ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kabisa si Bora ninunue Honda Crossroads20M inakatisha tamaa kwa gari kama hiyo. Ukiwa na hela kama hiyo unapata kluger nzuri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa si Bora ninunue Honda Crossroads20M inakatisha tamaa kwa gari kama hiyo. Ukiwa na hela kama hiyo unapata kluger nzuri tu
Mazda wapo chini ya ford?Honda wapo chini ya Mercedes Benz kama Mazda na Ford tu ni kagari kagumu mno nadhani kuliko baadhi ya magari madogo mengi tu...
Ndoa yao ilidumu miaka karibu 15 nadhani sasa hivi Mazda wapo na Toyota pana parts zilikua zinaingilia kwa mazda na Ford na pia zipo Nozel unafunga mazda na Ford kwa gari za diesel..vile vi Bantam na madza za kizamani vilikua sawa vitu vingi..Mazda wapo chini ya ford?
ukiwa na hela hakuna kitu inasumbua🤣🤣🤣🤣 jitafute sana asee crv inakusumbua dahNachojua kwa Tanzania hii gari za Honda zinasumbua upatikanaji wa spare parts. Niliwahi kumiliki Honda CRV ilisumbua sana spare
Wakati Tandale na Ilala parts zimejaa nashangaa hawa wanaosema wanatafuta parts wanatafutia wapi au Kkoo za Mchina,Thailand na Koreaukiwa na hela hakuna kitu inasumbua🤣🤣🤣🤣 jitafute sana asee crv inakusumbua dah
kweli kila mtu na namna anavyoina kitu haka kagari hata sikaangalii mara mbili ukichanganya na wenzake passo vitz ist glanza na viuchafu vingine vidogo dogo vinavyosifika kwa kutokula mafuta..... unaendesha gari kama karatasi dah kwangu hapanaSijui kwanini Watanzania wameikataa hii gari kutoka Japan, Honda Fit.
Siongelei Honda Fit za miaka ile zina shape za ajabu, naongelea hii Honda Fit Hybrid ya mwaka 2014 hadi 2017, ambayo ni Fit 3rd generation.
Hii gari ni nzuri kuanzia nje muonekano wake. Ni kadogo, karibia sawa na IST (2nd gen) kwa size.
View attachment 3064211
View attachment 3064212
View attachment 3064213
Ndani pia kuanzia mbele imekaa kisasa sana. Kuanzia full options kwenye steering wheel, cluster gauge ikiwa na LED screen, infotainment screen ikiwa na touch-buttons za AC na audio control.View attachment 3064214
Pamoja na kwamba Honda Fit ni gari dogo, ila ina nafasi kubwa. Kwahiyo seat za nyuma nafasi ipo na mtu anaweza kukaa kwa amani.
View attachment 3064216
Ukichukulia ni hybrid, hii gari ina options tatu za kuendesha. Sport mode, Eco mode na full EV mode kutegemea na power unayoitaka. Kwa matumizi ya Eco mode, Fit inaweza kwenda hadi 35+ km/L kutegemea na uendeshaji.
Engine yake ni 1.5L ikiwa na DCT (transmission), na inatoa hadi 130hp. Pamoja na engine kuna hybrid battery na 20hp zingine zinatoka kwa electric motor inayosaidia kuongeza nguvu.
Technology yake ya hybrid kidogo iko complicated sio kama ya Toyota, ila ni kongwe na nzuri na ndio unaipata kwa Honda Vezel na Grace.
Bei sio mbaya. Kutoka JP unaweza kuipata kwa CIF $5,000 ilio katika hali nzuri sana.
View attachment 3064218
TRA kidogo wanakatisha tamaa, kwakua same car mwaka jana ilikua under Mil 5.5 ila sasa naona Mil 7+ ila fresh.
View attachment 3064217
Kwa kuchukulia sifa za magari ya JP, hii ni moja ya gari bora na imara sana na itafaa kuimiliki one day kwa kuzingatia trend ya gharama ya mafuta.
Sasa kwann watu wasichukue wapigie ata Uber au Bolt?
Sijawahi kaa nayo zaidi ya siku moja, ila nimeendesha masaa kadhaa. Nilipenda interior yake, cabin noise ni ndogo (nikifananisha na gari nyingine za segment yake ukiendesha ni kama upo nje makelele), ulaji wa mafuta mzuri, ilavyoshift kutoka EV kuja kutumia Engine ni smooth sana sio inashtuka kama Prius (3rd gen).
View attachment 3064211
ok mkuu nimeelewa nilikuwa silijui hilo kabisa.Ndoa yao ilidumu miaka karibu 15 nadhani sasa hivi Mazda wapo na Toyota pana parts zilikua zinaingilia kwa mazda na Ford na pia zipo Nozel unafunga mazda na Ford kwa gari za diesel..vile vi Bantam na madza za kizamani vilikua sawa vitu vingi..
Yani Bongo kuna udalali wa kufa mtu, sasa sipati picha kama hayo magari tungekuwa tunayatengeneza Sisi tungetoza VAT kiasi gani kama kuyapokea tu tunatoza Kodi kubwa kiasi hichoDadeki wabongo ni zaidi ya wehu, Kodi inazidi bei ya gari, pumbaf kabisa
Nimemuachia mzee anafurahia maishaNiuzie hako mkuu
Nitakuja na mrejesho wa CX-5 very soon this month...Baada ya hii Mazda CX 5 mtakuja kununua Hundai Tucson nayo inafanya vizuri SA maana hii mazda ina karibu miaka 6 imetembea vizuri kwenye soko la kaburu kabla ya Tucson ya Diesel pia hazijatofautiana ndani ukubwa na comfort..
Daah sema hizo gari zipo wapi hapa mjini sizioni au mimi nipo porini nini...Unanunua gari kama hiyo unaendesha na kitambi chako alafu demu wangu anapaki Range Rover Velar pembeni yako si utaona tunakunyanyasa?
Riziki mafungu 7, mafundi na wauza spare nao wanategemea wakazi wa huko gari ipate tatizo ili waleHaya magari ni mazuri Sana Ila mazingira ya barabara zetu za KIVULE NA KITUNDA ni kama umetupa pesa yako Tu.
Halafu serikali ya hivyo ijisumbue na viwanda wakati ina uwezo wa kupiga hela ndefu kuliko watengenezajiDadeki wabongo ni zaidi ya wehu, Kodi inazidi bei ya gari, pumbaf kabisa