Watanzania wachache sana wanamudu kununua HiFi tena zile za Sony, Samsung, Lg, Panasonic, Hisense. Huko Duniani hifi sytem moja ni Bajeti ya FORD RANGER tena 0Km, Sasa nani yupo tayari kuweka ford ranger sebuleni?Ndo maanisha ivyo soundbar kwa tv na movie kwa ujumla
Sasa iyo unaweka kweny harusi labda 🤣🤣🤣kibongo bongo nyingi midoshi bora ya kistaarabu soundbar basi angalia na bei za soundbar za watts 3000 kuendeleaWatanzania wachache sana wanamudu kununua HiFi tena zile za Sony, Samsung, Lg, Panasonic, Hisense. Huko Duniani hifi sytem moja ni Bajeti ya FORD RANGER tena 0Km, Sasa nani yupo tayari kuweka ford ranger sebuleni?
Mnyama kama huyo chini unamweka category moja na soundbar kweli????? Ni 161million TZS imelala hapo.
View attachment 2233426
mfalme wa home music system ataendelea kuwa HiFi tu, HT, Sub woofers na SB ni wapita njia tu. HiFi yupo saaanaa anabadilika leo unampata mpaka kwenye portable boom box hadi kwenye bookshelves speakers, kitu ambacho huwezi kupata kwa HT na SBSasa iyo unaweka kweny harusi labda 🤣🤣🤣kibongo bongo nyingi midoshi bora ya kistaarabu soundbar basi angalia na bei za soundbar za watts 3000 kuendelea
Aisee uko vizuri. Kweli nahitaji mziki mkali mziki mwororo sound nzuri. Kifupi ninapenda Sana mziki Ila siyo mjuzi wa kununua haya ya kisasa.Kwanza tujue kuwa home theatre systems si kwa ajili ya muziki bali ni kwa ajili ya movie ingawa watu wengi wanazitumia pia kwa ajili ya muziki.
System hizi hazitengenezwi kwa ajili ya kutoa power output kubwa inayohitajika kwa ajili ya muziki kwa kuwa muziki kwenye movie unakuwa wa chini chini(underground) ili kuruhusu mazungumzo kusikika vizuri pamoja na kuhandle effect sounds.
Kwa hiyo tunaondoa home theatre systems kwenye discussion.
Tukija kwenye sound bars. Hizi systems pia ni kwa ajili ya movie ndio maana zimeundwa zikiwa na baadhi ya spika zenye uwezo wa kurusha sauti (forward firing) yaani spika za sound bars zikiwekwa kwa kuangalia juu zinarusha effect sounds juu darini halafu sauti inashuka kwa mtazamaji ikitokea juu na sio mahali ilipo spika. Halikadhalika sound bar speakers zinazowekwa mbele zikiangalia nyuma zitarusha sauti kwenye ukuta wa nyumba na kurudi kwa mtazamaji ikitokea nyuma. Hizi ni sound bars zilizowezeshwa kwa teknolojia ya surround sound mfano DTS na/au Dolby Digital. Kwa hiyo hizi nazo tunaziondoa.
Lakini kuna sound bars ambazo ni stereo. Hizi ni 2 channel systems kwa hiyo hazina sifa ya kutumika kwa movies
Sasa tulinganishe hizi na hifi systems.
Zote zinafaa kwa muziki ila zinatofautiana power output. Sound bars zina spika ndogo zilizopangwa kwenye miche(bars). Kwa sound quality ni nzuri lakini kama una sebule kubwa zinaweza zisikidhi haja yako na pia kama una party zinaweza kukuanguisha kwa sababu power output ni ndogo. Zinafaa zaidi kwenye visebule vidogo. Lakini kuna watu wanazipenda kwa sababu hazihitaji nafasi kubwa halafu hazionekani sana sebuleni mgeni anasikia muziki anahangaika kujua unatokea wapi kwa kuwa haoni spika pengine wamezipachika mahali ambapo pana kagizagiza.
Hifi systems ndio hasa mahali panapofaa kwa suala la muziki kwa sababu zina spika kubwa zinazotoa power output ya kutosha. Kama una uwezo wa kifedha basi nunua hizi.
Pia siku hizi kuna hifi systems ambazo zimewezeshwa na surround sound tech. Yaani unaswitch kati ya stereo na surround. Ingawa gharama ni kubwa pia lakini kama unaweza bora kutafuta hizi mfano mmoja ni LG DM7630 DVD Mini Audio HiFi.
Kwa hiyo kuchagua kati ya sound bar na hifi inategemea bajeti yako na mahitaji yako.
Uko kitaaluma zaid mkuu. nimekukubali bila kulinganisha ujuzi.Kwanza tujue kuwa home theatre systems si kwa ajili ya muziki bali ni kwa ajili ya movie ingawa watu wengi wanazitumia pia kwa ajili ya muziki.
System hizi hazitengenezwi kwa ajili ya kutoa power output kubwa inayohitajika kwa ajili ya muziki kwa kuwa muziki kwenye movie unakuwa wa chini chini(underground) ili kuruhusu mazungumzo kusikika vizuri pamoja na kuhandle effect sounds.
Kwa hiyo tunaondoa home theatre systems kwenye discussion.
Tukija kwenye sound bars. Hizi systems pia ni kwa ajili ya movie ndio maana zimeundwa zikiwa na baadhi ya spika zenye uwezo wa kurusha sauti (forward firing) yaani spika za sound bars zikiwekwa kwa kuangalia juu zinarusha effect sounds juu darini halafu sauti inashuka kwa mtazamaji ikitokea juu na sio mahali ilipo spika. Halikadhalika sound bar speakers zinazowekwa mbele zikiangalia nyuma zitarusha sauti kwenye ukuta wa nyumba na kurudi kwa mtazamaji ikitokea nyuma. Hizi ni sound bars zilizowezeshwa kwa teknolojia ya surround sound mfano DTS na/au Dolby Digital. Kwa hiyo hizi nazo tunaziondoa.
Lakini kuna sound bars ambazo ni stereo. Hizi ni 2 channel systems kwa hiyo hazina sifa ya kutumika kwa movies
Sasa tulinganishe hizi na hifi systems.
Zote zinafaa kwa muziki ila zinatofautiana power output. Sound bars zina spika ndogo zilizopangwa kwenye miche(bars). Kwa sound quality ni nzuri lakini kama una sebule kubwa zinaweza zisikidhi haja yako na pia kama una party zinaweza kukuanguisha kwa sababu power output ni ndogo. Zinafaa zaidi kwenye visebule vidogo. Lakini kuna watu wanazipenda kwa sababu hazihitaji nafasi kubwa halafu hazionekani sana sebuleni mgeni anasikia muziki anahangaika kujua unatokea wapi kwa kuwa haoni spika pengine wamezipachika mahali ambapo pana kagizagiza.
Hifi systems ndio hasa mahali panapofaa kwa suala la muziki kwa sababu zina spika kubwa zinazotoa power output ya kutosha. Kama una uwezo wa kifedha basi nunua hizi.
Pia siku hizi kuna hifi systems ambazo zimewezeshwa na surround sound tech. Yaani unaswitch kati ya stereo na surround. Ingawa gharama ni kubwa pia lakini kama unaweza bora kutafuta hizi mfano mmoja ni LG DM7630 DVD Mini Audio HiFi.
Kwa hiyo kuchagua kati ya sound bar na hifi inategemea bajeti yako na mahitaji yako.
Aisee! Hii si unajenga madarasa karibu 10 kwenye shule za kata?Mnyama mwingine huyo 325.6million TZS,
View attachment 2233439
Mkuu naomba ushauri wako,mziki upi unafaa hapa chini,hiyo hometheater ni SONY,bei LG kamzidi SONY laki moja ila zite zina 400wInategemea na budget mkuu,
Hi-FI ni kwa Audiophiles wale watu wanaopenda sauti za uhalisia aka studio quality.
Home theatre ni mpangilio wa speaker kumimic kumbi za cinema.
Kama una unlimited budget unaweza ukaweka speaker 21 kama ukumbi wa cinema vile ili upate soround sound nzuri.
Kama budget ndogo unaangukia huko kwenye sound bar na home theatre zenye speaker chache kama 2:1, 5:1 etc.
Mkuu kuna post namba 51 naomba ushauri wakoKwa least yako hapo sijaona cha maana ila kwa budget yako kama unapenda mziki na muvi pia ila surround sound kwako si muhimu sana. basi chukua Hi-Fi
ila ni bora budget kama inaruhusu ukachukua 7.1 AV receiver hapa unapata vingi kwa pamoja.
Ukitaka surround kwa ajili ya movie au hi-fi kwa ajili ya mziki ni swala la kuswitch kwa remote tu maana inakuwa na speaker mbili kubwa FR & FL na ndogo ndogo za center, surround na atmos.
swala la mifumo ya sauti nyumbani ukiamua kulizingatia basi ni gharama mno. Unakuwa unaongelea mamilioni.
Elimu nzuri,barikiwaKwanza tujue kuwa home theatre systems si kwa ajili ya muziki bali ni kwa ajili ya movie ingawa watu wengi wanazitumia pia kwa ajili ya muziki.
System hizi hazitengenezwi kwa ajili ya kutoa power output kubwa inayohitajika kwa ajili ya muziki kwa kuwa muziki kwenye movie unakuwa wa chini chini(underground) ili kuruhusu mazungumzo kusikika vizuri pamoja na kuhandle effect sounds.
Kwa hiyo tunaondoa home theatre systems kwenye discussion.
Tukija kwenye sound bars. Hizi systems pia ni kwa ajili ya movie ndio maana zimeundwa zikiwa na baadhi ya spika zenye uwezo wa kurusha sauti (forward firing) yaani spika za sound bars zikiwekwa kwa kuangalia juu zinarusha effect sounds juu darini halafu sauti inashuka kwa mtazamaji ikitokea juu na sio mahali ilipo spika. Halikadhalika sound bar speakers zinazowekwa mbele zikiangalia nyuma zitarusha sauti kwenye ukuta wa nyumba na kurudi kwa mtazamaji ikitokea nyuma. Hizi ni sound bars zilizowezeshwa kwa teknolojia ya surround sound mfano DTS na/au Dolby Digital. Kwa hiyo hizi nazo tunaziondoa.
Lakini kuna sound bars ambazo ni stereo. Hizi ni 2 channel systems kwa hiyo hazina sifa ya kutumika kwa movies
Sasa tulinganishe hizi na hifi systems.
Zote zinafaa kwa muziki ila zinatofautiana power output. Sound bars zina spika ndogo zilizopangwa kwenye miche(bars). Kwa sound quality ni nzuri lakini kama una sebule kubwa zinaweza zisikidhi haja yako na pia kama una party zinaweza kukuanguisha kwa sababu power output ni ndogo. Zinafaa zaidi kwenye visebule vidogo. Lakini kuna watu wanazipenda kwa sababu hazihitaji nafasi kubwa halafu hazionekani sana sebuleni mgeni anasikia muziki anahangaika kujua unatokea wapi kwa kuwa haoni spika pengine wamezipachika mahali ambapo pana kagizagiza.
Hifi systems ndio hasa mahali panapofaa kwa suala la muziki kwa sababu zina spika kubwa zinazotoa power output ya kutosha. Kama una uwezo wa kifedha basi nunua hizi.
Pia siku hizi kuna hifi systems ambazo zimewezeshwa na surround sound tech. Yaani unaswitch kati ya stereo na surround. Ingawa gharama ni kubwa pia lakini kama unaweza bora kutafuta hizi mfano mmoja ni LG DM7630 DVD Mini Audio HiFi.
Kwa hiyo kuchagua kati ya sound bar na hifi inategemea bajeti yako na mahitaji yako.
Mkuu mimi sitakupa ushauri unaostahili ngoja waje wanaojua,Mkuu naomba ushauri wako,mziki upi unafaa hapa chini,hiyo hometheater ni SONY,bei LG kamzidi SONY laki moja ila zite zina 400wView attachment 2460908View attachment 2460910
Nashukuru mkuu,ngoja Extrovert aje.
keleleHuu mziki vp hako kuna mziki kweli au kuna keleleView attachment 2461139
Ulinunua kwa lengo gani au ulifata mkumbo 😁Niko na Home theater ina nasubiri majibu zaidi kutoka kwa wadau.
HIFIupande wa HI- Fi mbona unakuwa na speaker chache tu. je inatoa sauti nzuri? na mdundo ule wa maana usiumiza masikio....kama haya madude ya kichina? yana kelele... mi napenda music ambao ukipigwa kama hata wakati wapo studio walidondosha sindano inasikika