Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Sijui kwanini Watanzania wameikataa hii gari kutoka Japan, Honda Fit.
Siongelei Honda Fit za miaka ile zina shape za ajabu, naongelea hii Honda Fit Hybrid ya mwaka 2014 hadi 2017, ambayo ni Fit 3rd generation.
Hii gari ni nzuri kuanzia nje muonekano wake. Ni kadogo, karibia sawa na IST (2nd gen) kwa size.
Ndani pia kuanzia mbele imekaa kisasa sana. Kuanzia full options kwenye steering wheel, cluster gauge ikiwa na LED screen, infotainment screen ikiwa na touch-buttons za AC na audio control.
Pamoja na kwamba Honda Fit ni gari dogo, ila ina nafasi kubwa. Kwahiyo seat za nyuma nafasi ipo na mtu anaweza kukaa kwa amani.
Ukichukulia ni hybrid, hii gari ina options tatu za kuendesha. Sport mode, Eco mode na full EV mode kutegemea na power unayoitaka. Kwa matumizi ya Eco mode, Fit inaweza kwenda hadi 35+ km/L kutegemea na uendeshaji.
Engine yake ni 1.5L ikiwa na DCT (transmission), na inatoa hadi 130hp. Pamoja na engine kuna hybrid battery na 20hp zingine zinatoka kwa electric motor inayosaidia kuongeza nguvu.
Technology yake ya hybrid kidogo iko complicated sio kama ya Toyota, ila ni kongwe na nzuri na ndio unaipata kwa Honda Vezel na Grace.
Bei sio mbaya. Kutoka JP unaweza kuipata kwa CIF $5,000 ilio katika hali nzuri sana.
TRA kidogo wanakatisha tamaa, kwakua same car mwaka jana ilikua under Mil 5.5 ila sasa naona Mil 7+ ila fresh.
Kwa kuchukulia sifa za magari ya JP, hii ni moja ya gari bora na imara sana na itafaa kuimiliki one day kwa kuzingatia trend ya gharama ya mafuta.
Sasa kwann watu wasichukue wapigie ata Uber au Bolt?
Sijawahi kaa nayo zaidi ya siku moja, ila nimeendesha masaa kadhaa. Nilipenda interior yake, cabin noise ni ndogo (nikifananisha na gari nyingine za segment yake ukiendesha ni kama upo nje makelele), ulaji wa mafuta mzuri, ilavyoshift kutoka EV kuja kutumia Engine ni smooth sana sio inashtuka kama Prius (3rd gen).
Siongelei Honda Fit za miaka ile zina shape za ajabu, naongelea hii Honda Fit Hybrid ya mwaka 2014 hadi 2017, ambayo ni Fit 3rd generation.
Hii gari ni nzuri kuanzia nje muonekano wake. Ni kadogo, karibia sawa na IST (2nd gen) kwa size.
Ndani pia kuanzia mbele imekaa kisasa sana. Kuanzia full options kwenye steering wheel, cluster gauge ikiwa na LED screen, infotainment screen ikiwa na touch-buttons za AC na audio control.
Pamoja na kwamba Honda Fit ni gari dogo, ila ina nafasi kubwa. Kwahiyo seat za nyuma nafasi ipo na mtu anaweza kukaa kwa amani.
Ukichukulia ni hybrid, hii gari ina options tatu za kuendesha. Sport mode, Eco mode na full EV mode kutegemea na power unayoitaka. Kwa matumizi ya Eco mode, Fit inaweza kwenda hadi 35+ km/L kutegemea na uendeshaji.
Engine yake ni 1.5L ikiwa na DCT (transmission), na inatoa hadi 130hp. Pamoja na engine kuna hybrid battery na 20hp zingine zinatoka kwa electric motor inayosaidia kuongeza nguvu.
Technology yake ya hybrid kidogo iko complicated sio kama ya Toyota, ila ni kongwe na nzuri na ndio unaipata kwa Honda Vezel na Grace.
Bei sio mbaya. Kutoka JP unaweza kuipata kwa CIF $5,000 ilio katika hali nzuri sana.
TRA kidogo wanakatisha tamaa, kwakua same car mwaka jana ilikua under Mil 5.5 ila sasa naona Mil 7+ ila fresh.
Kwa kuchukulia sifa za magari ya JP, hii ni moja ya gari bora na imara sana na itafaa kuimiliki one day kwa kuzingatia trend ya gharama ya mafuta.
Sasa kwann watu wasichukue wapigie ata Uber au Bolt?
Sijawahi kaa nayo zaidi ya siku moja, ila nimeendesha masaa kadhaa. Nilipenda interior yake, cabin noise ni ndogo (nikifananisha na gari nyingine za segment yake ukiendesha ni kama upo nje makelele), ulaji wa mafuta mzuri, ilavyoshift kutoka EV kuja kutumia Engine ni smooth sana sio inashtuka kama Prius (3rd gen).