Honda CR-V: Shipa lisilovuma!

Honda CR-V: Shipa lisilovuma!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Kuna jamaa alinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linamtesa kuliko maelezo. Amejaribu kuliuza kupitia madalali, akirusha picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa.

BK336401_6b85e2.jpg
 
Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Nilinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linanitesa kuliko maelezo. Nimekaribu kuliuza kupitia madalali, nikifika picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa

View attachment 1950104
Gari zuri sana hilo labda uliuziwa tu kimeo
 
Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Nilinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linanitesa kuliko maelezo. Nimekaribu kuliuza kupitia madalali, nikifika picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa

View attachment 1950104
Mkuu hiyo gari iko wapi na unauzaje?
 
Tatizo matunxo halafu unakuja kufungua uzi eti HONDA C-RV zinasumbua ,huo ni uwongo ,tena mkubwa hakuna brand imra nzuri ,na matunzo yake ni kiduchu sana compare na Toyota Rava 4 ,

Mmezoea kudanganyana pitia bac hata forum mbalimbali soma uone watu walivyotoa credit ,wazungu hawana ubabaishaji sio kama manazi wa Toyota wa Jf

Honda ndio mpango mzima ,honda fit ,honda CRV,Honda ondensy , narudia onda zidumu milele

sent from HUAWEI
 
Back
Top Bottom