Home workout special thread (Uzi maalumu wa Mazoezi unayoweza kufanyia nyumbani)

Home workout special thread (Uzi maalumu wa Mazoezi unayoweza kufanyia nyumbani)

c7f8b0202ed3660c475653235d405d3d.jpg
 
Habari za muda huu wakuu......

Kila mmoja wetu anajua faida na manufaa ya kufanya mazoezi ya viungo na kuweka Sawa utimamu wa afya ya mwili na akili.....

Nimeonelea kuanzisha jukwaa hili ili tukutane wapenda mazoezi kuhamasishana, kufahamiana, na kupeana mbinu mbali mbali kuendelea kudumu kwenye mazoezi.......

Pia mwana jukwaa unaweza kutoa shuhuda namna mazoezi yalivyokusaidia kutoka hatua moja au nyingine lengo ni kuwavutia wengine nao wavutike kuingia kwenye utaratibu huu wa maisha wenye manufaa kibao.......

Karibuni wadau na watu wa mazoezi

NB;
Mods watarekebisha kwa namna ambayo itafaa ili ujumbe na lengo vitimie......
1002267110.jpg
1001858915.jpg
 
Salaam Wakuu,

Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi

Natambau wengi wetu tunatamani kuwa wafanya mazoezi, lakini kwa sababu mbalimbali tumekuwa tunakosa muda kwenda uwanjani au sehemu za mazoezi,

Uzi huu umezingatia sana ratiba ya watu. Hivyo, nitakuwa nikiweka clips fupifupi zikionesha mazoezi rahisi ambayo mtu yoyote anaweza kufanyia nyumbani kwake.

Kama unayo clip pia weka hapa uzi huu ni wetu sote.

Katika kila clip ntayoweka fanya zoezi hilo kwa sekunde 30.

PIA SOMA: SoC 2021 - Afya: Unataka uanze kufanya mazoezi? Fuata hatua hizi...

View attachment 2326517
asante nayatumia sana haya mazoezi
 
Daah napenda sana mazoezi nadhani nishakuwa teja wa mazoezi kwa sasa nipo vizuri sana kweny push ups kukimbia si sana, squash, abs workout siku tano za wiki jmos na jpil napumzika.

Situmii kifaa chochote so mazoez yangu ni popote nitakapoenda sina kizuizi chakufanya.

Nilianza tangu mwaka 2009 mpaka sas sitaman kuacha kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom