Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani

Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani

Home theater kuna kila option kama unataka movie, music utaset tu na utapata ubora ule ule wa viwango mimi natumia sony home theater 1000w mziki unapiga balaaa weka mbali na watoto aisee asikwambie mtu
Binadamu tunaishi kwa mazoea

Umekaa umesikiliza huo mziki umeuzoea ila amini nakwambia ipo siku utakutana na mziki utayakumbuka haya maneno

Sina hizo HT ..ila Nina watu wanazo eg DZ650 ila wanaelewa nishawasikilizisha mziki kwa Sasa hawana Cha kuongea mbele ya custom made
 
System hizi hazitengenezwi kwa ajili ya kutoa power output kubwa inayohitajika kwa ajili ya muziki kwa kuwa muziki kwenye movie unakuwa wa chini chini(underground) ili kuruhusu mazungumzo kusikika vizuri pamoja na kuhandle effect sounds
Nop

HT Zina nguvu Sana kuliko most audio system

Zinatumia class D amplifier very efficient na watts zinazo Nyingi
Chukulia mfano TPA3116 ukiipa tu
 
Za kizamani hata iweje huwezi fananisha na soundbar uliza ilio ni teknolojia ya miaka 20 nyuma angalia hata bei chukua ht watts1000 ya sony angalia na sound at watt iyo Kwa bei utaelewa.

Nilikuwa na HT moja nilinunua laki 8 kitu kama icho miaka ya 2019 spika kibao halilet mvuto getto nikienda kwa wana Wana soundbar zile za 1000watts yaani kwanza pale kweny tv showcase hapana uchafu kuna lile spika lake kichwa na bar iko mounted kweny ukuta chini ya tv
Spika za pembeni ni wireless zimepiga kweny Engle ndogo wakiweka movie hatar na tv kitu cha lg OLED we acha watu wanaishi
Ki sound bar hata kaweje Bado huwezi sema HT Ni za kizamani! Labda sababu umeona hatubadiliki HT tulizonazo Ni Sony na lg ila siku ukikutana na Klipsch utakuja nambia
 
Ki sound bar hata kaweje Bado huwezi sema HT Ni za kizamani! Labda sababu umeona hatubadiliki HT tulizonazo Ni Sony na lg ila siku ukikutana na Klipsch utakuja nambia
mimi bado natembea na hizi codes,karibuni
 

Attachments

  • IMG-20221229-WA0008.jpeg
    IMG-20221229-WA0008.jpeg
    1.2 MB · Views: 58
Ki sound bar hata kaweje Bado huwezi sema HT Ni za kizamani! Labda sababu umeona hatubadiliki HT tulizonazo Ni Sony na lg ila siku ukikutana na Klipsch utakuja nambia
Wabongo ni watu wa kwenda na mkumbo.

Zilikuja subwoofer za kichina, wabongo wakavamia wote huko

Zikaja Home theater in a box (HTiB) wabongo wakazimavia, ikawa kama fashion

Sasa zimekuja soundbars, wabongo kama kawaida wamevamia kwa mkumbo.

Watu hawajui ni kwa nini wananunua kitu fulani.

Leo hii wengi wa wanunuaji wa soundbars, hawajui hata hizo soundbars zimetengenezwa kwa ajili ya kudeliver kitu gani (kama ambavyo wanunuzi wa HTiB hawakujua wananunua kitu gani)
 
Wabongo ni watu wa kwenda na mkumbo.

Zilikuja subwoofer za kichina, wabongo wakavamia wote huko

Zikaja Home theater in a box (HTiB) wabongo wakazimavia, ikawa kama fashion

Sasa zimekuja soundbars, wabongo kama kawaida wamevamia kwa mkumbo.

Watu hawajui ni kwa nini wananunua kitu fulani.

Leo hii wengi wa wanunuaji wa soundbars, hawajui hata hizo soundbars zimetengenezwa kwa ajili ya kudeliver kitu gani (kama ambavyo wanunuzi wa HTiB hawakujua wananunua kitu gani)
😁😁 Mtu anakwambia ana laki saba anataka mziki wa maana anaulizia Ni home theatre gani anunue😁 dunia hii Ina vituko sana
 
[emoji16][emoji16] Mtu anakwambia ana laki saba anataka mziki wa maana anaulizia Ni home theatre gani anunue[emoji16] dunia hii Ina vituko sana
Home theather zina mini hifi
Kwa hiyo home theather ni bora kuliko sound bar. Labda km nyinyi mnanua home theather za lg
 
Wabongo ni watu wa kwenda na mkumbo.

Zilikuja subwoofer za kichina, wabongo wakavamia wote huko

Zikaja Home theater in a box (HTiB) wabongo wakazimavia, ikawa kama fashion

Sasa zimekuja soundbars, wabongo kama kawaida wamevamia kwa mkumbo.

Watu hawajui ni kwa nini wananunua kitu fulani.

Leo hii wengi wa wanunuaji wa soundbars, hawajui hata hizo soundbars zimetengenezwa kwa ajili ya kudeliver kitu gani (kama ambavyo wanunuzi wa HTiB hawakujua wananunua kitu gani)
na anaenda kununua clone ya sony na lg
 
Home theather zina mini hifi
Kwa hiyo home theather ni bora kuliko sound bar. Labda km nyinyi mnanua home theather za lg
Hiyo "mini hifi" unayozungumzia ya home thearte Haiwezi kufua dafu kwa a proper HiFi System.

Muziki wa kweli unapatikana kwenye Stereo System a.k.a HiFi System, period.
 
HI-FI kwa mziki ni waya sound bar sijawahi kuielewa H theater mziki huwa unakuwa kama mwangwi hivi japo bass yake imetulia.
 
Wabongo ni watu wa kwenda na mkumbo.

Zilikuja subwoofer za kichina, wabongo wakavamia wote huko

Zikaja Home theater in a box (HTiB) wabongo wakazimavia, ikawa kama fashion

Sasa zimekuja soundbars, wabongo kama kawaida wamevamia kwa mkumbo.

Watu hawajui ni kwa nini wananunua kitu fulani.

Leo hii wengi wa wanunuaji wa soundbars, hawajui hata hizo soundbars zimetengenezwa kwa ajili ya kudeliver kitu gani (kama ambavyo wanunuzi wa HTiB hawakujua wananunua kitu gani)
Tatizo unajifanya mjuaji na mwenye pesa kumbe wa kuja tu, wajuaji wote wamefunga vinu kwenye magari yao ila nyumbani wameweka redio unazo ziponda ww apo.

Soundbar zipo nzuri nyingi, mfno, JBL 9.1 channel, SONY HT-A7000, SONY HT-A9.
Acha watu wanunue vitu wanavyo vipenda kwa uwezo wao sio kwamba wanafata mkumbo.
 
Tatizo unajifanya mjuaji na mwenye pesa kumbe wa kuja tu, wajuaji wote wamefunga vinu kwenye magari yao ila nyumbani wameweka redio unazo ziponda ww apo.

Soundbar zipo nzuri nyingi, mfno, JBL 9.1 channel, SONY HT-A7000, SONY HT-A9.
Acha watu wanunue vitu wanavyo vipenda kwa uwezo wao sio kwamba wanafata mkumbo.
Tanzania tunaenda na fashion tu, Sound bars, HTiB ni kwa ajili ya movie tu, lakini kwenye pure music tunalazimisha maji kupanda mto, hata ingekuwa ni channel 20. Mziki mzuri hauitaji channel nyingi kama movies. JBL Multimedia speakers 2.0 channel Inakupa mziki mzuri kuliko JBL sound bars za 9.1 channel vice versa pia kwa movie na music.

Ilitakiwa ukinunua flat screen kwa baadhi ya brand, unapewa na sound bars ya bure kama nyongeza...
 
Back
Top Bottom