Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
- #21
Watta kuanzia 3000+what is the best mzee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watta kuanzia 3000+what is the best mzee?
Ha ha [emoji23] [emoji23] nilijua utasema hivo mkuu ila mimi nakuambia hii Radio ni hatariiWatts 45? No hako ni ka radio kadogo kakusikiliza kwenye tent
🤣🤣 Sebule yako ina ukubwa gani? Au unasikilizia room?Ha ha [emoji23] [emoji23] nilijua utasema hivo mkuu ila mimi nakuambia hii Radio ni hatarii
Sent from my SOV42 using JamiiForums mobile app
JBL bei gn maana watu wanasema ni kalii sn bei ss ndio sijuiNunua soundbar ya JBL uendane na ukisasa zaidi hasa zenye wireless speaker 5:1, kwa maana utakula movies, mziki mzuri pia mzito
Ila kwenye HT mfano sony hakikisha ni OG from Malaysia maana copy ni nyingi sana saivi watu wanalia wanakufa sana saivi
Room mkuu[emoji1787][emoji1787] Sebule yako ina ukubwa gani? Au unasikilizia room?
Hizo ni teknolojia ya kizamani pia sio za kistaarabu sound bar ni betterUkiambia uchague moja kati ya hifi, home theater, sound bar basi wewe chagua home theater kwa sababu zinakua na mini hifi ndio maana hata kwenye kuset utambiwa music au movie unataka ipi. Hifi ni uwezi kuangalia movie.
NB: hapa nazungumzia home theater km za sony zingine zina uzoefu nazo
Nani kakwambia Hifi ni ya kizamani Boss???? Sema tu nchini kwetu tunaenda na upepo. Tulihamia kwenya HT na Subwoofer za kichina na sasa tunajaa kwenye sound bars. Ila huko Duniani Hifi inapendwa sana na imeboreshwa sana. Na asikwambie mtu ulinganishe Music wa HT na Hifi, Hifi ni habari nyingine, special for music. Hata kwa bei tu HIFI za miaka hii ni mkasi kuliko HTHizo ni teknolojia ya kizamani pia sio za kistaarabu sound bar ni better
Za kizamani hata iweje huwezi fananisha na soundbar uliza ilio ni teknolojia ya miaka 20 nyuma angalia hata bei chukua ht watts1000 ya sony angalia na sound at watt iyo Kwa bei utaelewa.Nani kakwambia Hifi ni ya kizamani Boss???? Sema tu nchini kwetu tunaenda na upepo. Tulihamia kwenya HT na Subwoofer za kichina na sasa tunajaa kwenye sound bars. Ila huko Duniani Hifi inapendwa sana na imeboreshwa sana. Na asikwambie mtu ulinganishe Music wa HT na Hifi, Hifi ni habari nyingine, special for music. Hata kwa bei tu HIFI za miaka hii ni mkasi kuliko HT
Usiniambie huyu mwamba SONY shake X70D umweke na SONY HT BDV-N9200W / N9200WLView attachment 2233260View attachment 2233265
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sounds bars kwa ajili ya TV, huwezi linganisha HiFi na sounds bars.Za kizamani hata iweje huwezi fananisha na soundbar uliza ilio ni teknolojia ya miaka 20 nyuma angalia hata bei chukua ht watts1000 ya sony angalia na sound at watt iyo Kwa bei utaelewa.
Nilikuwa na HT moja nilinunua laki 8 kitu kama icho miaka ya 2019 spika kibao halilet mvuto getto nikienda kwa wana Wana soundbar zile za 1000watts yaani kwanza pale kweny tv showcase hapana uchafu kuna lile spika lake kichwa na bar iko mounted kweny ukuta chini ya tv
Spika za pembeni ni wireless zimepiga kweny Engle ndogo wakiweka movie hatar na tv kitu cha lg OLED we acha watu wanaishi
Ndo maanisha ivyo soundbar kwa tv na movie kwa ujumla[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sounds bars kwa ajili ya TV, huwezi linganisha HiFi na sounds bars.