cha Milan cha sasa ni dhaifu mno,hivi imagine Mexes anaumia kuna beki mwingine wa maana? sikutegemea kabisa Boateng kama atahama alikuwa anakaba anatengeneza magoli na kufunga,mechi ya mwisho alifunga goli 2
Nikiangalia wapinzani Juventus,Napoli,Roma na Fiorentina walivyosajili sioni kama Milan watafurukuta.Kumbuka serie A inatoa timu 3 kushiriki Champs league


Bado hujanitajia anaepaswa kulaumiwa Belo
 
Milan 3 Cagliari 1
Kuna tetesi kuwa KAKA anarudi Milan
 
  • AC Milan have confirmed that Kaka is to rejoin the club from Real Madrid on a contract which will run until 2015.
 
Back
Top Bottom