Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
dah! Huruma.
Umemuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah! Huruma.
Khaaaa, haya mwanakwetu kulikoni?
ndugu yangu simu yenye account ya gang chomba imejamba.
So mpaka itapopona ndo ntarudi na jina lile.
Lakini kwa sasa nipo humu.
ndugu yangu simu yenye account ya gang chomba imejamba.
So mpaka itapopona ndo ntarudi na jina lile.
Lakini kwa sasa nipo humu.
Sampdoria vs AC Milan
Presha ipi pweza? Umemuona kaka ako? Jamaa ake na Anko Festa?
aaahaah! Kumbe shifta ndo kaka mkuuee! Poa hii id ilitamba sana hapa baada ya kaka mkuu kulimwa ban alipotibuana na Matola kule jukwaa la siasa...hii haina ladha mkuu.
Cc: Gang Chomba
Ivi kuna anayemfikia kaka mkuu humu kwa BAN? Jamaa anaropoka mno vikimjia ni haki yake kupigika mara kwa mara na alishaniahidi aendi tena jukwaa la siasa sijui nini kilimpeleka huko.
Mkuu nakusalimu tu, akili yangu bado ipo Chamazi, Taifa na Camp Nou it's a very nice wkend, Hi to GC.
Timu bado inachechemea but cha msingi tulipata nafasi chache na tukazitumia
Mara ya pili mfululizo mnashinda sasa, niliona mlivyocheza na ATL na mlicheza vizuri hata kama mlifungwa, kuna kitu Seedorf anakitengeneza, akipewa nafasi mtarudi vizuri tu
Atletico bahati ilikuwa yao,Hii raundi ya 16 nadhani imepangwa timu zilizoanzia nyumbani lazima zifungwe hicho ndio kilichotuponza.Yule GK wao aliwaokoa sana
Hahahahahahahaaa, naona jana mmepata bwana
Mdau mi ni Madrid jana tumempa mtu 3-0 wakati timu ya NEEMA na NESI wamepakatwa kama za mnyama taifa ndio maana weekend imeisha vyema kwangu, nipo kileleni kila upande bila buguza na sibanduki tena hapo.
Nimekupata Mkuu na niwie radhi, kwa hiyo leo roho kwatu, na England je?
Sijaangalia mechi yenu asee, ila naona vijana wa kiarabu wamewapatia ushindi, match ilikuaje? Uongee bila ushabiki tafadhali
Ivi kuna anayemfikia kaka mkuu humu kwa BAN? Jamaa anaropoka mno vikimjia ni haki yake kupigika mara kwa mara na alishaniahidi aendi tena jukwaa la siasa sijui nini kilimpeleka huko.