hah hah hah haya mkuu...
Ila soob ntarudi na ID langu lile lililozoea kupigwa ban
Poa mdau, ila kule waachie wenyewe kina Riz1 na wenzie, kuna siku nilizinguana na Le mutuz nikaamua kumpotezea baada ya kuona tunaelekea kwenye ban maana ushabiki wao mwingine wa ajabu.